Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Jibu lake lilikuwa ni kwamba unajua wewe una mke mkubwa na una familia kubwa huko unaweza kutumia kwa mambo mengine, baada ya kufikilia sana, nikaona ana hoja. Na kwa kuwa lengo ni kujengea nyumba watoto na watoto ni wake, isitoshe hata hivyosikuwa Na lengo baya, basi nilimkubalia kumpa ile pesa,

Ila baadaye nilikuja kugundua kwa mala ya kwanza kule kuwa na kiburi na kisirani kipindi kile tunasubilia pesa ni usmuzi ambao nilimwambia kuwa, basi katika hiyo pesa naomba nitoe kama 15 m ili nikapunguze madeni yangu mbali mbali angalau na mimi nipumue nijione kama kweli nafanya kazi na mshahara nauona,

Maana zaidi ya miaka mitano kusema kweli nilikuwa nikipata mshahara halafu nalipa madeni na nakopa tena hapo hapo,

Ikitokea nimefanyaovertime au nimepata kasafari kidogo ndio hapo nalipia watoto karo zao na nyingine angalau kutumia wazazi,

Lakini kiujweli hali ilikuwa mbaya sana kipesa kipindi hicho, maana nilikuwa Manila madeni, mpaka kazi yenyewe nikaichukia,ilifikia kipindi nikataka kuacha na kazi yenyewe lakini nashukuru kipindi hicho kilipita,

Sasa baada ya kumwambia nitachukua ile 15 m ili nipunguze madeni yangu ALIGOMA

Na mimi nikamwambia basi angalau 10m vilevile akagoma, basi nikamwambia sasa pesa yote tukilipwa naweka kwenye Acc yangu, hapo ndipo akakubali na nikachukua sasa 15m yote nyingine itayobaki aweke yeye,

Nikamweleza mnunuzi kiasi fulani anipe mimi na kinachobaki aweke Kwenye Acc ya mke wangu,
Kwanza alishtuka lakini baada ya kumweleshaakakubali ila akinaambia niwe makini, na nisije nikampa matatizo,

Basi fungu la kwanza ilikiluwa ni 30 m ,
15 akaniwekea mimi iliyobaki ikawekwa kwa Mama
Tunaendelea


NINI KILITOKEA?
 
Jibu lake lilikuwa ni kwamba unajua wewe una mke mkubwa na una familia kubwa huko unaweza kutumia kwa mambo mengine, baada ya kufikilia sana, nikaona ana hoja..
Huku kwetu ni saa tano usiku, lala mkuu tuendelee kesho
 
Umenena Ba mjengo, Michepuko haijawahi kuacha mtu salama

Mama mjengo umenipotea wewe, ila ukweli mama mjengo katika vitu navichukia ni michepuko, yani michepuko inapoteza sana ramani ya familia, stress, zinaongeza chuki ndani ya familia yako, ugomvi na mpasuko ndani ya familia yako, halafu pia bado nae lazima awe na mtu wake sasa yani ni mkanganyiko
 
Jibu lake lilikuwa ni kwamba unajua wewe una mke mkubwa na una familia kubwa huko unaweza kutumia kwa mambo mengine, baada ya kufikilia sana, nikaona ana hoja...
Hivi muda wote huo ukiwa kwa mke mdogo kule kwa mke mkubwa inakuwaje? Na anakuwa anajua umeenda wapi?

Unastahili pongezi kwa hili
 
Sasa baada ya kupokea lile fungu la kwanza
30m, mimi haraka sana nikaenda kupunguza madeni yangu, hata hivyo Hays kwisha,

Na yeye nikamwita kwamba tukae chini ili ile 15m yake tuipangie matumizi ya kwanza kabisa,

Ushauri wangu ilikuwa tununue kiwanja kwanza,

Sehemu ambayo sio ghari sana, Hapo sasa ndio kimbembe kilipoanza,

Ila kufupisha story nilimwambia basi wewe unataka tuanze na nini? Akanijibu hiyo pesa anataka afanyie biashara wakati ujenzi unaendelea, nikamwambia biashara mbona tumefanya na tunasnguka, hata hivvyo sio mbaya wewe kutaka kufanya biashara lakini ni bora tuwe na kiwanja kwanza.

Kusema kweli zogo lilikuwa kubwa ananipayukia na mimi natumia ubaba wangu sasa kulazimisha, ndio alipoamka kwenye kiti(tulikuwa tumekaa nje na watoto wanacheza hapo nje).

Alichoniambiakwa sauti kuu na kali ni kwamba

TOKA HAPA NA VISENTI VYAKO UNAVYONIPAGA,

Du ! Leo naambiwa visenti, yaani huyu mwanamke nimekopa pesa, nimempeleka ufundi cherehani, nimemfungulia saloon , grocer, mghahawa, dala dala, mtaji wa kuku wa kisasa.

Anaanguka namyanyua, anakopa vicoba anashindwa kumaliza nammalzia,

Nalipa watoto karo kwa mwaka jaribia Mil 6 na bado watoto ndio kwanza wanasafari, kwa nini ananivunjia heshima namna hii?

Kusema kweli sikujua kama niliokota jiwe au mti au ufagio, nimpige nao akawahi kukimbia, na mimi nikaanza kumfukuza, kama sijamrushia kila kitu ambacho mpaka leo sikijui, nikaanguka chini, yeye akaendelea sijui wapi , kusema kweli sikumwona,
Kuangalia nyuma naona watoto, kumbe na wenyewe wakawa wameshika mawe wanataka kunipigia nayo, nikaamka ili niwafukuze nikaenda chini tena , sasa hapo ndio nikaanza kusikia maumivu, na watoto wale kule wamesimama, sasa na wenyewe wanapaza sauti,
KWA NINI UNAMPIGA MAMA YETU SI UENDE KWENU!!!!!

Nitaendelea
 
Sasa baada ya kupokea lile fungu la kwanza
30m, mimi haraka sana nikaenda kupunguza madeni yangu, hata hivyo Hays kwisha,

Na yeye nikamwita kwamba tukae chini ili ile 15m yake tuipangie matumizi ya kwanza kabisa,

Ushauri wangu ilikuwa tununue kiwanja kwanza,

Sehemu ambayo sio ghari sana,
Hapo sasa ndio kimbembe kilipoanza,

Ila kufupisha story nilimwambia basi wewe unataka tuanze na nini? Akanijibu hiyo pesa anataka afanyie biashara wakati ujenzi unaendelea, nikamwambia biashara mbona tumefanya na tunasnguka, hata hivvyo sio mbaya wewe kutaka kufanya biashara lakini ni bora tuwe na kiwanja kwanza,

Kusema kweli zogo lilikuwa kubwa ananipayukia na mimi natumia ubaba wangu sasa kulazimisha, ndio alipoamka kwenye kiti(tulikuwa tumekaa nje na watoto wanacheza hapo nje)

Alichoniambiakwa sauti kuu na kali ni kwamba

TOKA HAPA NA VISENTI VYAKO UNAVYONIPAGA,

Du ! Leo naambiwa visenti, yaani huyu mwanamke nimekopa pesa, nimempeleka ufundi cherehani, nimemfungulia saloon , grocer, mghahawa, dala dala, mtaji wa kuku wa kisasa,

Anaanguka namyanyua, anakopa vicoba anashindwa kumaliza nammalzia,

Nalipa watoto karo kwa mwaka jaribia Mil 6 na bado watoto ndio kwanza wanasafari, kwa nini ananivunjia heshima namna hii?

Kusema kweli sikujua kama niliokota jiwe au mti au ufagio, nimpige nao akawahi kukimbia, na mimi nikaanza kumfukuza, kama sijamrushia kila kitu ambacho mpaka leo sikijui, nikaanguka chini, yeye akaendelea sijui wapi , kusema kweli sikumwona,
Kuangalia nyuma naona watoto, kumbe na wenyewe wakawa wameshika mawe wanataka kunipigia nayo, nikaamka ili niwafukuze nikaenda chini tena , sasa hapo ndio nikaanza kusikia maumivu, na watoto wale kule wamesimama, sasa na wenyewe wanapaza sauti,
KWA NINI UNAMPIGA MAMA YETU SI UENDE KWENU!!!!!

Nitaendelea
Duh!
 
Back
Top Bottom