Naomba Ushauri: Mke wangu anaishi maisha ya kushindana na mimi

Naomba Ushauri: Mke wangu anaishi maisha ya kushindana na mimi

CAGvsSPEAKER

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2019
Posts
1,339
Reaction score
5,048
Hivi ukiwa na mwanamke ambaye mnaishi kama mnashinda, yaani ukiwasha tv anawasha redio. Hataki kukufulia, hataki kuosha vyombo, kisa kwao ni karibu mkinuniana kidogo anaenda kwao.

Akisikia unaongea na simu na yeye anapiga na kuongea kwa sauti kuliko wewe, ndani manyimbo anayopiga ni ya majungu tu, kubwa zaidi, kapambana mpaka kadaka mimba bila mwanaume kupanga.

Je, huyu anafaa kuwa mke au ndio azae apite hivi?
 
Tafuta pesa,ukiona ivyo mke kakuzidi hela ama uyo mwanamke sio type yako
Mimi nimeiona mahi Mkuu, ila na mimi ndo ushauri nilotoa. Ila, kwani mwanaume kutokuwa vizuri kifedha ndo iwe sababu ya mwanamke ku act like that?

Ehat if ikatokea jamaa akaja kudaka hela?

Amuoe tu kisha kazaa nae au ndouhusiano ukate mazima?
 
Back
Top Bottom