Naomba Ushauri: Mke wangu anaishi maisha ya kushindana na mimi

Id yako nasema ni CAGvsSPEAKER
Umeshazoea mipambano
 
KUSHINDANA NA MTU ASIYE KUWA NA PERIOD KILA MWEZI NI KUJIKUSANYIA MATESO YEYE MWENYEWE.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna ile eti umemkwaza mke anafungulia "sabufa" kwa sauti kubwa ameweka taarab "ikikusema"!

Mwanamke wa hivyo hafai kuoa, hafai hata kwa mahusiano!
 
Duh! Hizi ndio ndoa ndoano!
 
Hajaanza kukuvalia khanga zenye maneno kama
"Ukisusa mwenzio anakuja"
"Haunitishi haunibabaishi ataenizika simjuh"??
 
Mwanaume ajiweke kwenye nafasi yake halisi na mke awe disciplined. Wakati mwingine mwanaume anapaswa kitumia nguvu kuleta discipline nyumbani.
N:B:
Nguvu simaaninishi physical fighting or violence zingatia
 
Mtafutie mke mwenzie.
 
Ha ha haaa,kumbe hujamwoa bado mkuu? Wanawake bhana,ivi hiyo akili ya kuishi na msela kabla ya hata wazazi kupata hata ya kupewa jero mmeitoa wapi....angalia sasa mshkaji kala kachoka ..ndo unaachwa single mam ivo.Daa,wallah
 
We achana nae wala usishindane nae kuna mda atatulia tu kikubwa hakikisha unampa mimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…