Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Kwa nn mmamshauri amweleze bi mkubwa?. Hapa hatujui ni changamoto gani za kipato au kimaisha bi mkubwa kazipitia hasa kwa namna ambavyo hiyo familia imekuwa kubwa na uhitaji. Wamepita ndugu kadhaa ili kusomeshwa achilia mbali watoto. Vipi kama kuna wakati alimwambia mama tufunge mkanda ilihali upande wa pili nao unatumia kipato hicho cha familia?. Km anauhakika bi mkubwa hakuwahi pitia changamoto za fedha amwambie, lakini kwa simulizi yake kuna wakati watoto walishindwa kwenda shule kwa wakati hapo mlo ndo sijui. Akienda kujieleza anaweza fufua makaburi akapata msamaha wa mdomo halafu mama aka deal na watoto kwamba wameteseka wakati kuna watu walikuwa wanahudumiwa, uzee wake utakuwa wa shida zaidi.
Binafsi namshauri ajipime na hata km itatokea bi mkubwa akawa anajua na akataka walimalize asisimulie mambo yote yaliyotokea.
Nadhani bado hujaelewa mambo vizuri hapa. Na amekiri mke anajua tayari. We unadhani kwanini analialia na kuomba msaada? Ni kwasababu anaona ameshatelekezwa. Aisee wanawake tupewe tuzo maana huwa tunaona mbali sana. Endelea kuchakachua mada utaelewa mkuu. Sisi tulishaona toka mbali hasa kiuhalisia hajawa halisia kwa kusema ukweli.
 
Dah yaani ana hofia asirudi, anaomba Mungu asirudi, ni kwamba akirudi hana jeuri yoyote

Kwa umri mimi ni mdogo sana ukilinganisha na mleta uzi lakini natamani ningempa stori yangu aone maamuzi huchukuliwaje

Mtu mzima hana kabisa confidence ni suala kusikitisha

Hali hiyo hutokea unapotaka kuachwa na umpendaye lakini kuna wakati lazima uchukue maamuzi

Halafu baadae ndio unagundua kumbe maisha yanaweza kuendelea tu bila yeye
Ukitaka mwitore arushe ngumi mtajie limchepuko lake[emoji23][emoji23]
Analilinda kama moyo wke
 
Nimesoma story yako karibia kila kipengele ila Kuna maelezo sijaelewa vzr
Picha linaanzia Dar means maisha yenu yote ni Dsm!!
Watoto wanakua umri wa kwenda shule unawatafutia shule nje ya dar ambayo nauli inagharimu karibia 200k kwa wote wawili, means muda mwingi hawapo nyumbani siku ile unataka kumpiga mama yao watoto nao wanakushikia mawe wanakuambia uende kwenu let's say walikua likizo
Wasiwasi wangu unaanzia hapa👇👇👇

Graduation; sijui Ni ya kumaliza darasa la 7 au form 4 muda huo huyo mchepuko wako hakuepo nyumbani anakuja dar bila kufika nyumbani kwako mnaenda kwenye graduation unamsalimia anauchuna unataka kuongea nae anagoma muda wa kulishwa keki unataka kulishwa na mwanao unagoma swali je watoto walihamia Dar au shule ilikua nje ya dsm ila graduation ilifanyikia dsm (chai).
Swali lingine penye utata je watoto hawako Tena boarding school make Kuna mmoja Yuko Kwa mama yako anasomea huko japo hapataki

Anyway story yako ni nzuri inafunza lakini maswali ya sintofahamu ni mengi kuliko kawaida natamani niseme Ni chai lakini members wa Jf watanimeza jumlajumla!!!
Pengine hiki Ni kisa kilikutokea lakini Kuna mambo umeongeza mpk umepoteza content nzima.

Jamiiforums; we dare to talk openly.😆😆😆

cc: Mwitore
Wote primary walisomea Dar lakini bording,
Secondary ni bording Lakini mkoani
Mmoja sec kati us Na kijijini kwangu Lakini bording sio nyumbani kwa mama
Likizo anakuja Dar
Graduation ni wakati anamaliza primary Dar
 
Wote primary walisomea Dar lakini bording,
Secondary ni bording Lakini mkoani
Mmoja sec kati us Na kijijini kwangu Lakini bording sio nyumbani kwa mama
Likizo anakuja Dar
Graduation ni wakati anamaliza primary Dar
Kaka mwitoree
 
Unadhani polisi ndiko uliko ulinzi wako?

Ngoja nikuambie baba yangu;
Unapofanya dhambi basi tambua unajitenga mbali na uso wa Mungu.

Salama yako ni kutubu na kuacha ili uso wa Mungu uwe karibu na wewe.

Uso wa bwana haukai na wenye dhambi.

Mithali inasema hivi;
"Mtu aziniye na mwamamke hana akili kabisa,Afanya Jambo litakalomwangamiza nafsi Yake"

Wewe kwa sasa akili hauna.siyo maneno yangu..ni Biblia inasema hivyo(samahani kama nitakuwa nimetumia lugha Kali...ila sina lugha nyingine ya faraja ninayoweza kuiandika zaidi ya hii)
Hivi hata ukijitathmini mwenyewe,unajiona uko sawa kweli??
Chanzo nini?
Chanzo ni dhambi.

Unafanya Jambo litakalokuangamiza nafsi yako.
Huyo mwanamke hujui anakuwazia nini.
Na lazima anakuwazia mabaya..
Wewe unaenda kuangamia kama unavyoona mwenyewe.
Na salama yako haipo polisi..salama yako ipo kwa Yesu.

Usipo kubali kugeuka basi upo njiani kuangamia.

Jumbe zangu nyingi huko juu umeziruka,ila hii usiiruke.
Na ikiwezekana rudi ukazisome japo zinaumiza ila kuna kitu utajifunza.
Nasoma jumbe zote, hakuna ninayoruka
Siwezi kuruka ujumbe wowote ila ni nyingi siwezi jibu zote
Amina
 
Daah kaka mkubwa KUWA MWANAUME, haya maamuzi si yakiume, maana mengi yanaonesha hata wew hujui itakuwaje akirudi.

Broo chukua maamuz magumu, uza nyumba hiyo uzuri ushasema hamna mtu ambae yupo apo asaiv umeifunga tu, uza tafuta eneo jingine jenga, watoto wapangishie sehem wakirud likizo wakukute hapo wakat ujenzi unaendelea sehem ambayo hata wao hawatapaswa waijue hadi ikamilike.
Sasa jamani nyumba inauzwa siku moja?
Si inachukua muda, labda niiuze sh mbili ndio atapatikana mteja chap, lakini suala la nyumba kuuzwa hilo ndio nalitaka,

Nimeshasema mala nyingi tu,

Na kesho naiweka kwenye Zoom
Halafu baadaye magazetini,

Ndio nimeamua hivyo
 
27- namwomba yule rafiki ajaribu amwambie nina maongezi naye lakini, anajibu sisi tumekuja kwa shughuli ya mtoto, nikamwomba basi naomba niongee na wewe,
Akasema lakini nikupe simu ya mzee ili alinipe ruhusu ya kuongea na wewe,

Yule rafiki yangu alinivuta shati kwa ghafla bila kutegemea,
Akaniambia tuondoke, ‘kumbe mwanamke mwenyewe ndio huyu, mbona yupo,(primitive sana) mmm yaani mke wangu Primitive, aliishia tu kuniambia yule sio mwanamke wa kunisumbua mimi, yaani sio hadhi yangu kabisa, kwamba ana mwonekano wa kishamba hasa, acha tabia yake.
Wewe utakua umewahiwa kwa sangoma,mchepuko kwangu hata angekua na watoto wanne akizengua namtupa....nalea wanangu tu,tumezaa nje zaidi ya watoto wawili na wanawake sina muda nao nalea na kutoa matumizi,ada, hosp
 
Kuna kisa kilinitokea,mpaka sasa sina hamu ila nimekubali matokeo.

Kuna kibinti nilianza nacho mahusiano kilipomaliza form 4
mwanzo nilikua nakala kwa mipira,baadae nkajua mzunguko wake wa hedhi
nikaanza kuwa navizia siku salama,napga mzigo nyama nyama

Siku zimeenda sana,kuna muda nilikua nasafir kama miez 6 narudi,nakula mzigo
virafik vyake vingi vikawa vinapata ujauzito,vingne vna watoto hadi wawili,nkamuuliza mbona wew hupat mimba kama wenzio,maana niliamin sio mim tu ninae kula lazima kuna njemba tulkuwa tunashare.
kilnijibu kuwa kina matatizo hivyo hakiwez shika ujauzito(mwanaume nkajisemea kimoyo moyo kuwa haka katanifaa kuwa kamilele kwa matumizi ya kula raha).tena kakanihakkshia kuwa kuna kipind kalkuwa kananidanganya siku zake za hedhi nikawa nakula na siku hatari lakini hakakupata mimba.

Kipindi fulan nikawa fresh kpesa,nkaona ili kukafaid zaid nkaona nkapangishie
nikakaweka gheto,nikaanza kula vitu kwa uhuru
kumbe chenyewe kkaona kmeolewa kabsa,kumbe kilikuja na dawa za kienyej za kusaidia kupata ujauzito
mwezi mmoja tu,demu ananiambia ana mimba,nawakat anakuja alkuwa yupo kwenye siku zake kavaa na pedi kabisa
mwanaume nikachanganyikiwa,mwisho wa siku nikakubal matokeo,ila nmerudsha azae kwanza baadae nmrudishe aendelee kuwa mpango wa kando

ila kwasasa niko makini mno,hawa watu hawataweza tena nifanya nisiifurahie dunia
obama siyo mjinga kuwa na watot

Kuna kisa kilinitokea,mpaka sasa sina hamu ila nimekubali matokeo.

Kuna kibinti nilianza nacho mahusiano kilipomaliza form 4
mwanzo nilikua nakala kwa mipira,baadae nkajua mzunguko wake wa hedhi
nikaanza kuwa navizia siku salama,napga mzigo nyama nyama

Siku zimeenda sana,kuna muda nilikua nasafir kama miez 6 narudi,nakula mzigo
virafik vyake vingi vikawa vinapata ujauzito,vingne vna watoto hadi wawili,nkamuuliza mbona wew hupat mimba kama wenzio,maana niliamin sio mim tu ninae kula lazima kuna njemba tulkuwa tunashare.
kilnijibu kuwa kina matatizo hivyo hakiwez shika ujauzito(mwanaume nkajisemea kimoyo moyo kuwa haka katanifaa kuwa kamilele kwa matumizi ya kula raha).tena kakanihakkshia kuwa kuna kipind kalkuwa kananidanganya siku zake za hedhi nikawa nakula na siku hatari lakini hakakupata mimba.

Kipindi fulan nikawa fresh kpesa,nkaona ili kukafaid zaid nkaona nkapangishie
nikakaweka gheto,nikaanza kula vitu kwa uhuru
kumbe chenyewe kkaona kmeolewa kabsa,kumbe kilikuja na dawa za kienyej za kusaidia kupata ujauzito
mwezi mmoja tu,demu ananiambia ana mimba,nawakat anakuja alkuwa yupo kwenye siku zake kavaa na pedi kabisa
mwanaume nikachanganyikiwa,mwisho wa siku nikakubal matokeo,ila nmerudsha azae kwanza baadae nmrudishe aendelee kuwa mpango wa kando

ila kwasasa niko makini mno,hawa watu hawataweza tena nifanya nisiifurahie dunia
obama siyo mjinga kuwa na w

Kuna kisa kilinitokea,mpaka sasa sina hamu ila nimekubali matokeo.

Kuna kibinti nilianza nacho mahusiano kilipomaliza form 4
mwanzo nilikua nakala kwa mipira,baadae nkajua mzunguko wake wa hedhi
nikaanza kuwa navizia siku salama,napga mzigo nyama nyama

Siku zimeenda sana,kuna muda nilikua nasafir kama miez 6 narudi,nakula mzigo
virafik vyake vingi vikawa vinapata ujauzito,vingne vna watoto hadi wawili,nkamuuliza mbona wew hupat mimba kama wenzio,maana niliamin sio mim tu ninae kula lazima kuna njemba tulkuwa tunashare.
kilnijibu kuwa kina matatizo hivyo hakiwez shika ujauzito(mwanaume nkajisemea kimoyo moyo kuwa haka katanifaa kuwa kamilele kwa matumizi ya kula raha).tena kakanihakkshia kuwa kuna kipind kalkuwa kananidanganya siku zake za hedhi nikawa nakula na siku hatari lakini hakakupata mimba.

Kipindi fulan nikawa fresh kpesa,nkaona ili kukafaid zaid nkaona nkapangishie
nikakaweka gheto,nikaanza kula vitu kwa uhuru
kumbe chenyewe kkaona kmeolewa kabsa,kumbe kilikuja na dawa za kienyej za kusaidia kupata ujauzito
mwezi mmoja tu,demu ananiambia ana mimba,nawakat anakuja alkuwa yupo kwenye siku zake kavaa na pedi kabisa
mwanaume nikachanganyikiwa,mwisho wa siku nikakubal matokeo,ila nmerudsha azae kwanza baadae nmrudishe aendelee kuwa mpango wa kando

ila kwasasa niko makini mno,hawa watu hawataweza tena nifanya nisiifurahie dunia
obama siyo mjinga kuwa na watoto wawili.
Tafadhali Njooo Pm mkuu
 
Binamuuuuuuu baeleze baelewe.

Mimi ni bora iwaroge hao hao wanaume wanaoacha ndoa zao na kwenda kuhangaika na michepuko. Lakini michepuko mingi inaroga wake za watu ili wafe then wao ndio waolewe. Imagine mke kajituliza busy analea wanae afu anapigwa kipapai kimoja amazing anakufa anaacha watoto wake wakiwa. Mimi wawaroge tu hao hao wanaoenda kuwatafuta huko nje kwa starehe zao za kijinga

Bado wake wanaoambukizwa magonjwa, kuna wale ambao waume zao wanawachanganya na michepuko hadi wanapata mashinikizo ya moyo.

Kila mtu anywe maji kwa kisima chake jamani. Mara chache sana michepuko inaanza kutamani na kumroga mume wa mwenyewe from nowhere; mara nyingi nyie ndiyo mnakaribisha uharibifu kwenye familia zenu kwa kwenda kuifuata michepuko huko ilipo. Tulieni na wake zenu
Tatizo wanaume wabishi jamani achaa kabisaa...yakiwakuta wanalia na Mara nyingi mwanaume anaechepuka na asirogwe hawi zoba kama huyu baba anajali family yake vzr na kungine anagonga.

Na usemayo ni kweli wanawake wengine wanaroga mke mkubwa ili arithi yeye kiti hata huyu mchepuko naona mke mkubwa ana nguvu ya Mungu sana kamshindwa haswaaa!la sivyo hata hao watoto wasingesoma aseehh!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Khhaaa! Ndicho ulichoambua[emoji15][emoji15]! Shetani shindwa, ashindwe na alegee [emoji3][emoji3][emoji3]
Yaani hapa natoka church, nishaanza kupata upako! Yaani mtu anasema "amepata viwili" shetani ananishawishi vinginevyo wakati ni viwanja viwili; Eh Bwana Mwokozi!!!
 
Mama weweeee....mjini hapatakalikaa utashangaa mke mkubwa analetewa wake wanne na watoto wawili kila mmoja yaani![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji16][emoji16]!!!Wanaume wa kikristoo wana watoto njee!na wanachepukaa haswaaa na wanaoa siku Hizi wake wawili wawili mpk watatu!hyo sheria wanatamaani iondolewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nachosubiria ntakukodi uje na police kusimamia zoezi[emoji16][emoji16]
 
Hatujawasiliana toka aondoke kesho anafunga mwezi,
Namshukuru Mungu sasa hivi wala roho yangu haiumii tena, nimeshamwona taka taka, na kusema kweli na mchukia vibaya sana, usiku na mchana naomba asirudi maana sijui ninaweza kumfanya kitu gani



Ameshanitamkia kuwa yupo hapa kwa ajili ya nyumba tu sisi mimi,

Ameshanitamkia mpaka tugawane vyumba,
Bro shida yako nini?fanya maisha yako huyo atakuvurugia maisha yako kabisa ujute,istoshe hiyo nyumba uza hao watoto wachukue peleka kwako waishi na wenzao
 
Nimeuelewa sana mchango wako. Kiukweli sikutilia maanani sana kwmb anko anaweza akawa kafanyiwa ivyo. Kuna kiukweli flani wa icho usemacho. Amshukuru Mungu mpk sasa kamueka hai.
Yaani usiombe Urogwe unakua kama kondooo na mtu kila mwaka anarenew tu!hizo safari za ghafla alikua anaenda kufanya rejuvenation ya uchawi na alikua anauoga,anaula,anaulalia n.k hivi kwa akili ya kawaida unamkabidhi mwanamke 40mils kirahisi hivyoo na kiburi pia mchepuko alikua nacho!anakitoa wapii!kwa mtu mwenye fedha zake kama huyoo!Waswahili nawajua vzr nimeishi nao na tunaishi nao huyo demu alijipanga na alijua hapo kuna maisha akakutana na watu wakampa mbinu Mzee akaingia kingi akajaaa mwingi!akalishwaa vya kulishwa na vikakolea miaka nenda miaka rudi!
Mchepuko ushavuna sanaa mpk umejenga na hamhitaji tenaa kwa sasa hapo kama atastaafu huyo bibie anarudi tena vuup anamaliza kona anasepa zake la ajirekebishe haraka sana na hana msaada zaidi ya Mungu tu maana Mungu ndo hatuchoki na ndo kimbilio la mwisho kabisaa!

Huyu Mzee amrudie Mungu na toba ya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sababu story ilikuwa mwanzo sana, na story ilikuwa inahusu bi mdogo, sikutaka sana kumzungumzia yeye, nimeona hata wengine wanasema muda mwingi nilikuwa natumia kwa bi mdogo, hapana nilikuwa nabalanci sana muda wangu ili kila upande ulizike, na kuwa kazi zangu zilikuwa ni za masaa tofauti tofauti, mala usiku mala mchana, mala weekend unaenda unapumzika katikati ya wiki (shift), mala safari, mala overtim e, hayo yote yalisaidia sana kuonekana pande zote na wakawa wamezoea hiyo mienendo yangu,

Kuhusu bi mkubwa kugundua alikuja gundua baadaye sana, kwanza baada ya bi mdomo kuniwekea chupi ya mtoto kwenye bag langu, wakati nimetoka safari,
Hapo pamoja na kujitetea ndio alipoamza kuweka Q mark,

Baadaye sana sasa ikawa wazi kabisa ,
Ila alinaambia yeye hataki mtoto kwake, kama ni nyuma niwajenge e huko huko
Mzee Mwitore bhana! Kumbe kwa mke mkubwa umeshalikoroga[emoji3][emoji3]

Ndio maana madogo wamekupa laki na ishirini tu.
Asa mbona hukusema mwanzo kama mke mkubwa anajua uchafu unaofanya.?


Ndio maana unatapatapa kama samaki aliyevuliwa mtoni akatupwa nchi kavu.

Pole sana mzee Mwitore.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom