Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Nimesoma karibu visa vyote ulivyoandika na nimeshawishika kuandika hivi vimstari vichache.
Kimoja kati ya haya yafuatayo huenda ikawa sawa
1. Una zile wanaaita laana za ukoo au umechezewa/Umetekwa akili kimazingara ama na huyo unayemuita mke mdogo au mtu mwingine tu (ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki tu).
Mwanadamu mwenye ufahamu wa kawaida hawezi fanyiwa hayo uliyoyaandika umefanyiwa au fanya hayo uliyoandika umefanya na akaendelea kuona ni sawa tu.
2. Hiki ni kisa tu umeamua kufanya utunzi kwa nia ya kuelimisha. Kama nimesoma vizuri zile sehemu za mwanzo umeeleza kuwa mke mkubwa hana taarifa kama una mpango wa kando, lakini ukifuatilia mtirirko wa matukio ni kama maisha yako kwa kiasi kikubwa umetumia muda mrefu kuishi nyumba moja na huyo mpango wako wa kando.
Na kuna mahali umeeleza ya kwamba mpango wako wa kando wafahamika kwa nduguzo nawe kwa nduguze, sasa napata wakati mgumu kuelewa iweje taarifa hizi zikose mfikia mkeo wa kwanza.
3. Mkuu kama wewe unaona ni sawa kuwa na mpango wa kando, iweje umzue mpango wako wa kando kuwa na mpango wake wa kando?
4. Mwisho, hizi mambo za mipango ya kando hebu waachie watu wako na discpline ya kudeal na hizi mambo.
Kimoja kati ya haya yafuatayo huenda ikawa sawa
1. Una zile wanaaita laana za ukoo au umechezewa/Umetekwa akili kimazingara ama na huyo unayemuita mke mdogo au mtu mwingine tu (ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki tu).
Mwanadamu mwenye ufahamu wa kawaida hawezi fanyiwa hayo uliyoyaandika umefanyiwa au fanya hayo uliyoandika umefanya na akaendelea kuona ni sawa tu.
2. Hiki ni kisa tu umeamua kufanya utunzi kwa nia ya kuelimisha. Kama nimesoma vizuri zile sehemu za mwanzo umeeleza kuwa mke mkubwa hana taarifa kama una mpango wa kando, lakini ukifuatilia mtirirko wa matukio ni kama maisha yako kwa kiasi kikubwa umetumia muda mrefu kuishi nyumba moja na huyo mpango wako wa kando.
Na kuna mahali umeeleza ya kwamba mpango wako wa kando wafahamika kwa nduguzo nawe kwa nduguze, sasa napata wakati mgumu kuelewa iweje taarifa hizi zikose mfikia mkeo wa kwanza.
3. Mkuu kama wewe unaona ni sawa kuwa na mpango wa kando, iweje umzue mpango wako wa kando kuwa na mpango wake wa kando?
4. Mwisho, hizi mambo za mipango ya kando hebu waachie watu wako na discpline ya kudeal na hizi mambo.
Hatujawasiliana toka aondoke kesho anafunga mwezi,
Namshukuru Mungu sasa hivi wala roho yangu haiumii tena, nimeshamwona taka taka, na kusema kweli na mchukia vibaya sana, usiku na mchana naomba asirudi maana sijui ninaweza kumfanya kitu gani
Ameshanitamkia kuwa yupo hapa kwa ajili ya nyumba tu sisi mimi,
Ameshanitamkia mpaka tugawane vyumba,