Naomba Ushauri, Mpangaji wangu 'kaniblock'

Naomba Ushauri, Mpangaji wangu 'kaniblock'

Plz MNISHAURI pia wakuu🙏.
Wahi kwa mjumbe wa nyumba 10 hao pasua kichwa wapo kila sehemu huku tulimweka mmoja mdangaji mmoja hivi kagoma kulipa mpaka kaja kutolewa na mwenyekiti wa serikali ya mtaa ndio akaondoka kakaa miezi 3 bila kulipa hata 100 umeme anatumia bure maji bure kunya bure kukojoa bure miezi 3 mjumbe alishindwa kesi ikaenda kwa mwenyekiti
 
Ubaya ubaya,tatizo mbongo ukimlegezea kamba anaona tayari anakumudu
Nipe hiyo nyumba niisimamie mimi uone kama hutalipwa kodi kwa wakati
Mda mwingine mwenye nyumba uwe na uso mkavu kama al shaabab
Tatizo la wapangaji ukiwafanyia fujo kesi inahamia kwako unaweza ukaambiwa fidia akae kwako mwaka bila kulipa kodi na kodi zingine zote awe anachukua yeye mwaka mzima km faini, usijaribu kugombana na hao pasua kichwa wana hesabu zao kichwani ukibugi tu unamlipa
 
Tatizo la wapangaji ukiwafanyia fujo kesi inahamia kwako unaweza ukaambiwa fidia akae kwako mwaka bila kulipa kodi na kodi zingine zote awe anachukua yeye mwaka mzima km faini, usijaribu kugombana na hao pasua kichwa wana hesabu zao kichwani ukibugi tu unamlipa
Unampeleka kisheria,yaani kama inatakiwa alipe kodi tarehe 5 na ww unakaza hapo hapo
 
Wakuu,

Kama Kuna sehemu nmekosea labda mnambie ninyi.

Kuna sehemu nna kibanda Cha wapangaji wanne huwa nakipangisha, Sasa Kutokana na mkataba.

Kila mpangaji ananilipa Kodi yake kutokana na tarehe aliyoingia kwangu, na Kodi huwa napokea kuanzia miezi 6.

Huyu mpangaji alihamia kwangu mwaka JANA mwezi Novemba mwanzoni, Hivyo Kodi yake Kwa miezi 6 ikaisha mwezi APRIL mwanzoni. Hivyo mwezi MEI mwanzoni alipaswa kunilipa tena Kodi Inayofuata. Na nilimtumia sms ya kumkubushia.

Tatizo la huyu mpangaji,
sms yangu ya kumkubushia aliiona Ila akanyamaza kimya, na mwezi MEI Ukaisha bila kupokea hata Senti Moja Wala taarifa yoyote ya dharula toka kwake. Nikanyamaza Kimya.

Ukaanza mwezi JUNI, nikampigia simu, akajifanya kasahau Kama Kodi imeisha na sms zangu hakuziona, Ila akaahidi kua atanilipa mwisho wa mwezi juni.
Nikasema sawa, nisubiri Kodi Yake mwisho WA mwezi juni

Mwisho WA mwezi JUNI ukaisha wote, jamaa Yuko kimya, nikampigia simu zangu hapokei, nilipobadili namba akapokea na akadai shule zimefunga, kwaiyo kwa Sasa amesafiri mkoani ila atanilipa akisharudi JULAI, nikasema sawa.

Jamaa amekuja kurudi mwezi JULAI mwishoni na Kodi yangu akanilipa mwezi AGOSTI mwanzoni. Nami nikienda kwenye daftari langu, nikaandika kua "Leo tarehe 03 AGOSTI, nmepokea Kodi ya mwezi MEI-OKTOBA"

Sasa Baada ya miezi 2 (yaani mwezi OKTOBA) nikamdai tena Kodi ya miezi 6, jamaa akalalamika mbona mapema Sana, mbona katoka kulipia juzi TU Kodi yake ya miezi 6. Namkumbusha kua ile Kodi yake ilipaswa kulipwa mwezi MEI, yeye kaivuta na kuja kuilipa mwezi AGOSTI, ndo maana imekua hivyo.

Basi Jamaa Akadai amenielewa, akasema atanilipa Kodi yangu mwisho WA mwezi oktoba akishapokea mshahara , nikasema sawa. Nikaenda zangu.

Mwisho WA mwezi umefika, jamaa Kimya.Nikajua labda katingwa, na kumkubushia ovyo kodi sio vizuri, nikakaa Kimya mpk mwezi NOVEMBA.

Katikati ya mwezi Novemba ikabidi nimpigie, akawa hapokei simu zangu, nilipobadili namba akapokea na kudai anaelewa, Ila Atalipa mwisho WA mwezi huu huu, zimebaki wiki 2 anaomba nimvumilie. Nikasema sawa.

Mpaka mwezi Novemba umeisha, sijapokea pesa Wala simu yoyote ya jamaa. Ulipoanza mwezi DISEMBA ikabidi nimpigie, Kama kawaida yake hakupokea simu zangu. Ila nilipobadili laini, akapokea na kudai amesafiri mkoani kula sikukuu,kurudi dar Ni Hadi January.

Nikaulizia khs Kodi yangu,akadai ataituma tar. 15 kwenye account yangu ya benki. Nikasema sawa,jitahidi.

Tar 15 imefika, Kimya.
Nikavumilia Hadi tar 20 Nako Kimya. Nimempigia simu zangu hapokei, nilipobadili laini akapokea na kudai tar 22 jioni anaituma, uhakika 100%. Nikasema sawa.

Tar 22 ikapita Kimya, mpaka Jana tar 24 ikabidi nimpigie, nikastuka Kila mara simu yake inadai inatumika Kisha inajikata. Nilipobadili laini, ikaita vizuri TU.Nikagundua kaniblock.

Nilivojitambulisha kua Ni Mimi mwenye nyumba wake, akakata simu ghafla na nilipojaribu kumpigia Tena, ikawa inadai anatumika Kisha inajikata. Nikagundua Hii namba nayo jamaa kaamua kuiblock.

HAPA KIUKWELI WAKUU NMEGHAFIRIKA SANA,

NAWAZA HUYU MPANGAJI SIJAJUA ANANICHUKULIAJE YAANI.

KAMA HAYUKO VZUR NI BORA ASEME MAPEMA AELEWEKE NA SIO KULETA UBABAISHAJI USIO NA KICHWA WALA MIGUU.

KUNIBLOCK NI UTOTO,UJEURI NA UPUUZI ULIOPITILIZA, PIA NI KUNIVUNJIA HESHIMA ILHALI KESHAVUNJA MASHARTI YA MKATABA.

Hapa nafikiria kumuandalia NOTISI Yake, ili January akirudi akatafute pa kuishi. Ila mama watoto kanishauri nisifanye hivo maana huenda Kuna magumu anapitia.

Wazo lake linanipa ukakasi sn maana Kama anapitia magumu, Kuna Sababu gani mpk aniblock zaidi ya kuhisi ananifanyia UJEURI TU.

Plz MNISHAURI pia wakuu🙏.
Kudeal na hii kitu ni very simple.
Fanya haya.

Kata huduma zote muhimu katika nyumba (mfano Maji, umeme, usalama), nenda na fundi ondoa switch zote, koki zote na vitasa vyote, sema unafanya marekebisho ni vibovu.....

Pili mwambie akulipe pesa zako ndani ya wiki moja na kisha ahame. Baada ya wiki piga kufuli nyumba yako kama hajakulipa.
 
Achana na mambo ya mama watoto mpe notisi aondoke,usipende kumpangisha mpangaji msumbufu hawezi kubadilika hata siku moja,kama hawezi kuishi mjini arudi kijijini kwao.
 
Wakuu,

Kama Kuna sehemu nmekosea labda mnambie ninyi.

Kuna sehemu nna kibanda Cha wapangaji wanne huwa nakipangisha, Sasa Kutokana na mkataba.

Kila mpangaji ananilipa Kodi yake kutokana na tarehe aliyoingia kwangu, na Kodi huwa napokea kuanzia miezi 6.

Huyu mpangaji alihamia kwangu mwaka JANA mwezi Novemba mwanzoni, Hivyo Kodi yake Kwa miezi 6 ikaisha mwezi APRIL mwanzoni. Hivyo mwezi MEI mwanzoni alipaswa kunilipa tena Kodi Inayofuata. Na nilimtumia sms ya kumkubushia.

Tatizo la huyu mpangaji,
sms yangu ya kumkubushia aliiona Ila akanyamaza kimya, na mwezi MEI Ukaisha bila kupokea hata Senti Moja Wala taarifa yoyote ya dharula toka kwake. Nikanyamaza Kimya.

Ukaanza mwezi JUNI, nikampigia simu, akajifanya kasahau Kama Kodi imeisha na sms zangu hakuziona, Ila akaahidi kua atanilipa mwisho wa mwezi juni.
Nikasema sawa, nisubiri Kodi Yake mwisho WA mwezi juni

Mwisho WA mwezi JUNI ukaisha wote, jamaa Yuko kimya, nikampigia simu zangu hapokei, nilipobadili namba akapokea na akadai shule zimefunga, kwaiyo kwa Sasa amesafiri mkoani ila atanilipa akisharudi JULAI, nikasema sawa.

Jamaa amekuja kurudi mwezi JULAI mwishoni na Kodi yangu akanilipa mwezi AGOSTI mwanzoni. Nami nikienda kwenye daftari langu, nikaandika kua "Leo tarehe 03 AGOSTI, nmepokea Kodi ya mwezi MEI-OKTOBA"

Sasa Baada ya miezi 2 (yaani mwezi OKTOBA) nikamdai tena Kodi ya miezi 6, jamaa akalalamika mbona mapema Sana, mbona katoka kulipia juzi TU Kodi yake ya miezi 6. Namkumbusha kua ile Kodi yake ilipaswa kulipwa mwezi MEI, yeye kaivuta na kuja kuilipa mwezi AGOSTI, ndo maana imekua hivyo.

Basi Jamaa Akadai amenielewa, akasema atanilipa Kodi yangu mwisho WA mwezi oktoba akishapokea mshahara , nikasema sawa. Nikaenda zangu.

Mwisho WA mwezi umefika, jamaa Kimya.Nikajua labda katingwa, na kumkubushia ovyo kodi sio vizuri, nikakaa Kimya mpk mwezi NOVEMBA.

Katikati ya mwezi Novemba ikabidi nimpigie, akawa hapokei simu zangu, nilipobadili namba akapokea na kudai anaelewa, Ila Atalipa mwisho WA mwezi huu huu, zimebaki wiki 2 anaomba nimvumilie. Nikasema sawa.

Mpaka mwezi Novemba umeisha, sijapokea pesa Wala simu yoyote ya jamaa. Ulipoanza mwezi DISEMBA ikabidi nimpigie, Kama kawaida yake hakupokea simu zangu. Ila nilipobadili laini, akapokea na kudai amesafiri mkoani kula sikukuu,kurudi dar Ni Hadi January.

Nikaulizia khs Kodi yangu,akadai ataituma tar. 15 kwenye account yangu ya benki. Nikasema sawa,jitahidi.

Tar 15 imefika, Kimya.
Nikavumilia Hadi tar 20 Nako Kimya. Nimempigia simu zangu hapokei, nilipobadili laini akapokea na kudai tar 22 jioni anaituma, uhakika 100%. Nikasema sawa.

Tar 22 ikapita Kimya, mpaka Jana tar 24 ikabidi nimpigie, nikastuka Kila mara simu yake inadai inatumika Kisha inajikata. Nilipobadili laini, ikaita vizuri TU.Nikagundua kaniblock.

Nilivojitambulisha kua Ni Mimi mwenye nyumba wake, akakata simu ghafla na nilipojaribu kumpigia Tena, ikawa inadai anatumika Kisha inajikata. Nikagundua Hii namba nayo jamaa kaamua kuiblock.

HAPA KIUKWELI WAKUU NMEGHAFIRIKA SANA,

NAWAZA HUYU MPANGAJI SIJAJUA ANANICHUKULIAJE YAANI.

KAMA HAYUKO VZUR NI BORA ASEME MAPEMA AELEWEKE NA SIO KULETA UBABAISHAJI USIO NA KICHWA WALA MIGUU.

KUNIBLOCK NI UTOTO,UJEURI NA UPUUZI ULIOPITILIZA, PIA NI KUNIVUNJIA HESHIMA ILHALI KESHAVUNJA MASHARTI YA MKATABA.

Hapa nafikiria kumuandalia NOTISI Yake, ili January akirudi akatafute pa kuishi. Ila mama watoto kanishauri nisifanye hivo maana huenda Kuna magumu anapitia.

Wazo lake linanipa ukakasi sn maana Kama anapitia magumu, Kuna Sababu gani mpk aniblock zaidi ya kuhisi ananifanyia UJEURI TU.

Plz MNISHAURI pia wakuu🙏.
Mkuu huyo jamaa namtamaani 😬😬😬😬

Mimi huwa naVIBE na BEAT unalokuja nalo yaani ukinileta usela mavi mimi unakuwa umewachokoza WADUDU KWENYE HILI FUVU langu lazima nikushughulikie kiulalo ulalo, bastardo gardembich bladiful😎

Huyo ashakuzarau cha kufanya acha kujifanya wewe ni yesu au upo hapo duniani uungue kama mshumaa ili wengine wapate mwanga.Hii dunia ni katili sana hasa kwenye hiki kipindi cha KIBEPARI.

Yaani huyo akikulipa baada ya siku tatu mpe notice atoke unaka kurekebisha nyumba. Acha kulea ujinga, biashara ya nyumba inareturn ndogo sana alafu bado mtu anakuletea utoto😬😬😬😬

Mimi ningemfanyia ukatili asingesahau nyambafu!!!Huo muda wa kubembelezana unautoa wapi huyo mpuuzi mmoja anakupotezea muda mpe notice achape lapa!!!!

Rekebisha mkataba, weka kipengele cha kodi ikizidi wiki mbili baada ya kuisha uwe unahaki ya kufukuza!
 
Tatizo la wapangaji ukiwafanyia fujo kesi inahamia kwako unaweza ukaambiwa fidia akae kwako mwaka bila kulipa kodi na kodi zingine zote awe anachukua yeye mwaka mzima km faini, usijaribu kugombana na hao pasua kichwa wana hesabu zao kichwani ukibugi tu unamlipa
Wewe hao hoehae hawana hata pesa ya wakili wala wasikuumize kichwa.
 
Sijakublock baba mwenye nyumba, we nisubiri January nikirudi. siyo mpaka tuanikane humu. Sahv sikukuu mambo mengi, ikishindikana basi toa nyumba yako kwenye vitu vyangu
 
Bila shaka wewe ndiye mpangaji tajwa. Unaonekana una jeuri sana kwa mwenye nyumba wako😀😀😀
Acha usumbufu, kwanini umtafute siku za siku kuu? Subiri atapatikana baadaye tu.
 
mvumilie tu pengine kuna magumu anapitia kweli kama mke wako alivokushauri.
Angekua wa kuhama huyo angehama hata usiku kwa usiku. Vumilia tu atakupa pesa yako
 
Naomba nije kupanga kwako,ulikuwa unamdai kistaarabi sana ndomaana amekuchezea
 
Wakuu,

Kama Kuna sehemu nmekosea labda mnambie ninyi.

Kuna sehemu nna kibanda Cha wapangaji wanne huwa nakipangisha, Sasa Kutokana na mkataba.

Kila mpangaji ananilipa Kodi yake kutokana na tarehe aliyoingia kwangu, na Kodi huwa napokea kuanzia miezi 6.

Huyu mpangaji alihamia kwangu mwaka JANA mwezi Novemba mwanzoni, Hivyo Kodi yake Kwa miezi 6 ikaisha mwezi APRIL mwanzoni. Hivyo mwezi MEI mwanzoni alipaswa kunilipa tena Kodi Inayofuata. Na nilimtumia sms ya kumkubushia.

Tatizo la huyu mpangaji,
sms yangu ya kumkubushia aliiona Ila akanyamaza kimya, na mwezi MEI Ukaisha bila kupokea hata Senti Moja Wala taarifa yoyote ya dharula toka kwake. Nikanyamaza Kimya.

Ukaanza mwezi JUNI, nikampigia simu, akajifanya kasahau Kama Kodi imeisha na sms zangu hakuziona, Ila akaahidi kua atanilipa mwisho wa mwezi juni.
Nikasema sawa, nisubiri Kodi Yake mwisho WA mwezi juni

Mwisho WA mwezi JUNI ukaisha wote, jamaa Yuko kimya, nikampigia simu zangu hapokei, nilipobadili namba akapokea na akadai shule zimefunga, kwaiyo kwa Sasa amesafiri mkoani ila atanilipa akisharudi JULAI, nikasema sawa.

Jamaa amekuja kurudi mwezi JULAI mwishoni na Kodi yangu akanilipa mwezi AGOSTI mwanzoni. Nami nikienda kwenye daftari langu, nikaandika kua "Leo tarehe 03 AGOSTI, nmepokea Kodi ya mwezi MEI-OKTOBA"

Sasa Baada ya miezi 2 (yaani mwezi OKTOBA) nikamdai tena Kodi ya miezi 6, jamaa akalalamika mbona mapema Sana, mbona katoka kulipia juzi TU Kodi yake ya miezi 6. Namkumbusha kua ile Kodi yake ilipaswa kulipwa mwezi MEI, yeye kaivuta na kuja kuilipa mwezi AGOSTI, ndo maana imekua hivyo.

Basi Jamaa Akadai amenielewa, akasema atanilipa Kodi yangu mwisho WA mwezi oktoba akishapokea mshahara , nikasema sawa. Nikaenda zangu.

Mwisho WA mwezi umefika, jamaa Kimya.Nikajua labda katingwa, na kumkubushia ovyo kodi sio vizuri, nikakaa Kimya mpk mwezi NOVEMBA.

Katikati ya mwezi Novemba ikabidi nimpigie, akawa hapokei simu zangu, nilipobadili namba akapokea na kudai anaelewa, Ila Atalipa mwisho WA mwezi huu huu, zimebaki wiki 2 anaomba nimvumilie. Nikasema sawa.

Mpaka mwezi Novemba umeisha, sijapokea pesa Wala simu yoyote ya jamaa. Ulipoanza mwezi DISEMBA ikabidi nimpigie, Kama kawaida yake hakupokea simu zangu. Ila nilipobadili laini, akapokea na kudai amesafiri mkoani kula sikukuu,kurudi dar Ni Hadi January.

Nikaulizia khs Kodi yangu,akadai ataituma tar. 15 kwenye account yangu ya benki. Nikasema sawa,jitahidi.

Tar 15 imefika, Kimya.
Nikavumilia Hadi tar 20 Nako Kimya. Nimempigia simu zangu hapokei, nilipobadili laini akapokea na kudai tar 22 jioni anaituma, uhakika 100%. Nikasema sawa.

Tar 22 ikapita Kimya, mpaka Jana tar 24 ikabidi nimpigie, nikastuka Kila mara simu yake inadai inatumika Kisha inajikata. Nilipobadili laini, ikaita vizuri TU.Nikagundua kaniblock.

Nilivojitambulisha kua Ni Mimi mwenye nyumba wake, akakata simu ghafla na nilipojaribu kumpigia Tena, ikawa inadai anatumika Kisha inajikata. Nikagundua Hii namba nayo jamaa kaamua kuiblock.

HAPA KIUKWELI WAKUU NMEGHAFIRIKA SANA,

NAWAZA HUYU MPANGAJI SIJAJUA ANANICHUKULIAJE YAANI.

KAMA HAYUKO VZUR NI BORA ASEME MAPEMA AELEWEKE NA SIO KULETA UBABAISHAJI USIO NA KICHWA WALA MIGUU.

KUNIBLOCK NI UTOTO,UJEURI NA UPUUZI ULIOPITILIZA, PIA NI KUNIVUNJIA HESHIMA ILHALI KESHAVUNJA MASHARTI YA MKATABA.

Hapa nafikiria kumuandalia NOTISI Yake, ili January akirudi akatafute pa kuishi. Ila mama watoto kanishauri nisifanye hivo maana huenda Kuna magumu anapitia.

Wazo lake linanipa ukakasi sn maana Kama anapitia magumu, Kuna Sababu gani mpk aniblock zaidi ya kuhisi ananifanyia UJEURI TU.

Plz MNISHAURI pia wakuu🙏.
Andaa notisi ,timua hilo jing.
Hiyo ni dharau ,kibri na anajihisi anakuweza ,embu fukuza Mara moja huyo mtu
 
Wakuu,

Kama Kuna sehemu nmekosea labda mnambie ninyi.

Kuna sehemu nna kibanda Cha wapangaji wanne huwa nakipangisha, Sasa Kutokana na mkataba.

Kila mpangaji ananilipa Kodi yake kutokana na tarehe aliyoingia kwangu, na Kodi huwa napokea kuanzia miezi 6.

Huyu mpangaji alihamia kwangu mwaka JANA mwezi Novemba mwanzoni, Hivyo Kodi yake Kwa miezi 6 ikaisha mwezi APRIL mwanzoni. Hivyo mwezi MEI mwanzoni alipaswa kunilipa tena Kodi Inayofuata. Na nilimtumia sms ya kumkubushia.

Tatizo la huyu mpangaji,
sms yangu ya kumkubushia aliiona Ila akanyamaza kimya, na mwezi MEI Ukaisha bila kupokea hata Senti Moja Wala taarifa yoyote ya dharula toka kwake. Nikanyamaza Kimya.

Ukaanza mwezi JUNI, nikampigia simu, akajifanya kasahau Kama Kodi imeisha na sms zangu hakuziona, Ila akaahidi kua atanilipa mwisho wa mwezi juni.
Nikasema sawa, nisubiri Kodi Yake mwisho WA mwezi juni

Mwisho WA mwezi JUNI ukaisha wote, jamaa Yuko kimya, nikampigia simu zangu hapokei, nilipobadili namba akapokea na akadai shule zimefunga, kwaiyo kwa Sasa amesafiri mkoani ila atanilipa akisharudi JULAI, nikasema sawa.

Jamaa amekuja kurudi mwezi JULAI mwishoni na Kodi yangu akanilipa mwezi AGOSTI mwanzoni. Nami nikienda kwenye daftari langu, nikaandika kua "Leo tarehe 03 AGOSTI, nmepokea Kodi ya mwezi MEI-OKTOBA"

Sasa Baada ya miezi 2 (yaani mwezi OKTOBA) nikamdai tena Kodi ya miezi 6, jamaa akalalamika mbona mapema Sana, mbona katoka kulipia juzi TU Kodi yake ya miezi 6. Namkumbusha kua ile Kodi yake ilipaswa kulipwa mwezi MEI, yeye kaivuta na kuja kuilipa mwezi AGOSTI, ndo maana imekua hivyo.

Basi Jamaa Akadai amenielewa, akasema atanilipa Kodi yangu mwisho WA mwezi oktoba akishapokea mshahara , nikasema sawa. Nikaenda zangu.

Mwisho WA mwezi umefika, jamaa Kimya.Nikajua labda katingwa, na kumkubushia ovyo kodi sio vizuri, nikakaa Kimya mpk mwezi NOVEMBA.

Katikati ya mwezi Novemba ikabidi nimpigie, akawa hapokei simu zangu, nilipobadili namba akapokea na kudai anaelewa, Ila Atalipa mwisho WA mwezi huu huu, zimebaki wiki 2 anaomba nimvumilie. Nikasema sawa.

Mpaka mwezi Novemba umeisha, sijapokea pesa Wala simu yoyote ya jamaa. Ulipoanza mwezi DISEMBA ikabidi nimpigie, Kama kawaida yake hakupokea simu zangu. Ila nilipobadili laini, akapokea na kudai amesafiri mkoani kula sikukuu,kurudi dar Ni Hadi January.

Nikaulizia khs Kodi yangu,akadai ataituma tar. 15 kwenye account yangu ya benki. Nikasema sawa,jitahidi.

Tar 15 imefika, Kimya.
Nikavumilia Hadi tar 20 Nako Kimya. Nimempigia simu zangu hapokei, nilipobadili laini akapokea na kudai tar 22 jioni anaituma, uhakika 100%. Nikasema sawa.

Tar 22 ikapita Kimya, mpaka Jana tar 24 ikabidi nimpigie, nikastuka Kila mara simu yake inadai inatumika Kisha inajikata. Nilipobadili laini, ikaita vizuri TU.Nikagundua kaniblock.

Nilivojitambulisha kua Ni Mimi mwenye nyumba wake, akakata simu ghafla na nilipojaribu kumpigia Tena, ikawa inadai anatumika Kisha inajikata. Nikagundua Hii namba nayo jamaa kaamua kuiblock.

HAPA KIUKWELI WAKUU NMEGHAFIRIKA SANA,

NAWAZA HUYU MPANGAJI SIJAJUA ANANICHUKULIAJE YAANI.

KAMA HAYUKO VZUR NI BORA ASEME MAPEMA AELEWEKE NA SIO KULETA UBABAISHAJI USIO NA KICHWA WALA MIGUU.

KUNIBLOCK NI UTOTO,UJEURI NA UPUUZI ULIOPITILIZA, PIA NI KUNIVUNJIA HESHIMA ILHALI KESHAVUNJA MASHARTI YA MKATABA.

Hapa nafikiria kumuandalia NOTISI Yake, ili January akirudi akatafute pa kuishi. Ila mama watoto kanishauri nisifanye hivo maana huenda Kuna magumu anapitia.

Wazo lake linanipa ukakasi sn maana Kama anapitia magumu, Kuna Sababu gani mpk aniblock zaidi ya kuhisi ananifanyia UJEURI TU.

Plz MNISHAURI pia wakuu🙏.
Mzee umemlea sana aisee. Cku hiz sio kama zaman mzee, huyo kuna namna ya kumtoa kwa kustukiza, kuna mturuki mmoja alikuwaga kwenye apartment yangu akaniletea huo mchezo. Alikula jeuri yake. Nilimchomoa usiku akiwa amelala. Hela hazitafutwi kilekole mzee pinduka kama walivyopinduka watawala wako utakula mema ya nchi.
 
Back
Top Bottom