- Thread starter
- #501
Du , kusema sikuwa na la kujibu ilibidi nikawa chini kwanza nitafakari, akili haikunipa kabisa,
Suala sio kwa nini kanunua na kuficha hivyo vitu kwa ndugu yake, ila ni kuwa inaonesha sasa haya ni maandalizi ya kunikimbia na pesa zangu,
Sikumuliza chochote, ila baada nilikuwa kama najisemeshakuwa nimeota kama kuna mizigo unaleta hapa nyumbani, akasema ndoto tu hizo,
Baadaye tena nikamwambia mbona nasikia kuna vitu umenunua umehifadhi kwa ndugu yako, kwa nini usilete hapa? Akanijibu nimekuambia sijanunua kitu mimi, na nilishakukataza mmambo ya kusikia sikia huko nje usiwe unaniletea hapa, umesikia wewe,
Nikamwambia basi sio kusikia tu ila niliokotaga risiti hapa ndani ila sikutaka kukuambia, akasema nipe hiyo risiti, nikamwambia niliiacha hapa hapa, nikijua siku moja utaniambia
Akasema mimi sijui una niuliza kitu gani maana na wewe sasa hivi umekuwa mswahili kweli,
Aliendelea sasa kulalamika hasa kuwa namtuhumu kwa mamvo mengi,sasa mala sio mwaminifu mala mwizi, hivi kama hivyo vitu nimenunua, hapa si kwangu kwa nini nisilete hapa nyumbani,
Na wakati unaona hata magodoro hapa sio mazuri, na kitanda chenyewe cha zamani!
Suala sio kwa nini kanunua na kuficha hivyo vitu kwa ndugu yake, ila ni kuwa inaonesha sasa haya ni maandalizi ya kunikimbia na pesa zangu,
Sikumuliza chochote, ila baada nilikuwa kama najisemeshakuwa nimeota kama kuna mizigo unaleta hapa nyumbani, akasema ndoto tu hizo,
Baadaye tena nikamwambia mbona nasikia kuna vitu umenunua umehifadhi kwa ndugu yako, kwa nini usilete hapa? Akanijibu nimekuambia sijanunua kitu mimi, na nilishakukataza mmambo ya kusikia sikia huko nje usiwe unaniletea hapa, umesikia wewe,
Nikamwambia basi sio kusikia tu ila niliokotaga risiti hapa ndani ila sikutaka kukuambia, akasema nipe hiyo risiti, nikamwambia niliiacha hapa hapa, nikijua siku moja utaniambia
Akasema mimi sijui una niuliza kitu gani maana na wewe sasa hivi umekuwa mswahili kweli,
Aliendelea sasa kulalamika hasa kuwa namtuhumu kwa mamvo mengi,sasa mala sio mwaminifu mala mwizi, hivi kama hivyo vitu nimenunua, hapa si kwangu kwa nini nisilete hapa nyumbani,
Na wakati unaona hata magodoro hapa sio mazuri, na kitanda chenyewe cha zamani!