Naomba Ushauri: Mke wangu anaishi maisha ya kushindana na mimi

Naomba Ushauri: Mke wangu anaishi maisha ya kushindana na mimi

Hivi ukiwa na mwanamke ambaye mnaishi kama mnashinda, yaani ukiwasha tv anawasha redio. Hataki kukufulia, hataki kuosha vyombo, kisa kwao ni karibu mkinuniana kidogo anaenda kwao.

Akisikia unaongea na simu na yeye anapiga na kuongea kwa sauti kuliko wewe, ndani manyimbo anayopiga ni ya majungu tu, kubwa zaidi, kapambana mpaka kadaka mimba bila mwanaume kupanga.

Je,huyu anafaa kuwa mke au ndo azae apite hivi?
Id yako nasema ni CAGvsSPEAKER
Umeshazoea mipambano
 
KUSHINDANA NA MTU ASIYE KUWA NA PERIOD KILA MWEZI NI KUJIKUSANYIA MATESO YEYE MWENYEWE.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna ile eti umemkwaza mke anafungulia "sabufa" kwa sauti kubwa ameweka taarab "ikikusema"!

Mwanamke wa hivyo hafai kuoa, hafai hata kwa mahusiano!
 
Hivi ukiwa na mwanamke ambaye mnaishi kama mnashinda, yaani ukiwasha tv anawasha redio. Hataki kukufulia, hataki kuosha vyombo, kisa kwao ni karibu mkinuniana kidogo anaenda kwao.

Akisikia unaongea na simu na yeye anapiga na kuongea kwa sauti kuliko wewe, ndani manyimbo anayopiga ni ya majungu tu, kubwa zaidi, kapambana mpaka kadaka mimba bila mwanaume kupanga.

Je,huyu anafaa kuwa mke au ndo azae apite hivi?
Duh! Hizi ndio ndoa ndoano!
 
Hajaanza kukuvalia khanga zenye maneno kama
"Ukisusa mwenzio anakuja"
"Haunitishi haunibabaishi ataenizika simjuh"??
 
Mwanaume ajiweke kwenye nafasi yake halisi na mke awe disciplined. Wakati mwingine mwanaume anapaswa kitumia nguvu kuleta discipline nyumbani.
N:B:
Nguvu simaaninishi physical fighting or violence zingatia
 
Hivi ukiwa na mwanamke ambaye mnaishi kama mnashinda, yaani ukiwasha tv anawasha redio. Hataki kukufulia, hataki kuosha vyombo, kisa kwao ni karibu mkinuniana kidogo anaenda kwao.

Akisikia unaongea na simu na yeye anapiga na kuongea kwa sauti kuliko wewe, ndani manyimbo anayopiga ni ya majungu tu, kubwa zaidi, kapambana mpaka kadaka mimba bila mwanaume kupanga.

Je, huyu anafaa kuwa mke au ndio azae apite hivi?
Mtafutie mke mwenzie.
 
Ha ha haaa,kumbe hujamwoa bado mkuu? Wanawake bhana,ivi hiyo akili ya kuishi na msela kabla ya hata wazazi kupata hata ya kupewa jero mmeitoa wapi....angalia sasa mshkaji kala kachoka ..ndo unaachwa single mam ivo.Daa,wallah
 
We achana nae wala usishindane nae kuna mda atatulia tu kikubwa hakikisha unampa mimba
 
Back
Top Bottom