Jamani mambo na visa ni vingi sana kuliko mnavyo fikiri, naona comment nyingine zinachoma haswa,
Niombe nikate story short, nasubirie tu ushauri wenu,lakini toka huo mwaka 2018,
Alirudi nikamkubiria kukaa ,
Lakini visa nivikubwa zaidi, zaidi sana, mpaka nahisi kama ameheuka,
Nimeshaitisha Vinson’s zaidi ya nane,
Nimeshampiga mpaka jicho likataka kutoka
keshanipeleka polisi
Nimeshampleka ustawi wa jamii,
Ambapo alitaka tugawane nyumba baada ya kuuzwa
Nimeshafungua kesi mahakama ya wilaya
Tumehudhuliamala nane, nikaifuta baada ya kuona, mwenendo wake kama gakutegemea nitaanda mahakamani ili tuachane, ingawa keshanieleza mala kibao tuachane, nilivyofanya kweli akapooza sana
Ameendelea kwenda kwenye huko polini kwa nguvu bila ruhusa yangu zaidi hata mala 20
Ameshatangaza kwa majirani sana kwamba mimi sitaki wageni ingawa ni uongo, mpaka hapa nyumbani napachukia
Baadhi ya ndugu zangu wanamfahamu, hata mama yangu alishakuja kwake na akalala
Kutokana na visa vyake ndugu zangu hawampendi
Nilishawapeleka watoto nyumbani kwa bibi yao yaani mama yangu wakakaa huko kama wiki moja, na mmoja anasoma huku huko
Kila dalili hawapendi kukaa kule
Majina ya watoto niliyafuta kwa hati nikaweka yangu