Shida yote hii inakupata kwa tamaa ya kutoheshimu ndoa yako.
Anyway
Pole
Kutokuheshimu kitu gani, ndoa?
Ninauhakika gani kwamba yeye anaiheshimu ndoa, kwani simpi chakula, iwe cha usiku au mchana, havai? Sijamjengea nyumba? Watoto wako siwasomeshi?
Hivi unafahamu hawa wake zetu wa ndoa na wenyewe wana michepuko yao,?
Tena wenyewe ni mibaya kabisa!
Maana pesa unahenyekea wewe ndio wanalipia guest huko, na wengine mpaka wanawajengea nyumba kawa pesa zako
Hebu nikuulize, kwani hawa wanaoitwa MARIOO ni Nani nani wanawafinance? Ni hawa wake zetu wa ndoa ndugu,
Wewe jifanye mtakatifuuu, henyeka kama punda kumbe yeye anakidumu chake huko,
Akishazeeka anakimbilia kwa watoto wake, unabaki mwenyewe,
Nimeambiwa sana humu nikishazeeka napigwa kibuti, lakini hawajui hata wenyewe wakizeeka huwa tunaomba waende hukohuko kwa watoto wao,
Ananikalia hapa nyumbani kunizibia nafasi tu, wakati mimi nataka dogodogo, alaaaa,
WANAUME EEE, WANAUME EEE,
Tujiandalie maisha yetu binafsi ya uzeeni,
Kama kushikwa sikio tumeshashikwa,
UNASUBILI NINI?