Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukinda ukiwa wa kijinga siyo mzuri Mkuu,mzuri ni ule unakuwa kinda lenye aikili za kikubwa,na siyo kuwa mkubwa mwenye ukinda wa akili. Hawa viumbe inatakiwa tuwe wajinga wao kuna wengine ni vimeo mbaya. Basi tu.Hupendi kuwa kinda? Forever young mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo sikio lake la tatu bado hasikii vzuri..jitahidi sikio lake la tatu asikie vzuri!!..hutokuja tena hapa kulalamika!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa huyo ni mwanamke au Mume mwenza?
Duuuh! Umeolewa kaka.
[emoji23][emoji23][emoji23]Rudisha huyo mwamba kwao...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Huyo kiboko.
Ila hapo amepambana hadi kabeba mimba imekuwaje? Sio yako? Haukumwaga ndani?
Sasa huyo ni mke au ni msukule tu? Kumbuka mademu wengi wa hapa mjini hata miji mingine ni miskule tu, hawafai kuoa au hata kuwa nao kimahusiano.....watakuletea mikosi maishani.Hivi ukiwa na mwanamke ambaye mnaishi kama mnashinda, yaani ukiwasha tv anawasha redio. Hataki kukufulia, hataki kuosha vyombo, kisa kwao ni karibu mkinuniana kidogo anaenda kwao.
Akisikia unaongea na simu na yeye anapiga na kuongea kwa sauti kuliko wewe, ndani manyimbo anayopiga ni ya majungu tu, kubwa zaidi, kapambana mpaka kadaka mimba bila mwanaume kupanga.
Je,huyu anafaa kuwa mke au ndo azae apite hivi?
Hata mie nashangaa😂😂😂hivi watu wa namna hii huwa mnawaokota wapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana ingawa inafurahisha hawa wanawake mnaokotaga wapi nyie wenzetu! Aisee bora unyimwe vyote ila sio akili hapa duniani!Hivi ukiwa na mwanamke ambaye mnaishi kama mnashinda, yaani ukiwasha tv anawasha redio. Hataki kukufulia, hataki kuosha vyombo, kisa kwao ni karibu mkinuniana kidogo anaenda kwao.
Akisikia unaongea na simu na yeye anapiga na kuongea kwa sauti kuliko wewe, ndani manyimbo anayopiga ni ya majungu tu, kubwa zaidi, kapambana mpaka kadaka mimba bila mwanaume kupanga.
Je,huyu anafaa kuwa mke au ndo azae apite hivi?
Hahahahahah ni balaaHili ndo tatzo la kuwa na watu kwenye ndoa au mahusiano ambapo kiuhalisia ilitakiwa wawe mirembe hospital wakipata matibabu ya kiakili na pia ushauri wa kisaikologia watu wanaishi na vichaa wakizani ni mke au mume kumbe ni chizi kabisa
Hivi ukiwa na mwanamke ambaye mnaishi kama mnashinda, yaani ukiwasha tv anawasha redio. Hataki kukufulia, hataki kuosha vyombo, kisa kwao ni karibu mkinuniana kidogo anaenda kwao.
Akisikia unaongea na simu na yeye anapiga na kuongea kwa sauti kuliko wewe, ndani manyimbo anayopiga ni ya majungu tu, kubwa zaidi, kapambana mpaka kadaka mimba bila mwanaume kupanga.
Je,huyu anafaa kuwa mke au ndo azae apite hivi?