Mimi hata menopause siko nakaribia 60. Wanaume humu wajinga kweli jibuni hoja hamna tusi au kashfa mpya ambavyo sijaandikwa humu na nyie vibamia wa humu kutwa kutukana na vibamia vyenu mfyuuuBinti naelewa wazi menopase inakusumbua, tafuta manii unywe, ou will be okey, kindly stop actying like a teeneger
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Mimi hata menopause siko nakaribia 60. Wanaume humu wajinga kweli jibuni hoja hamna tusi au kashfa mpya ambavyo sijaandikwa humu na nyie vibamia wa humu kutwa kutukana na vibamia vyenu mfyuuu
Sehemeu ya 21 ndio mwisho au, maaana nashindwa kupata muendelezo kwenye original post?Kama ulianza mwanzo kabisa, nilikuwa nasimulia mpaka mwisho kila tukio, baadaye wadau wakawa wanataka nisimulie kwa ufupi, Ndio nikawa naandika kwa vipande, ila kama ukipitia post zote toka mwanza, inaeleweka
Hongera baba Ubarikiwe piaAhsanteni sana wapendwa, ushauri wenu,
Mmekuwa ni msaada mkubwa sana kwangu,
Kiujumla nitambua wapi nilikosea,baada ya ushauri wenu mzuri sana nimejifunza mengi sana ambayo nilikuwa siyafahamu hasa kwenye mambo ya mahusiaona,
Kwa wale waliokuwa na wasiwasi kuwa hiki kisa sio cha kweli, niwatoe wasiwasi huo kuwa ni cha KWELI hasa.
Uamuzi wangu wa mwisho baada ya ushaui wenu ni kupiga nyumba bei na kujenga nyingine kwa ajili ya Watoto,
Na sehemu ya kuijenga ni kati una nyumbani kwetu kijijini lakini mjini sio kijijini
Nimeamua niijenge huko kwa sababu mbili
Kwanza nimeamua nikistaafu kunako majaliwa nitahamia huko kijijini
Pili, sitaki mama siku aje arudi na kukaa nao huku tena na kufaidi tena nyumba ya guys kwa mgongo wa watoto
Vile vile ikiwa kule, itakuwa rahisi kuwa nao, na wenyewe wajione ni sehemu ya ukoo wetu kule karibu zaidi
Kwa hayo machache Ahsanteni sana.
Ombi kwa MODE,
Naomba nisamehe sana, najua kuna sehemu nilikosea, na ukanifungia,
Lakini ni mhemko ulinipatia sina tabia hizo za kihuni
Ahsante sana kwa kunielewa
Umrudie na Mungu kiukweli haswaaa ufanye toba ya kweli Mungu ni msamehevu sana!!na muombe msamaha mkeo pia watoto wako huna mamlaka ya kuwaomba msamaha hao ni watoto watulie tu!Ahsanteni sana wapendwa, ushauri wenu,
Mmekuwa ni msaada mkubwa sana kwangu,
Kiujumla nitambua wapi nilikosea,baada ya ushauri wenu mzuri sana nimejifunza mengi sana ambayo nilikuwa siyafahamu hasa kwenye mambo ya mahusiaona,
Kwa wale waliokuwa na wasiwasi kuwa hiki kisa sio cha kweli, niwatoe wasiwasi huo kuwa ni cha KWELI hasa.
Uamuzi wangu wa mwisho baada ya ushaui wenu ni kupiga nyumba bei na kujenga nyingine kwa ajili ya Watoto,
Na sehemu ya kuijenga ni kati una nyumbani kwetu kijijini lakini mjini sio kijijini
Nimeamua niijenge huko kwa sababu mbili
Kwanza nimeamua nikistaafu kunako majaliwa nitahamia huko kijijini
Pili, sitaki mama siku aje arudi na kukaa nao huku tena na kufaidi tena nyumba ya guys kwa mgongo wa watoto
Vile vile ikiwa kule, itakuwa rahisi kuwa nao, na wenyewe wajione ni sehemu ya ukoo wetu kule karibu zaidi
Kwa hayo machache Ahsanteni sana.
Ombi kwa MODE,
Naomba nisamehe sana, najua kuna sehemu nilikosea, na ukanifungia,
Lakini ni mhemko ulinipatia sina tabia hizo za kihuni
Ahsante sana kwa kunielewa
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]Mimi hata menopause siko nakaribia 60. Wanaume humu wajinga kweli jibuni hoja hamna tusi au kashfa mpya ambavyo sijaandikwa humu na nyie vibamia wa humu kutwa kutukana na vibamia vyenu mfyuuu
Wanaume wa humu ni kero Sana wooi na Uhuru wa kutoa mawazo why wanishambulie wakati hata mama yake, shangazi dada zake wako menopause si ujinga huo.
Mzee mimi naona mpe taarifa bi mkubwa na umwambie una nyumba umwonyeshe pia na hilo shamba, ili siku bi mdogo akirudi kudai utakuwa na mtu wa kupigana upande wako.Huyu mwanamke simtaki tena, lakini naona kama anawapambe,
Nipeni ushauri wapendwa,
Maana ninachokiona siku moja huyu mwanamke anaweza rudimentary hapa kwa gia ya watoto
Wazo zuri, lakini natafakari namna ya kumuambia.Mzee mimi naona mpe taarifa bi mkubwa na umwambie una nyumba umwonyeshe pia na hilo shamba, ili siku bi mdogo akirudi kudai utakuwa na mtu wa kupigana upande wako.
Na bi mdogo akitambua issue ishafika kwa bi mkubwa atakosa nguvu
Kaka ogopa sana ufugaji. Kuku waneza katika banda lote ndani ya siku 3 tu.Hivi mshuwa jinsi hawo kuku walivyokuwa wanakuputika hivo kwa kasi ya 5G ulikuwa unafeli wapi???
Nilishauriwa hivi hivi, kwa heshima na taadhima nikatekeleza, nilipojaribu kurudi kundini hata kundi lenyewe halikuwepo tena ,yaani bi mkubwa akawa kichaa kuliko mchepuko na hivi sasa naenjoy maisha ya ubachela!! Yaani wee acha tuMSAADA UNAOUHITAJI NI WEWE KUACHANA NA MCHEPUKO NA KUMWELEZA MKE MKUBWA NA KURUDI KUNDINI.
HUNA LA ZAIDI YA HAPO
Hii kali. Hata mimi ukija na usenge wako eti mchepuko sijui nini na mimi nakuachaaaNilishauriwa hivi hivi, kwa heshima na taadhima nikatekeleza, nilipojaribu kurudi kundini hata kundi lenyewe halikuwepo tena ,yaani bi mkubwa akawa kichaa kuliko mchepuko na hivi sasa naenjoy maisha ya ubachela!! Yaani wee acha tu
Kwahiyo aachane na ushauri wa kumwambia mkewe?Nilishauriwa hivi hivi, kwa heshima na taadhima nikatekeleza, nilipojaribu kurudi kundini hata kundi lenyewe halikuwepo tena ,yaani bi mkubwa akawa kichaa kuliko mchepuko na hivi sasa naenjoy maisha ya ubachela!! Yaani wee acha tu
Sasa mke mkubwa umrudie wakati hata nguvu za kugegeda huna na ana watoto wakubwa unafikiri ningehangaika na wewe, wanawake huwa watulivu watoto wakishakuwa wakubwa utajiju mwenyewe. Tafta mke mwingine uoeNilishauriwa hivi hivi, kwa heshima na taadhima nikatekeleza, nilipojaribu kurudi kundini hata kundi lenyewe halikuwepo tena ,yaani bi mkubwa akawa kichaa kuliko mchepuko na hivi sasa naenjoy maisha ya ubachela!! Yaani wee acha tu
Katika maisha ni muhimu sana vitu viwili usimtegemee mtu;furaha na Pesa!Mi nimejifunza kitu kimoja na hii storee....
Hakikisha unaitafuta furaha yako humu duniani usitake kupewa furaha na mtu mwingine hii haipo
Make sure you're happy
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Nimevumilia kutocomment ila nimeshindwa kwa hii comment yako. Wewe una uzoefu hakika. Hakuna mwanamke anayerisk maisha yake asilani. Mwanamke yeyote anaishi na mwanaume kama anajua kuna faida iwe leo au kesho (future). Mawanamke projector (projection) mzuri ingawa anaweza kuwa estimator (estimates) mbaya.
Kwa kutambua wanawake walivyo, nilikataa kuoa binti nikaoa aliyemuita bibi kizee kwa vile tulipishana miaka 20.
Kilikukuta nini embu tuambie
Ata umri ni majaaliwa pia ila sio kwa Sababu umri ni majaliwa uache kujipanga
Upo uwezekano huyo bi mdogo alitumia nguvu za giza, Mzee umeonyesha uvumilivu wa hali ya juu sana.
Watanzania watu wa ajabu Sana, JK alipogombea Urais 2005 aliitwa Kijana wakati alikuwa na 55yrs. ..
Jamani mambo na visa ni vingi sana kuliko mnavyo fikiri, naona comment nyingine zinachoma haswa,
Niombe nikate story short, nasubirie tu ushauri wenu,lakini toka huo mwaka 2018,
Alirudi nikamkubiria kukaa ,
Lakini visa nivikubwa zaidi, zaidi sana, mpaka nahisi kama ameheuka,
Nimeshaitisha Vinson’s zaidi ya nane,
Nimeshampiga mpaka jicho likataka kutoka
keshanipeleka polisi
Nimeshampleka ustawi wa jamii,
Ambapo alitaka tugawane nyumba baada ya kuuzwa
Nimeshafungua kesi mahakama ya wilaya
Tumehudhuliamala nane, nikaifuta baada ya kuona, mwenendo wake kama gakutegemea nitaanda mahakamani ili tuachane, ingawa keshanieleza mala kibao tuachane, nilivyofanya kweli akapooza sana
Ameendelea kwenda kwenye huko polini kwa nguvu bila ruhusa yangu zaidi hata mala 20
Ameshatangaza kwa majirani sana kwamba mimi sitaki wageni ingawa ni uongo, mpaka hapa nyumbani napachukia
Baadhi ya ndugu zangu wanamfahamu, hata mama yangu alishakuja kwake na akalala
Kutokana na visa vyake ndugu zangu hawampendi
Nilishawapeleka watoto nyumbani kwa bibi yao yaani mama yangu wakakaa huko kama wiki moja, na mmoja anasoma huku huko
Kila dalili hawapendi kukaa kule
Majina ya watoto niliyafuta kwa hati nikaweka yangu
Mwanamke hajitambui hata Kama alikuwa anajiona kuwa yeye Ni nyumba ndogo but the way huyu baba alivyojitoa kwake alipaswa kumshukuru umejengewa nyumba .umepewa mtaji wa biashara Mara kibao .. amemsaidia kunyanyuka hata pale alipokuwa anafeli still alikuwa nae pa1 ... Amemkuta na maisha magumu anaishi ktk Hali ambayo Ni low class kabisa akamuheshimisha ...
The way alivyokuwa amemuweka vizuri ktk position ya kimaisha Huyo mama alikuwa anaishi ktk nafuu kubwa ya maisha kuliko wanawake wengi wa kitanzania Kuna Wanawake wengi wakitanzania wameolewa lakini Wana maisha magumu yaliyokosa sinto fahamu lakini Huyo dada ijapokuwa hakuwa na ndoa but alibahatika kuishi ktik maisha yenye nafuu kubwa..
So alipaswa kushukuru kwa kile Ambacho dunia imemjaalia na kumshukuru baba wa watu kwa kumtoa ktika dhiki na kumpatia dira ya maisha yake' ''' Hiki Ambacho amemlipa huyu Mzee Ni ushetani mkubwa Sana huyu Mzee hakustahiki kulipwa hivi hata kwa bahati mbaya ...... Imagine Mimi tu ikitokea Nika muhonga mwanamke 500k usiku nalala naota mazimwi Yana nikimbiza sembuse Huyo Mzee wa watu ........ Aahhh mamaeee some women are [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Mwitore, Mwitore,Mwitore. Nimekuita mara tatu! Mwache mwanamke huyo mahakamani kwa kufuata sheria zote. Pili, nyumba mwachie iwe yake na wanae lkn kabla ya kumkabidhi nyumba akugawie sehemu ya eneo lilobaki ingawa limeandikwa kwa jina la watoto,uza eneo hilo kawanunulie sehemu nyingine watoto mbali na hapo, baki na hati za eneo jipya ,utawakabidhi watoto baadae. Iwapo atakata acha kila kitu nenda zako na talaka mkononi. Mwitore, mwanamke huyu atakuua. Ama kwa kumtumia mchepuko au kwa magonjwa yanayoambukiza na yasiyoambukiza. Huyu ni bad news kwa sasa. Bi mkubwa na wanae wanakupenda na kukuhitaji. Usiwe selfish ukawapa majonzi ya ujane na uyatima! Rudi kwa mkeo na wanao na wala usigeuke nyuma tena. Utakuwa umejiepusha na mengi. Umekuwa mwema sana pande zote mbili, baba na mume bora kabisa kuwahi kutokea, muungwana, msomi, mwenye upendo, baba ambaye kila mtoto anatamani awe baba yake. Mwitore rudi kwa bi mkubwa kaa naye angalau kwa miezi mitatu bila kumfikiria huyu chizi uone ulichokikosa kwa kutokuwepo kwako! Rudi nyumbani Mwitore kumenogaHuyu mwanamke simtaki tena, lakini naona kama anawapambe,
Nipeni ushauri wapendwa,
Maana ninachokiona siku moja huyu mwanamke anaweza rudimentary hapa kwa gia ya watoto
Achana na hiyo nyumba, hiyo mil unayoiwaza hata yeye anaiwaza na labda bwanaake naye anaiwaza, mwachie. Nyumba ndio itakuua. Kaa mbali nayo! Hiyo mil 300 kila mmoja anaitaka. Waachie na nyumba nenda. Bila huyu mjinga wewe una uchumi wa juu kabisa. Umefikia mahali pa kula bata la ukweli kwa kipato chako unaweza kabisa, hiyo nyumba ni downfall yako. Kaza roho nendaKuhusu mimi nimeshaamua huyu mwanamke simtaki lakini wasiwasi wangu ni hii nyumba?
Niifanyeje
Mambo ya polisi na ustawi wa jamii nataka kuyaepuka mapema sana,
Ingawa binafsi ningejua hatma ya nyumba,
Ingependeza kama ningeimalzia vizuri,
Niongeze vyumba kama 15 vya wapangaji, ili niipige bei nzuri
Uhakika baada ya hapo hapo 300 m
Nitakunja
Hata hivyo unatakiwa ujitafakari cariha.kwanini nini wewe peke yako ndio unaonekana kama punguani kati ya wanawake wa humu. Jumbe nyingi zinakutuhumu kuwa una shida mahali.kuwa na misimamo na namna ya uchangiaji wako sio tatizo kwenye mijadala inayohusisha watu wengi.lakini kwenye nyuzi nyingi kumekuwa na tuhuma kuwa hauko sawa,kama unapayuka hivi kama una mapepo.[emoji3][emoji3][emoji3]Wanaume wa humu ni kero Sana wooi na Uhuru wa kutoa mawazo why wanishambulie wakati hata mama yake, shangazi dada zake wako menopause si ujinga huo.
Kuna mtu mmoja ana situation inafanana Kama yako .Yaani nimwachie nyumba kweli? Nikiwa hai naona anafaidi nyumba yangu na wanaume wengine!?
Kweli? Hapana hapo sasa mnataka ndio mniue,
Kabisa au mimi niue mtu, sipo tayari kumwachia nyumba yangu, labda kama mimi ndio ningeonyesha simtaki, ningemwachianyumba ili apunguze machungu, lakini yeye anifanyie vituko vyote hivyo halafu nimwachie nyumba, hapana,
Bwana wewe wasengerema wachache hawawezi kunizuia kuandika ninachosikia humu, wengine comments ya kawaida wanaanza matusi hasa wasipopenda ninachoandika. Na Mimi nasema hata dunia nzima ikiniona punguani I don't care nitazidi kuwakeeera in manaras voice.Hata hivyo unatakiwa ujitafakari cariha.kwanini nini wewe peke yako ndio unaonekana kama punguani kati ya wanawake wa humu. Jumbe nyingi zinakutuhumu kuwa una shida mahali.kuwa na misimamo na namna ya uchangiaji wako sio tatizo kwenye mijadala inayohusisha watu wengi.lakini kwenye nyuzi nyingi kumekuwa na tuhuma kuwa hauko sawa,kama unapayuka hivi kama una mapepo.[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app