Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Unamaanisha matatizo ya familia yangu kubwa, au matatizo binafsi,

Yote hapo hapana ni ujana tu
 
Kwa bimkubwa vipi sasa? Na kazini je au ndiyo mkeo unamuaga upo research?
 
Maamuzi mazuri
 
Kwa bi mkubwa pako poa tu,
Nakazini pako poa tulikuwa

Ila mimi routine yangu ni ile ile bado naenda kwenye nyumba yangu
 
Yaani una moyo hilo limbwata ulilo lishwa si la nchii hii pole sana kaka
 
Huo ni mchepuko msukule yaani mpaka hapo hakuwa anakuhitaji
 
Hapana, ni udhaifu wangu tu,
Unajua wengine roho zetu ukishaweka bond na mtu unaona kama ni ndugu yako kabisa, kufa na kuzikana,

Yaani anakuwa kama ndugu was damu kabisa au mtoto wako, kumbe yeye hizo fikra anakuwa hana, wala hata bond na wewe hana

Sasa unabaki kujaribu kumrekebisha kumbe una twangs maji kwenye kinu
 
Unajua kuna kitu nilisahau kusema, alishatamka kwa rafiki zake kitu fulani halafu nikaambiwa kuwa

Huwa anawatamkia anasubiri watoto wake wakue na yeye atasepa,

Sasa nadhani ameyaishi maneno yake,
Sasa hivi keshaona watoto ni wakubwa,

Mmoja Mungu akijalia anafanya mtihani wa form six mwaka huu na mwingine form four mwaka huu vilevile

Sasa utaona hapo keshatimiza malengo yake
 
Heeee walikufungia, au ulinipanikia eti eeeh.

Mind you kuwa hao watoto wa kike wanaweza olewa hukooo nyumba ikabaki tu.

Nawafahamu wanaume wawili yaani watu tofauti tofauti waliwahi zaa sana nje ya ndoa. Mabinti walipokua walirudi kwa baba japo wamama waligoma mwisho wakaelewa, binti ameshamaliza university hana mahitaji wala tatizo.

Mwisho wakawa ndani ya familia.

Hebu jaribu, maana utakuwa mtu wa kujengaa tu na kuuza, .

By the way, pole najua umekuwa sasa.
 
Jamani msaada, naona reply zenu zinafiki zote kwenye kiboksi cha msg, pamoja na kwenye kengele, nikifungua huko nyigine hazifunguki

Tatizo nini

Msaada tafadhali
 
Wee kweli mbabaishaji
 
Pole Sana
 
Wewe baba unatuficha mambo mengi sana. Kwa mkeo mkubwa ndo pameota nyasi. Yani hakuna mwanaume alieacha mke wake wa altereni au madhabauni kwa uzinzi akaishia vizuri kwa sbb kwanza kwa kosa ulofanya tayari ushaitia najisi ndoa. Pole sana kwa jinsi navyokusoma unatia huruma unamuhitaji huyo mchepuko sijui bi mdg kuliko anavyokuhitaji. How a miserable grandpaaa u will be.
 
Achana na wanawake yaani mwanamke unamwambia nina mtoto na mwanamke mwingine basi kama umepata mimba itoe hataki na anakutegeshea nyingine uzae nae...wanakuongezea stress hawajiongezi
 
Niandikie hiyo hiyo, namshurutisha abadili jina lake aweke langu kama baba, anaenda kubadili anaweka la watoto,
Nikavuta muda kutafakari na kujirudhisha
Huu usimuliaji unaondoa ladha na mpangilio wa mkasa. Binafsi naona kama unarukaruka tu
 
Kama ulianza mwanzo kabisa, nilikuwa nasimulia mpaka mwisho kila tukio, baadaye wadau wakawa wanataka nisimulie kwa ufupi, Ndio nikawa naandika kwa vipande, ila kama ukipitia post zote toka mwanza, inaeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…