Nimesoma story yako karibia kila kipengele ila Kuna maelezo sijaelewa vzr
Picha linaanzia Dar means maisha yenu yote ni Dsm!!
Watoto wanakua umri wa kwenda shule unawatafutia shule nje ya dar ambayo nauli inagharimu karibia 200k kwa wote wawili, means muda mwingi hawapo nyumbani siku ile unataka kumpiga mama yao watoto nao wanakushikia mawe wanakuambia uende kwenu let's say walikua likizo
Wasiwasi wangu unaanzia hapa👇👇👇
Graduation; sijui Ni ya kumaliza darasa la 7 au form 4 muda huo huyo mchepuko wako hakuepo nyumbani anakuja dar bila kufika nyumbani kwako mnaenda kwenye graduation unamsalimia anauchuna unataka kuongea nae anagoma muda wa kulishwa keki unataka kulishwa na mwanao unagoma swali je watoto walihamia Dar au shule ilikua nje ya dsm ila graduation ilifanyikia dsm (chai).
Swali lingine penye utata je watoto hawako Tena boarding school make Kuna mmoja Yuko Kwa mama yako anasomea huko japo hapataki
Anyway story yako ni nzuri inafunza lakini maswali ya sintofahamu ni mengi kuliko kawaida natamani niseme Ni chai lakini members wa Jf watanimeza jumlajumla!!!
Pengine hiki Ni kisa kilikutokea lakini Kuna mambo umeongeza mpk umepoteza content nzima.
Jamiiforums; we dare to talk openly.😆😆😆
cc:
Mwitore