Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
😀😀😀😀😀Sijakublock baba mwenye nyumba, we nisubiri January nikirudi. siyo mpaka tuanikane humu. Sahv sikukuu mambo mengi, ikishindikana basi toa nyumba yako kwenye vitu vyangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀😀Sijakublock baba mwenye nyumba, we nisubiri January nikirudi. siyo mpaka tuanikane humu. Sahv sikukuu mambo mengi, ikishindikana basi toa nyumba yako kwenye vitu vyangu
Kama kuna jambo sipendi na anogopa ni kudaiwa kodi. Mimi huwa nina tabia ya kulipa kodi mwezi mmoja kabla ya kuisha. Napoishi kodi hulipwa january tarehe 1 na july tarehe moja kwa wapangaji wote.Ndugu yangu DeepPond kusimamia wapangaji lazima uwe katili, hutakiwi kucheka na kima, hao ni watu ambao hawapendi kutimiza majukumu yao, ukiendelea na roho ya kondoo watakupaka mavi funga mkataba akuachie chumba chako weka mtu mwingine aliye serios na maisha lasivyo utapakwa sana mavi
Nikweli mkuuKama kuna jambo sipendi na anogopa ni kudaiwa kodi. Mimi huwa nina tabia ya kulipa kodi mwezi mmoja kabla ya kuisha. Napoishi kodi hulipwa january tarehe 1 na july tarehe moja kwa wapangaji wote.
Hapa kabla ya christmas nishamalizana na mwenye nyumba tutakutana tena july napo nitajitahidi nimalizane naye mapema.
Ukiwa waishi kwenye nyumba ya mtu kuwa mstaarabu kama kujenga ni rahisi mtu angejenga yake.
Notice ya pango ni miezi mitatu (3) tu yaani mpangaji kukaa bure akijiandaa kuhama, kwa hiyo huyo tayari keshajipa notice.Wakuu,
Kama Kuna sehemu nmekosea labda mnambie ninyi.
Kuna sehemu nna kibanda Cha wapangaji wanne huwa nakipangisha, Sasa Kutokana na mkataba.
Kila mpangaji ananilipa Kodi yake kutokana na tarehe aliyoingia kwangu, na Kodi huwa napokea kuanzia miezi 6.
Huyu mpangaji alihamia kwangu mwaka JANA mwezi Novemba mwanzoni, Hivyo Kodi yake Kwa miezi 6 ikaisha mwezi APRIL mwanzoni. Hivyo mwezi MEI mwanzoni alipaswa kunilipa tena Kodi Inayofuata. Na nilimtumia sms ya kumkubushia.
Tatizo la huyu mpangaji,
sms yangu ya kumkubushia aliiona Ila akanyamaza kimya, na mwezi MEI Ukaisha bila kupokea hata Senti Moja Wala taarifa yoyote ya dharula toka kwake. Nikanyamaza Kimya.
Ukaanza mwezi JUNI, nikampigia simu, akajifanya kasahau Kama Kodi imeisha na sms zangu hakuziona, Ila akaahidi kua atanilipa mwisho wa mwezi juni.
Nikasema sawa, nisubiri Kodi Yake mwisho WA mwezi juni
Mwisho WA mwezi JUNI ukaisha wote, jamaa Yuko kimya, nikampigia simu zangu hapokei, nilipobadili namba akapokea na akadai shule zimefunga, kwaiyo kwa Sasa amesafiri mkoani ila atanilipa akisharudi JULAI, nikasema sawa.
Jamaa amekuja kurudi mwezi JULAI mwishoni na Kodi yangu akanilipa mwezi AGOSTI mwanzoni. Nami nikienda kwenye daftari langu, nikaandika kua "Leo tarehe 03 AGOSTI, nmepokea Kodi ya mwezi MEI-OKTOBA"
Sasa Baada ya miezi 2 (yaani mwezi OKTOBA) nikamdai tena Kodi ya miezi 6, jamaa akalalamika mbona mapema Sana, mbona katoka kulipia juzi TU Kodi yake ya miezi 6. Namkumbusha kua ile Kodi yake ilipaswa kulipwa mwezi MEI, yeye kaivuta na kuja kuilipa mwezi AGOSTI, ndo maana imekua hivyo.
Basi Jamaa Akadai amenielewa, akasema atanilipa Kodi yangu mwisho WA mwezi oktoba akishapokea mshahara , nikasema sawa. Nikaenda zangu.
Mwisho WA mwezi umefika, jamaa Kimya.Nikajua labda katingwa, na kumkubushia ovyo kodi sio vizuri, nikakaa Kimya mpk mwezi NOVEMBA.
Katikati ya mwezi Novemba ikabidi nimpigie, akawa hapokei simu zangu, nilipobadili namba akapokea na kudai anaelewa, Ila Atalipa mwisho WA mwezi huu huu, zimebaki wiki 2 anaomba nimvumilie. Nikasema sawa.
Mpaka mwezi Novemba umeisha, sijapokea pesa Wala simu yoyote ya jamaa. Ulipoanza mwezi DISEMBA ikabidi nimpigie, Kama kawaida yake hakupokea simu zangu. Ila nilipobadili laini, akapokea na kudai amesafiri mkoani kula sikukuu,kurudi dar Ni Hadi January.
Nikaulizia khs Kodi yangu,akadai ataituma tar. 15 kwenye account yangu ya benki. Nikasema sawa,jitahidi.
Tar 15 imefika, Kimya.
Nikavumilia Hadi tar 20 Nako Kimya. Nimempigia simu zangu hapokei, nilipobadili laini akapokea na kudai tar 22 jioni anaituma, uhakika 100%. Nikasema sawa.
Tar 22 ikapita Kimya, mpaka Jana tar 24 ikabidi nimpigie, nikastuka Kila mara simu yake inadai inatumika Kisha inajikata. Nilipobadili laini, ikaita vizuri TU.Nikagundua kaniblock.
Nilivojitambulisha kua Ni Mimi mwenye nyumba wake, akakata simu ghafla na nilipojaribu kumpigia Tena, ikawa inadai anatumika Kisha inajikata. Nikagundua Hii namba nayo jamaa kaamua kuiblock.
HAPA KIUKWELI WAKUU NMEGHAFIRIKA SANA,
NAWAZA HUYU MPANGAJI SIJAJUA ANANICHUKULIAJE YAANI.
KAMA HAYUKO VZUR NI BORA ASEME MAPEMA AELEWEKE NA SIO KULETA UBABAISHAJI USIO NA KICHWA WALA MIGUU.
KUNIBLOCK NI UTOTO,UJEURI NA UPUUZI ULIOPITILIZA, PIA NI KUNIVUNJIA HESHIMA ILHALI KESHAVUNJA MASHARTI YA MKATABA.
Hapa nafikiria kumuandalia NOTISI Yake, ili January akirudi akatafute pa kuishi. Ila mama watoto kanishauri nisifanye hivo maana huenda Kuna magumu anapitia.
Wazo lake linanipa ukakasi sn maana Kama anapitia magumu, Kuna Sababu gani mpk aniblock zaidi ya kuhisi ananifanyia UJEURI TU.
Plz MNISHAURI pia wakuu🙏.
Mwite mjumbe bomoa komeo toa vitu vyake weka stooo pangisha chumba upyaaaKisheria nahs itanisumbua mkuu
Kila nikiona username yako, namkumbuka wifi yako aisee!!Kabisa Yan amni haipo kabisa ukipitisha tarh mm nikiona nitapitisha hata siku 3 lazima nimwambie mwenye nyumba
Hapana asifanye hilo zoezi bila ya mwenye chumba kuwepo.Na January inavyokuwa kavu, unasubirishwa mpaka mwisho wa February. Sasa hapo utajikuta mshavuruga mpangilio wa miezi ya kulipa. Kama vipi badili kitasa ila awepo Mwenyekiti wa Mtaa
Hongera Kwa wifiyangu aliposhika asiachie😄Kila nikiona username yako, namkumbuka wifi yako aisee!!
Hallelujah!!!
Si,hao wapangaji wenye tabia hzo baadae mwenye nyumba ukiwa mkaksi wanawaona wana roho mbayaRoho mbaya kivipi
Yaani mwenye nyumba anakosa mbinu za kumfukuza kisheria, hiii imekaaje hii!Kuna mmoja kang’ang’ania nyumba ya upangaji kesharipotiwa lakin hatoki kuna watu wana roho ngumu
Ww hujawahi kupanga au ndio maskin akipataWapangaji ni changamoto jamaniii tena wengi wakorofi kulipa kodi huwa wanafanya makusudi wakitegemea Notisi,Hapo pesa ya kuhama kwako anayo si ya kukulipa deni.
Vumilia yote lakini sio dharau. Huyo analeta dharau sasa. Wife anafanya maamuzi kwa hisia wee fanya kwa kutumia akiliWakuu,
Kama Kuna sehemu nmekosea labda mnambie ninyi.
Kuna sehemu nna kibanda Cha wapangaji wanne huwa nakipangisha, Sasa Kutokana na mkataba.
Kila mpangaji ananilipa Kodi yake kutokana na tarehe aliyoingia kwangu, na Kodi huwa napokea kuanzia miezi 6.
Huyu mpangaji alihamia kwangu mwaka JANA mwezi Novemba mwanzoni, Hivyo Kodi yake Kwa miezi 6 ikaisha mwezi APRIL mwanzoni. Hivyo mwezi MEI mwanzoni alipaswa kunilipa tena Kodi Inayofuata. Na nilimtumia sms ya kumkubushia.
Tatizo la huyu mpangaji,
sms yangu ya kumkubushia aliiona Ila akanyamaza kimya, na mwezi MEI Ukaisha bila kupokea hata Senti Moja Wala taarifa yoyote ya dharula toka kwake. Nikanyamaza Kimya.
Ukaanza mwezi JUNI, nikampigia simu, akajifanya kasahau Kama Kodi imeisha na sms zangu hakuziona, Ila akaahidi kua atanilipa mwisho wa mwezi juni.
Nikasema sawa, nisubiri Kodi Yake mwisho WA mwezi juni
Mwisho WA mwezi JUNI ukaisha wote, jamaa Yuko kimya, nikampigia simu zangu hapokei, nilipobadili namba akapokea na akadai shule zimefunga, kwaiyo kwa Sasa amesafiri mkoani ila atanilipa akisharudi JULAI, nikasema sawa.
Jamaa amekuja kurudi mwezi JULAI mwishoni na Kodi yangu akanilipa mwezi AGOSTI mwanzoni. Nami nikienda kwenye daftari langu, nikaandika kua "Leo tarehe 03 AGOSTI, nmepokea Kodi ya mwezi MEI-OKTOBA"
Sasa Baada ya miezi 2 (yaani mwezi OKTOBA) nikamdai tena Kodi ya miezi 6, jamaa akalalamika mbona mapema Sana, mbona katoka kulipia juzi TU Kodi yake ya miezi 6. Namkumbusha kua ile Kodi yake ilipaswa kulipwa mwezi MEI, yeye kaivuta na kuja kuilipa mwezi AGOSTI, ndo maana imekua hivyo.
Basi Jamaa Akadai amenielewa, akasema atanilipa Kodi yangu mwisho WA mwezi oktoba akishapokea mshahara , nikasema sawa. Nikaenda zangu.
Mwisho WA mwezi umefika, jamaa Kimya.Nikajua labda katingwa, na kumkubushia ovyo kodi sio vizuri, nikakaa Kimya mpk mwezi NOVEMBA.
Katikati ya mwezi Novemba ikabidi nimpigie, akawa hapokei simu zangu, nilipobadili namba akapokea na kudai anaelewa, Ila Atalipa mwisho WA mwezi huu huu, zimebaki wiki 2 anaomba nimvumilie. Nikasema sawa.
Mpaka mwezi Novemba umeisha, sijapokea pesa Wala simu yoyote ya jamaa. Ulipoanza mwezi DISEMBA ikabidi nimpigie, Kama kawaida yake hakupokea simu zangu. Ila nilipobadili laini, akapokea na kudai amesafiri mkoani kula sikukuu,kurudi dar Ni Hadi January.
Nikaulizia khs Kodi yangu,akadai ataituma tar. 15 kwenye account yangu ya benki. Nikasema sawa,jitahidi.
Tar 15 imefika, Kimya.
Nikavumilia Hadi tar 20 Nako Kimya. Nimempigia simu zangu hapokei, nilipobadili laini akapokea na kudai tar 22 jioni anaituma, uhakika 100%. Nikasema sawa.
Tar 22 ikapita Kimya, mpaka Jana tar 24 ikabidi nimpigie, nikastuka Kila mara simu yake inadai inatumika Kisha inajikata. Nilipobadili laini, ikaita vizuri TU.Nikagundua kaniblock.
Nilivojitambulisha kua Ni Mimi mwenye nyumba wake, akakata simu ghafla na nilipojaribu kumpigia Tena, ikawa inadai anatumika Kisha inajikata. Nikagundua Hii namba nayo jamaa kaamua kuiblock.
HAPA KIUKWELI WAKUU NMEGHAFIRIKA SANA,
NAWAZA HUYU MPANGAJI SIJAJUA ANANICHUKULIAJE YAANI.
KAMA HAYUKO VZUR NI BORA ASEME MAPEMA AELEWEKE NA SIO KULETA UBABAISHAJI USIO NA KICHWA WALA MIGUU.
KUNIBLOCK NI UTOTO,UJEURI NA UPUUZI ULIOPITILIZA, PIA NI KUNIVUNJIA HESHIMA ILHALI KESHAVUNJA MASHARTI YA MKATABA.
Hapa nafikiria kumuandalia NOTISI Yake, ili January akirudi akatafute pa kuishi. Ila mama watoto kanishauri nisifanye hivo maana huenda Kuna magumu anapitia.
Wazo lake linanipa ukakasi sn maana Kama anapitia magumu, Kuna Sababu gani mpk aniblock zaidi ya kuhisi ananifanyia UJEURI TU.
Plz MNISHAURI pia wakuu🙏.