Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Ushauri wenu ni muhimu sana.

Umri wangu ni miaka 50, nimeoa mke kanisani huu ni mwaka wa 25 naishi naye na tumejaliwa watoto wanne, wa kwanza na wapili wamemaliza tayari chuo kikuu na wa tatu yupo chuo kikuu mwaka wa pili..
Pole sana ndugu
 
Yani mwishoni lazima mwanamke ndio awe mshika mpini
Sijawahi kuona mwanaume anafurukuta mwishoni
Sababu mwanamke anakuwa na watoto upande wake always na huwa wanasubiri wazee wazeeke warudishe mapigo[emoji28][emoji28]
Wanaume wahuni mwisho wao unakuwaga mbaya wanajisahaulisha tu hapa....
Na akome tu
 
Ushauri wenu ni muhimu sana.

Umri wangu ni miaka 50, nimeoa mke kanisani huu ni mwaka wa 25 naishi naye na tumejaliwa watoto wanne, wa kwanza na wapili wamemaliza tayari chuo kikuu na wa tatu yupo chuo kikuu mwaka wa pili...
Ninachokiona hapa inatafutwa sababu ya kuhalalisha kuachwa huyu mchepuko kitafutwe kibinti kingine cha miaka 20.

Kama ni biashara ulishaon hana akili ya ujasiriamali unaendelea kumfungulia kwaajili ya nini?
 
Ushauri wenu ni muhimu sana.

Umri wangu ni miaka 50, nimeoa mke kanisani huu ni mwaka wa 25 naishi naye na tumejaliwa watoto wanne, wa kwanza na wapili wamemaliza tayari chuo kikuu na wa tatu yupo chuo kikuu mwaka wa pili..
Mbona wewe mimba yako wazazi hawakuitoa hadi ukazaliwa?/unafikiri kutoa mimba ninrahisi kama unakunya ! Inahitajinujasiri zaidi ya shetan. Hawa watotot ukishawakataa, watakhsumbua sana, tubu mjomba
 
Yani mwishoni lazima mwanamke ndio awe mshika mpini
Sijawahi kuona mwanaume anafurukuta mwishoni
Sababu mwanamke anakuwa na watoto upande wake always na huwa wanasubiri wazee wazeeke warudishe mapigo[emoji28][emoji28]
Wanaume wahuni mwisho wao unakuwaga mbaya wanajisahaulisha tu hapa....
Na wakome tu.
 
Mkuu hapo kila mtu ana makosa yake na yameshatokea hakuna jinsi

Mwanamke ana makosa yake kuingilia ndoa ya watu na mwanaume ana makosa ya kuchepuka angetulia na mkewe yote haya yasingemtokea

Maji yakishamwagika hayazoleki
Tusubiri mpaka mwisho tuone nani wa kumuonea huruma

Ni kweli mkuu, binadamu tuna mapungufu sana na tumezidiana pia
 
Yani story yako inaweza kunipa fundisho la muhimu sana. I am in the same mess in my 30's kabsa na bado sijaoa na watoto ni wadogo....

Ngoja niweke kambi....
Same Mess gani na umesema hujaoa mkuu, n wattni wadogo kivipi? Au unaishi na mke ila bado ndoa, lakini kwa umri tafuta mke pata watoto? Nimeona kuna faida kubwa sana ukiwa na watoto na waanzishe shule mapema ukiwa na nguvu, kipindi cha kusoma kikianza ndio kipindi ambacho mambo mengi sana ya kimaendeleo yanasimama, kwa hiyo inatakiwa uchacharike hasa ili uwe nafuture yako nzuri,

Maana kwa umri nimeanza kuona wakati mwingine watoto ni wa Mama tu, sisi wanaume future yetu inategemea kila ulichojiandalia wewe mwenyewe, tunazaa tu ili ijulikane umezaa, ila bado nakuja huko!
 
Mkuu, kama haya ni ya kweli basi hiyo nyumba uliuza kwa bei ya hasara sana. 80,000,000 by 2016 ni hela ndogo sana ukilinganisha na jinsi ulivyoielezea hiyo nyumba na hilo eneo. Nyumba yangu yenye vyumba 4 nimeijenga kwa 60,000,000 lakini wala haipo eneo la kishua wala nini. Ipo huku uswazi kabisa how come wewe nyumba yenye kiwanja kikubwa na mazagazaga yote hayo uiuze kwa 80,000,000?
duhh naona MAJAJI mmeshatia timu tiyari[emoji28]
 
Kaka usijali, we maliza kisa tutakushauri vema hutakaa ujutie.

Haya ni maisha ndugu yangu, na kila mmoja ana mapito yake, lait watu wangesimuliana nadhani yako ungeona nafuu mara dufu zaidi. So, relax wala usiogope kabisa chochote.

Ni kweli kwa muda utaumia na kuteseka lkn yatapita kama mengine yapitayo.
Ubarikiwe
 
Aaaah!! Nyie ndo mnaanzaga, sie tukimaliza mnaanza kulia lia na kujitilisha huruma na kujifanya victims.
[emoji16][emoji16][emoji16] sasa hapo siunaona hi scenario inagusa jinsia zote 2 ... Adui was mwanamke ninani vileeeee .....................!???[emoji3]
 
Back
Top Bottom