Vangiporini
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 327
- 310
- Thread starter
-
- #41
tatizo wengi wanaotumia magari yenye engine ya 3s wanalalamika sana ulaji wake wa mafuta ni mkubwaKwanza,haikisha unamtumia fundi mzoefu,ukiogopa gharama,utalia. Japo unatakiwa ujue kinatengemezwa kitu gani.
1. Fuel pump yako ina hali gani?
2. Kwa sasa,ulaji wake umekaaje?
3. Spark plugs unazotumia zikoje?! Unaweza itoa utuonyeshe!
4. Engine yako ina hali nzuri(kama ilibadilishwa)
5. Uliagiza,au ulichukua kwa mtu!
6. Unajua lakini pia kuwa fuel tank yake ina chamber? Kwa maana mafuta yakikata si kwamba yanakuwa yameishamo!
Naona wabongo tuna kasumba ya kuziogopa sana NissanDuh.yani uifananishe N.Patrol/N.Safari na LR kweli?
Kwa Nissan ataingia gharama sababu ya spea kua ghali na adimu kwa baadhi ya mikoa ila kwa wenzetu kenya wanazo zakutosha maana wanatumia sana nissan.
Offroad zinakata shimo haswa bila kuhitaji matengenezo ya kila mara kama LR yenye ma-leakages zikitokaga rough roads!
spea gharama ila ukifunga umefunga!
Km7 /lt 1 naona typing errorhiyo ya kwako inaendaje km/l ni vizuri tukapata user experience
Ni kweli. Sasa,hizo engine zinatumiwa na magari aina ya jeep. Utaambiwa mtu hataki kutemea amekalia kigoda,anataka gari yenye nguvu. Ukimwambia ki Toyota baloon anakwambia hataki. Kwenye uwezo mdogo,wanunue BB. Af,unanunua gari imechakaa,kisa bei rafiki. Hujiulizi aneuza sababu ni nini? Na unapoamua kuchukua,basi andaa na gharama za ziada kuweka katika hali unayotaka wewetatizo wengi wanaotumia magari yenye engine ya 3s wanalalamika sana ulaji wake wa mafuta ni mkubwa
naona wengi wanaishia hapoKm7 /lt 1 naona typing error
sawa sawa nakupata vilivyo mkuu, kwahiyo bajeti yangu na kwa mazingira niliyoraja hapo juu unanishaurije mkuuNi kweli. Sasa,hizo engine zinatumiwa na magari aina ya jeep. Utaambiwa mtu hataki kutemea amekalia kigoda,anataka gari yenye nguvu. Ukimwambia ki Toyota baloon anakwambia hataki. Kwenye uwezo mdogo,wanunue BB. Af,unanunua gari imechakaa,kisa bei rafiki. Hujiulizi aneuza sababu ni nini? Na unapoamua kuchukua,basi andaa na gharama za ziada kuweka katika hali unayotaka wewe
Njoo tuyajenge ninayo Suzuki hiyo naona vijana wanichakaza nipigie +255622642620Wakuu habari ya muda huu,
Nimekuja mbele yenu nipate ushauri na mapendekezo zaidi kuhusiana na gari aina ya Suzuki Escudo old model.
Mimi napiga sana mihangaiko ya vijijini mashambani ambako ni 100% rough road. Kulingana na mazingira hayo nilitamani gari yenye spec zifuatazo;
Sasa kulingana na vigezo hivyo nikawaza Suzuki Escudo old model maana naskia zina ulaji mzuri wa mafuta naskia zinafika hadi 12km/l, pia nasikia 4WD yake ni balaa. Japo nasikia zina changamoto ya bodi kuingiza vumbi ndani. Nina mpango wa kuchukua mkononi na bajeti yangu ni 6m max.
Awali niliwaza kuhusu Rav4 old, changamoto ikawa ni ulaji wa mafuta maana naona nyingi zinaenda 7km/l sasa kwa mizunguko yangu nikaona haitanifaa japo sifa nyingine inazo.
Naombeni ushauri wenu kama nipo sahihi kwa chaguo hilo na kama kweli escudo old ina sifa hizo na pia kama kuna mbadala tofauti na hiyo escudo old kwa bajeti hiyo ya 6m mkononi. Asanteni.
Kwanza kabisa,inategemea na wewe unapenda gari aina gani. Af, kwa nini unanunua gari? Bro,usijichaanganye,gari ni kama malaya unayemhudumia wewe. Pesa unayotumia inaondoka hairudi. Kama huna vyanzo vingine vya kuihudumia,utalia.sawa sawa nakupata vilivyo mkuu, kwahiyo bajeti yangu na kwa mazingira niliyoraja hapo juu unanishaurije mkuu
kiufupi kulihudumia haitakuwa shida kwangu ila ni na ulazima wa kumiliki gari kulingana na mizunguko yangu ya vijijini mashambani kama nilivyosema hapo awali,Kwanza kabisa,inategemea na wewe unapenda gari aina gani. Af, kwa nini unanunua gari? Bro,usijichaanganye,gari ni kama malaya unayemhudumia wewe. Pesa unayotumia inaondoka hairudi. Kama huna vyanzo vingine vya kuihudumia,utalia.
Pili,uwezo wako unakuruhusu?
Tatu,kumbuka unachukua gari lililotumika. Ila kwa sababu unataka gari,ukiliona utanunua tu.
Nne, mafundi hawajakuibia. Nawatukana wanisamehe kama humu wamo. Ila wale ndo watoto wa mbwa halisi kama hujui
Tano, Je, bajeti yako inatosha kukava imajensi(ulaji wa mafuta,matengenezo,kuiweka katika hali unayotaka)? Kama unataka la M18, angalau tenga 10 nyingine.
Ni kweli maendeleo ni gharama. Mi nakushauri uanzie kigari cha bei ndogo,kikupe uzoefu,ukitunze,ukishajiweka sawa,utakiuza uongezee uchukue la ndoto yako.
Sasa brother,kubaliana na mimi,ukisema ni imara,labda. Lakini kwenye kuhimili,haizidi Rav4kiufupi kulihudumia haitakuwa shida kwangu ila ni na ulazima wa kumiliki gari kulingana na mizunguko yangu ya vijijini mashambani kama nilivyosema hapo awali,
sasa kulingana na changamoto za barabara za mashambani ndio maana niliwaza Escudo ile old pamoja na Rav4
sasa nikapata kigugumizi kwenye Rav4 old kama nilivosema hapo awali kuwa watumiaji wengi wanalalamika ulaji wa mafuta.
isingekuwa ni ruti za mashambani ni kweli ningeangalia kigari kidogo
Kwa bajeti yako nenda kwa escudo au jimny.rav 4 anafeli kwa hao kwenye fuel consumption na 4wd.awd yake haifui dafu kwenye tope kwa hizo gari.kiufupi kulihudumia haitakuwa shida kwangu ila ni na ulazima wa kumiliki gari kulingana na mizunguko yangu ya vijijini mashambani kama nilivyosema hapo awali,
sasa kulingana na changamoto za barabara za mashambani ndio maana niliwaza Escudo ile old pamoja na Rav4
sasa nikapata kigugumizi kwenye Rav4 old kama nilivosema hapo awali kuwa watumiaji wengi wanalalamika ulaji wa mafuta.
isingekuwa ni ruti za mashambani ni kweli ningeangalia kigari kidogo
naskia 4wd ya escudo cruiser inasubiriKwa bajeti yako nenda kwa escudo au jimny.rav 4 anafeli kwa hao kwenye fuel consumption na 4wd.awd yake haifui dafu kwenye tope kwa hizo gari.
Anaongelea story za vijiweni huyo,hakuna 3s yenye consumption anayoisema.tatizo wengi wanaotumia magari yenye engine ya 3s wanalalamika sana ulaji wake wa mafuta ni mkubwa
Kivipi mkuu?Anaongelea story za vijiweni huyo,hakuna 3s yenye consumption anayoisema.
nimeshangaa sana aisee 12 - 13km/l????!!Anaongelea story za vijiweni huyo,hakuna 3s yenye consumption anayoisema.
Kwamba ni nyingi au?nimeshangaa sana aisee 12 - 13km/l????!!
ni nyingi sana nadhani with proper maintainance hata 10km/l kufika ni mzikiKwamba ni nyingi au?
Kubali gharama mzeeni nyingi sana nadhani with proper maintainance hata 10km/l kufika ni mziki
Unaongelea nyingine tofauti na hii?ni nyingi sana nadhani with proper maintainance hata 10km/l kufika ni mziki