Naomba ushauri: Nahisi mdogo wangu ana matatizo

Naomba ushauri: Nahisi mdogo wangu ana matatizo

Status
Not open for further replies.

Mbeya Girl

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2016
Posts
298
Reaction score
627
Habari zenu

Nina mdogo wangu wakike umri ni early 20s, amemaliza chuo mwaka jana mpaka sasa yupo tu home

Ana tabia yakupenda sana kuandika (vitu mbalimbali kwenye notebook zake) na kusoma vitabu na articles mbalimbali pia anaangalia sana movies, kinacho nifanya niulize ni kwasababu amezidi hadi nahisi labda anatatizo sisi hatujui kwasababu kashakua mtu mzima, Zamani nilidhani labda utoto ila ndo kwanza anavo kua ndo ana improve tabia zake, muda wote anakua na ki notebook awe nnje amekaa, awe anaangalia movie etc

Ni mengi sana naweza kueleza. Nauliza kwa wenye uelewa anaweza akawa na tatizo kichwani au ni hali ya kawaida

Naongeza

Kama ni shule amesumbua sana hostel alishindwa kukaa kufika alipo fika ni shukran za foundation alio wekewa (last born)

Kasoma shule kama 6 form 1 mpaka 4. Akiichoka anajieleza vizuuuri nakuahidi anaacha utoro na nyingine alihama kwa sababu tofauti kama umbali etc. Lakini wapi na amefaulu kwa mpango wa Mungu tu

Kama uhuni hana kabisaaa akitoroka anarudi home kufanya mambo yake

Sasa hizo akili mnazo sema ni zipi
 
Habari zenu

Nina mdogo wangu wakike umri ni early 20s, amemaliza chuo mwaka jana mpaka sasa yupo tu home

Ana tabia yakupenda sana kuandika (vitu mbalimbali kwenye notebook zake) na kusoma vitabu na articles mbalimbali pia anaangalia sana movies.. kinacho nifanya niulize ni kwasababu amezidi hadi nahisi labda anatatizo sisi hatujui kwasababu kashakua mtu mzima, Zamani nilidhani labda utoto ila ndo kwanza anavo kua ndo ana improve tabia zake, mda wote anakua na ki notebook awe nnje amekaa , awe anaangalia movie etc

Ni mengi sana naweza kueleza.... Nauliza kwa wenye uelewa anaweza akawa na tatizo kichwani au ni hali ya kawaida
Ukute mwenzio anapenda kuwa mwandishi, kama vipi aanzishe hata blog awe anaandika mambo yake.
Sema afrika sometimes ni kazi kubadilisha kitu unachopenda kuwa kazi yako.
 
Habari zenu

Nina mdogo wangu wakike umri ni early 20s, amemaliza chuo mwaka jana mpaka sasa yupo tu home

Ana tabia yakupenda sana kuandika (vitu mbalimbali kwenye notebook zake) na kusoma vitabu na articles mbalimbali pia anaangalia sana movies.. kinacho nifanya niulize ni kwasababu amezidi hadi nahisi labda anatatizo sisi hatujui kwasababu kashakua mtu mzima, Zamani nilidhani labda utoto ila ndo kwanza anavo kua ndo ana improve tabia zake, mda wote anakua na ki notebook awe nnje amekaa , awe anaangalia movie etc

Ni mengi sana naweza kueleza.... Nauliza kwa wenye uelewa anaweza akawa na tatizo kichwani au ni hali ya kawaida
Kawazidi wote akili, actually nyie ndo mna shida
 
Ushajaribu kumchunguza huwa anaandikaga Nini?

Maana usikute anaandikaga tu vitu vyake muhimu MAISHANI ukahisi kadata,

mi mwnyw shule sijaenda ila huwa nna utaratibu wa kuandika baadhi ya vimbwanga vya kwny maisha yangu kwny dairy yangu.

Ni suala la vipaumbele TU😊
 
Ushajaribu kumchunguza huwa anaandikaga Nini?

Maana usikute anaandikaga tu vitu vyake muhimu MAISHANI ukahisi kadata,

mi mwnyw shule sijaenda ila huwa nna utaratibu wa kuandika baadhi ya vimbwanga vya kwny maisha yangu kwny dairy yangu.

Ni suala la vipaumbele TU😊
Tatizo yeye kazidi saaannaa ana shelf lake limejaa notebooks aina tofauti tofauti
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom