Kusema kweli kama sio kukomaa mpaka sasa hivi ningekuwa nmeshamwachianyumba kwa vituko alivyonifanyia,
Kinachonitia wasiwasi huyo bwana ambaye wanae, kwanza alimwoaga binamu wa mke wangu, wakaachana baada ya bwana kumfumania mke wake na bwana mwingine,
Jamaa alipiga mwanamke karibu aue, haikutoshaakamfuata mwanaume na kumchima visu na kukimbia kijiji, amerudi juzi tu, huko
Kwa hiyo jamaa ni mshari wasiwasi wasije kuunda njama wanipotezee uhai,
Ila Mungu ameendelea kuwa na mimi,
Nimeshaenda kutoa taarifa polisi,