Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Kuhusu mimi nimeshaamua huyu mwanamke simtaki lakini wasiwasi wangu ni hii nyumba?
Niifanyeje

Mambo ya polisi na ustawi wa jamii nataka kuyaepuka mapema sana,

Ingawa binafsi ningejua hatma ya nyumba,
Ingependeza kama ningeimalzia vizuri,

Niongeze vyumba kama 15 vya wapangaji, ili niipige bei nzuri

Uhakika baada ya hapo hapo 300 m
Nitakunja
Kamani heka moja, hiyo nyumba kama ilivyo mpe taraka mwachie kisheria. Kata hicho kiwanja waachie Nusu au robo tatu ya heka. Gawa mara mbili kwa ajili ya,watoto,kilucho baki uza. Achana na huyo mwanamke atakuua, rudi kwa bi mkubwa msahau huyo kabisa.
 
Mkuu achana na huyu mwanamke. Labda nikuulize swali moja, je Bi Mkubwa anamjua huyu mwanamke kwa sasa? Kama hamjui, inabidi nikupongeze mkuu. Mwachie tu hiyo nyumba kwakuwa ana watoto, huyo anachotafuta ni wewe umpe taraka mgawane, hakuna kitu hapo atakuletea ugonjwa tu.
Ampe talaka kwani alimuoa? Mwanamke mshenzi sana huyo. Tapeli wa mapenzi na mali... yaan alipoonaga gari tu akachanganyikiwa. Ukute hata alimloga baba wa watu.

Halafu huyo staff mwenzie na mzee alivyomwambia mbona huyu mwanamke si wa hadhi yako kwenye graduu tuondoke yaani mngejua nilivyompatia picha kuanzia alivyo mpk mavazi na attitude yake[emoji23][emoji23]

Huyu baba ana upendo sana na haupimiki. Yaan kuna watu makatili sana duniani. Huyu MCHEPUKO huyu ni kiasi cha muda tu kuyalipia haya. Namfeel huyu baba. Natamani ningemsindikiza kwa mkewe amwelezee A to Z. yatakwisha tu no matter what
 
Hatujawasiliana toka aondoke kesho anafunga mwezi,
Namshukuru Mungu sasa hivi wala roho yangu haiumii tena, nimeshamwona taka taka, na kusema kweli na mchukia vibaya sana, usiku na mchana naomba asirudi maana sijui ninaweza kumfanya kitu gani



Ameshanitamkia kuwa yupo hapa kwa ajili ya nyumba tu sisi mimi,

Ameshanitamkia mpaka tugawane vyumba,
Naomba ukamweleze mkeo tafadhali achana na hiki kirambasi. You are too innocent jamani kupitia haya yote.
 
Ila nlichokigundua we jamaa una ufala fulani, mtu ni mchepuko, viwanja ulinunua wewe ili umpe hifadhi saivi unahangaika sjui mpelekane ustawi mara unamuogopa jamaa anayemkaza mchepuko wako, mara una bond na watoto lakini mkizinguana na mchepuko nao waja juu eti toka kwetu khaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 afu unaogopa mchepu adi unaenda polisi
 
Ampe talaka kwani alimuoa? Mwanamke mshenzi sana huyo. Tapeli wa mapenzi na mali... yaan alipoonaga gari tu akachanganyikiwa. Ukute hata alimloga baba wa watu.

Halafu huyo staff mwenzie na mzee alivyomwambia mbona huyu mwanamke si wa hadhi yako kwenye graduu tuondoke yaani mngejua nilivyompatia picha kuanzia alivyo mpk mavazi na attitude yake[emoji23][emoji23]

Huyu baba ana upendo sana na haupimiki. Yaan kuna watu makatili sana duniani. Huyu MCHEPUKO huyu ni kiasi cha muda tu kuyalipia haya. Namfeel huyu baba. Natamani ningemsindikiza kwa mkewe amwelezee A to Z. yatakwisha tu no matter what
You are thinking very big!una upendo na huruma,huyu kaka yangu amekosea sehemu nyingi sana lakini sio muda wakumlaumu wala kumuona mpumbav.,ameomba ushauri,tumshaurini,nachukia watu wanaodhani ni perfect kumbe ukibahatika kuonana nao kwa kwa mfuga mbwa they are so pathetic.
 
Kamani heka moja, hiyo nyumba kama ilivyo mpe taraka mwachie kisheria. Kata hicho kiwanja waachie Nusu au robo tatu ya heka. Gawa mara mbili kwa ajili ya,watoto,kilucho baki uza. Achana na huyo mwanamke atakuua, rudi kwa bi mkubwa msahau huyo kabisa.
Kuna talaka ya MCHEPUKO?
 
Pole sana mshuwa wangu, wafugaji wenzio tunawekaga na madaktari kabisa wa mifugo!
Hapo kwa chuki tu ndo nimekuona hamnazo that's was my opinion na wala haihusiki na chuki kabisa why should I envy someone older than me ambaye ana shindwa ku handle maisha yake na kuja kulia lia humu kwenye forum tena mwanaume it means your in dillema na huna peace of my mind, maana una force watu wakubaliane na justification zako wakati unaumia na kukukula ndani your not happy at all, tena unagutuka uzeeni dakika ya 59. Hyo sijui kuoa hata wa 18 sio shida je una nguvu za kiume za kutosha maana mabaharia wenzako wana handle hii issue kikawaida.
Wewe kubali uliingia Cha kike acha kutafta justification Ili upoze machungu ka viwanja hata mimi ninavyo sembuse mzee mzima unayekaribia ku expire kweli, pole hii kitu itakukula then mkeo ndo wa kuja kukulea so hyo kujenga sio viwanja watu wengi Wanavyo, so usione kuandika hivo eti mie nitaona wivu kwa kipi hasa shaaaaa in maasai voice.
Wewe tuliza mshono wako bwana ur not exceptional watu Wana wake wengi na hawajilizi Hadi sasa kuhangaika na mchepuko ni kwamba huna amani
Cariha, Cariha, Cariha!
 
Ni amateur katika michepuko huyo! Atuulize wakubwa zake baadala ya kuomba misaada hata kwa mapadre wa JF ambao hawajui raha na subiri za ndoa. Achilia mbali vichelema vya JF.

Mchepuko ukiona hakuna faida kwako inatengeneza mradi mwingine. Sasa huyu dogo maskini bila uzoefu akawa analazimisha. Michepuko ni ghali sana na ukubali kuiacha ikichoka si mpaka kupigana. Utapiganaje na mchepuko hata akiwa Bi Mkubwa. Si unaondoka na briefcase yako. Mtoto unaendelea kumsomesha na kumtunza. Siamini kuna mwanamke anaweza kuwa zaidi ya damu yangu (DNA huwa tunahakikisha). Bi mkubwa asipowapokea aamue kunyoa au kusuka
Mpaka najiuliza ni kweli uchawi unafanya kazi ama ni nn? Yaan pale mwanzoni tuu mke angejua kuna ma.la.ya. ameingilia ndoa yake na mumewe kingewaka halafu kikapoa. Huyu mchepuko asingepata gats zote hizi. Yaan amejua kumuendesha baba wa watu jamani. Yaan namhurumia mno. Mwenyezi Mungu amsimamie tu kwa kweli. Yaan libinti lichawi kbs hili. Yaan lilishapiga mahesabu likaona hapa ndo pa kutokea. Opportunist. Mpaka natamani mzee apime hao watoto DNA. yaani anaamini hakua anacheatiwa na mapichapicha yote haya. Mwanaume akiwa muungwana sana na mpole ndo haya hutokea.
 
Da , vipi nikimwacha, watamkimbia?
Hebu weka vizuri hapo
Yaani ukimwacha baada ya miezi sita tuu atajuta sana yeye na mama yake wakilaumiana kwanini ulinidanganya.... kama kuna vibenten vyote vitamkimbia
 
Mpaka najiuliza ni kweli uchawi unafanya kazi ama ni nn? Yaan pale mwanzoni tuu mke angejua kuna ma.la.ya. ameingilia ndoa yake na mumewe kingewaka halafu kikapoa. Huyu mchepuko asingepata gats zote hizi. Yaan amejua kumuendesha baba wa watu jamani. Yaan namhurumia mno. Mwenyezi Mungu amsimamie tu kwa kweli. Yaan libinti lichawi kbs hili. Yaan lilishapiga mahesabu likaona hapa ndo pa kutokea. Opportunist. Mpaka natamani mzee apime hao watoto DNA. yaani anaamini hakua anacheatiwa na mapichapicha yote haya. Mwanaume akiwa muungwana sana na mpole ndo haya hutokea.
haya mambo yasikie tuu yasikukute🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
Sasa baada ya kupokea lile fungu la kwanza
30m, mimi haraka sana nikaenda kupunguza madeni yangu, hata hivyo Hays kwisha,

Na yeye nikamwita kwamba tukae chini ili ile 15m yake tuipangie matumizi ya kwanza kabisa,

Ushauri wangu ilikuwa tununue kiwanja kwanza,

Sehemu ambayo sio ghari sana, Hapo sasa ndio kimbembe kilipoanza,

Ila kufupisha story nilimwambia basi wewe unataka tuanze na nini? Akanijibu hiyo pesa anataka afanyie biashara wakati ujenzi unaendelea, nikamwambia biashara mbona tumefanya na tunasnguka, hata hivvyo sio mbaya wewe kutaka kufanya biashara lakini ni bora tuwe na kiwanja kwanza.

Kusema kweli zogo lilikuwa kubwa ananipayukia na mimi natumia ubaba wangu sasa kulazimisha, ndio alipoamka kwenye kiti(tulikuwa tumekaa nje na watoto wanacheza hapo nje).

Alichoniambiakwa sauti kuu na kali ni kwamba

TOKA HAPA NA VISENTI VYAKO UNAVYONIPAGA,

Du ! Leo naambiwa visenti, yaani huyu mwanamke nimekopa pesa, nimempeleka ufundi cherehani, nimemfungulia saloon , grocer, mghahawa, dala dala, mtaji wa kuku wa kisasa.

Anaanguka namyanyua, anakopa vicoba anashindwa kumaliza nammalzia,

Nalipa watoto karo kwa mwaka jaribia Mil 6 na bado watoto ndio kwanza wanasafari, kwa nini ananivunjia heshima namna hii?

Kusema kweli sikujua kama niliokota jiwe au mti au ufagio, nimpige nao akawahi kukimbia, na mimi nikaanza kumfukuza, kama sijamrushia kila kitu ambacho mpaka leo sikijui, nikaanguka chini, yeye akaendelea sijui wapi , kusema kweli sikumwona,
Kuangalia nyuma naona watoto, kumbe na wenyewe wakawa wameshika mawe wanataka kunipigia nayo, nikaamka ili niwafukuze nikaenda chini tena , sasa hapo ndio nikaanza kusikia maumivu, na watoto wale kule wamesimama, sasa na wenyewe wanapaza sauti,
KWA NINI UNAMPIGA MAMA YETU SI UENDE KWENU!!!!!

Nitaendelea

Doooh
 
Nilete kisa changu hapa ili mnishauri thubuuu Bora mninyonge

Watu wenyewe mnamidomo mnaongea Kama kasuku [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha uoga wewe leta uzi hapa tukeshe nao[emoji1436]‍♀️
 
Back
Top Bottom