Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Wanaume bana


Mnafanyaga umalayaaaaaaaaa

Moto ukiwawakia ndio mnakumbuka wake za ujana wenu!!!!!


Bi mdogo koleza moto...hadi maji aite mma!!!
 
vyote vipo kwa jina langu na sijamwoa,na mke anafahamu
 
naona huja ielewa mada,kama nyumba nimejenga ,watoto wamesoma academy, kuna la zaidi ya upendo huo?
 
huyu mwanamke amerudi ili kuja kutaka nyumba iuzwe , ameondoka huu ni mwezi wa tisa na si mala moja anaondoka na kuludi tumshapelekana mpaka mahakamani ameshanilaza polisi kwa mambo kusingizia, kiufupi story nzima nlishaieleza nuymba nimejenga mimi na hati au karatasi ninazo,

kwa ufupi naombeni ushauri wa namna ya kumwondoa ili niepuke mambo ya polisi,

rbya polisi nilichukua toka alipoondoka mwezi wa january,
je hiyo rb itanisaidia nikimwondoa kwa nguvu ?
 
naona huja ielewa mada,kama nyumba nimejenga ,watoto wamesoma academy, kuna la zaidi ya upendo huo?
Ujue binadamu nje ya mahitaji hayo uliyotaja,
anahitaji heshima yake kwenye jamii....
Hicho kitu ndio hujampa mke mdogo....
Ndo mana anawaya waya kutafuta mwanaume mwingine amrasimishe aitwe mke rasmi wa mtu...
 
Miezi 9 imetosha sana kusema mmeachana mkuu nasema Nenda kamfukukuzee beba watu wakambebee juu juu...!! Hana chake hapoo hawezi kwenda kufanya umalaya huko alafu anarudi hapo anavyotaka....
 
vyote vipo kwa jina langu na sijamwoa,na mke anafahamu
Hapo ndo unapokosea

mtu uko nae 20+ yrs ni mke na watoto wakubwa th
Hana tu cheti
Na hicho ndo kinamfanya asitulie ajiheshimu...

mke mkubwa kinachomfunga cheti tu...

usiseme hujamuoa ni mkeo huyo
Sasa mtreat kama mke aliyekosea na utafute suluhu usilete habari za sijamuoa na mahakamani sijui

ama option B muoe ya Kiserikali afu umtaliki rasmi ili upate nguvu ya kisheria kugawa mali
 
ndiomaana naomba ushauri,hivi hata kama ni mke a ndoa ndio ana haki ya kufanya chochote mradi tu anataka mgawane mali , wewe hilo unakubali, kiufupi mimi nimeshindwa tabia zake hizo ambazo nimekueleza, nimeomba ushauri tu wa namna ya kumwondoa ili kama ni mali kugawana aende mahakamani lakini akiwa hayupo nyumbani kwangu
 
Mkuu kwan kwa make mkubwa umehama kabisa, maana naona muda mwingi upon kwa bi mdogo.
 
Mleta mada tunaomba picha yako tafadhali!

Tangu nimeanza kukusoma sielewi kwanini huwezi kuchukua maamuzi ya kiume.
 
Unapoatelekeza kichwa cha juu ukaendekeza cha chini matokeo ndiyo haya. Hivyo, jilaumu tu mwanangu au ubadilike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…