Ila naona amwambie tu, liwalo na liwe kidogo atakuwa amejiweka sehemu salamaInategemea na bi mkubwa yuko vipi. Ukute ndiyo sasa hivi yuko busy anakula matunda ya uzao wake afu aanze kujipa stress za kujiingiza kwenye migogoro asiyoijua. Halafu kuna sehemu alisema bi mkubwa alipogundua kuwa kuna watoto wa nje alimwambia tu awajengee nyumba yao hukohuko, hataki ushirika kwenye nyumba yake. Leo ndiyo atakubali akapigane vita isiyomuhusu?
Kutokuheshimu kitu gani, ndoa?Shida yote hii inakupata kwa tamaa ya kutoheshimu ndoa yako.
Anyway
Pole
Mwandae kwanza kisaikolojiaWazo zuri, lakini natafakari namna ya kumuambia.
Ndugu yangu weee, ni wewe mwenye mawazo hayo, utadanganywa na huyo mwanamke na utaenda tu, kwani hawa ndugu zetu uwezo wa kukuua kwao ni rahisi tu, kuliko kukushawishi kwenda naye kwako ?Uza tu kma inawezekana,huyo bwana ake amjengee yake kama ni rahis,mimi siwezi kwenda ishi kwenye nyumba alojenga mwanaume mwenzangu
Hahaaaaa...Mungu aniepushe kwa kweli!!Kosea watoto wako afu waache waishi na uchungu kwa kujidanganya "mzazi hakosei". Utavuna matunda ya uchungu wao
Hahaaaa....ndo ambacho sikitakagi jitu linakutelekeza miaka 20 mfano then anarudi uzeeni kujifia mi nakutimua asseeehh!!!Na wanaume wengi wanarudigi kwa wake zao uzeeni, wameshajichokea apeche alolo. Muda huo mama anaenjoy matunda ya watoto wake, kwa kweli huyo mume liability wa kazi tena akwendreeeeee asiharibu vibe la maisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaaaa....ndo ambacho sikitakagi jitu linakutelekeza miaka 20 mfano then anarudi uzeeni kujifia mi nakutimua asseeehh!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora waje apeche alolo wengi wao na magonjwa juuuNa wanaume wengi wanarudigi kwa wake zao uzeeni, wameshajichokea apeche alolo. Muda huo mama anaenjoy matunda ya watoto wake, kwa kweli huyo mume liability wa kazi tena akwendreeeeee asiharibu vibe la maisha
Hahaaaa....ndo ambacho sikitakagi jitu linakutelekeza miaka 20 mfano then anarudi uzeeni kujifia mi nakutimua asseeehh!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora waje apeche alolo wengi wao na magonjwa juuu
Ila mtu akiheshimu familia ataheshimiwa tu so kikubwa timiza nafasi yako pia usijisahau kujiwekeza wewe binafsi, lakini nyie wanaume nguvu na akili mnawekeza kwa mahawara, ila ukipenda familia hawakuachi lohCariha hilo ni nalo ni neno,
Lakini ngoja nikuambia, uwe umemtesa au hujamtesa, ulikuwa na mchepuko au hukuwa nao, wewe tegemea lolote laweza tokea,
Sasa Wanaume wenzangu nadhani mmeona hoja za hawa wamama,kama unauwezo PONDA MAISHA LEO, huku ukijiandalia maisha yako ya baadaye (YAKO WEWE BINAFSI IN CASE YAKITOKEA HAYO)
Lakini tu za familia kwa kiasi usijiumize ukajisahau,
Hawa watu sio ndugu zetu, ndugu yako ni mama yako tu
Shauri yenu, mimi hili nilishakijua muda mwiiiingiiii,
Kuna mwengine eti kaniambia niuze nyumba nimpe pesa mke wangu!!!!????
SIMPI NG’OOO NIMESHAJANJARUKA
Umejanjuruka uzeeni? yani umeshaharibu toka mwanzo yani nyie ndo mnaharibu maagano mikipata majanga mnaanza kusema. Yani kwa ufupi tuu huyo mwanamke sio mkeoCariha hilo ni nalo ni neno,
Lakini ngoja nikuambia, uwe umemtesa au hujamtesa, ulikuwa na mchepuko au hukuwa nao, wewe tegemea lolote laweza tokea,
Sasa Wanaume wenzangu nadhani mmeona hoja za hawa wamama,kama unauwezo PONDA MAISHA LEO, huku ukijiandalia maisha yako ya baadaye (YAKO WEWE BINAFSI IN CASE YAKITOKEA HAYO)
Lakini tu za familia kwa kiasi usijiumize ukajisahau,
Hawa watu sio ndugu zetu, ndugu yako ni mama yako tu
Shauri yenu, mimi hili nilishakijua muda mwiiiingiiii,
Kuna mwengine eti kaniambia niuze nyumba nimpe pesa mke wangu!!!!????
SIMPI NG’OOO NIMESHAJANJARUKA
Ndugu yangu binadamu Tuna tofautiana, ummjengea mchepuko nyumba kali sana,Kuna mtu mmoja ana situation inafanana Kama yako .
Aliwakuwa na mchepuko akaishi nao kwa miaka mingi Sana na huo mchepuko ukawa unafahamika Hadi kwandugu wa Jamaa .
Mke mkubwa alikuwa anataka kuujua Ila mwanzo hakugfanikiwa Ila baadae wakaja fahamiana .
Mchepuko ulizalishwa watoto wawili ukawa unaforce na wenyewe upewe ndoa ya kanisani Jamaa akasema haiwezekani maana Tayari ana ndoa na mke mkubwa .
Mchepuko ukakasirika ukaamua kuaachana na Jamaa wakabaki co-parents .
Wakati Jamaa Yuko na mchepuko alimjenga nyumba Kali Sana ya kisasa huko mitaaa ya ushuani so walivyoachana Jamaa hakumind Sana akamwachia mchepuko nyumba .Ila nyumba Ina majina ya watoto wao .
Mchepuko ukaja olewa na Jamaa mwingine na wakawa wanaishi kwenye hio nyumba sidhani Kama aliejenga alikuwa na time nao maana nyumba Ina majina ya wanae
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]akalime mahindiApitilize kijijini kwao mfyuuu
Yani dah pole sana yani hata kucheka unacheka basi tuu. Yani mwanaume anaezeeka akiwa na mkewe huzeeka kwa amani sana.Ahsante shemeji,
Lakini ujue nini, comment zenu kuna watu wengine zina wauma humu, wako kimya tu
Wanapapa experience through mimi
Ha ha ha ha
Mimi nimeshaziolea wala sina shida
Maana mambo mengine kuwa uyaone
Inabidi tuanzishe chama cha wanawake walioolewa tuwakandie hawa wanaume wanaoona kama kuchepuka ni fahari. Hawajui inatuathiri vipi kisaikolojiaEeh si ndiyo tunasemaga tu "nipo tu kwa ajili ya watoto wangu". Fainali uzeeni
Shemeji , kama umeota! Mbona hayo maneno nimeshatamkiwa!Eeh si ndiyo tunasemaga tu "nipo tu kwa ajili ya watoto wangu". Fainali uzeeni
Shemeji , kama umeota! Mbona hayo maneno nimeshatamkiwa!
Nimeyasikia sana kwa mashosti zake,
Mala, Watoto wangu wakikua natimka, mala watoto wakimaliza shule natimka!
We acha tu, wanaume tunavumilia mengi,
Halafu sasa watoto ndio wanamaliza form six, nikifikilia kimbembe cha chuo tena na makaro yao hayo, halafu unaona kabisa unasomeshea jibwada hilo, yaani naumia hasa,
Ila vile vile nimetoa uamuzi mwaka wa kwanza simsomeshi, nakaa kimya nitegee hilo mama lake limsomeshe, ili nione litasema nini,
Na litoto lione umuhimu wangu, wakishindwa in take inayofuata namsomesha,
Au vipi unasemaje Shem lao,?
Ndio nimejanjaruka, lakini nimepoteza kitu gani sasa,,Umejanjuruka uzeeni? yani umeshaharibu toka mwanzo yani nyie ndo mnaharibu maagano mikipata majanga mnaanza kusema. Yani kwa ufupi tuu huyo mwanamke sio mkeo
Nitarudi kwangu, hapo ni kwangu, ukiona namna gani vipi nakutimua vile vile ukalime mate mbele kwenu.[emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]akalime mahindi
Sent using Jamii Forums mobile app