Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sijui nkueleze vp ila kwa mtazamo wangu kila akili ya mtu inaProcess kwa namna yake tuHow... I just don't get it
Na kaombeni hako jamani nimekapenda bureeHabari zenu
Nina mdogo wangu wakike umri ni early 20s, amemaliza chuo mwaka jana mpaka sasa yupo tu home
Ana tabia yakupenda sana kuandika (vitu mbalimbali kwenye notebook zake) na kusoma vitabu na articles mbalimbali pia anaangalia sana movies.. kinacho nifanya niulize ni kwasababu amezidi hadi nahisi labda anatatizo sisi hatujui kwasababu kashakua mtu mzima, Zamani nilidhani labda utoto ila ndo kwanza anavo kua ndo ana improve tabia zake, mda wote anakua na ki notebook awe nnje amekaa , awe anaangalia movie etc
Ni mengi sana naweza kueleza.... Nauliza kwa wenye uelewa anaweza akawa na tatizo kichwani au ni hali ya kawaida
Kwanini usiseme tuu ni wewe?, mpaka umsingizie mdogo wako?Habari zenu
Nina mdogo wangu wakike umri ni early 20s, amemaliza chuo mwaka jana mpaka sasa yupo tu home
Ana tabia yakupenda sana kuandika (vitu mbalimbali kwenye notebook zake) na kusoma vitabu na articles mbalimbali pia anaangalia sana movies.. kinacho nifanya niulize ni kwasababu amezidi hadi nahisi labda anatatizo sisi hatujui kwasababu kashakua mtu mzima, Zamani nilidhani labda utoto ila ndo kwanza anavo kua ndo ana improve tabia zake, mda wote anakua na ki notebook awe nnje amekaa , awe anaangalia movie etc
Ni mengi sana naweza kueleza.... Nauliza kwa wenye uelewa anaweza akawa na tatizo kichwani au ni hali ya kawaida
Habari zenu
Nina mdogo wangu wakike umri ni early 20s, amemaliza chuo mwaka jana mpaka sasa yupo tu home
Ana tabia yakupenda sana kuandika (vitu mbalimbali kwenye notebook zake) na kusoma vitabu na articles mbalimbali pia anaangalia sana movies.. kinacho nifanya niulize ni kwasababu amezidi hadi nahisi labda anatatizo sisi hatujui kwasababu kashakua mtu mzima, Zamani nilidhani labda utoto ila ndo kwanza anavo kua ndo ana improve tabia zake, mda wote anakua na ki notebook awe nnje amekaa , awe anaangalia movie etc
Ni mengi sana naweza kueleza.... Nauliza kwa wenye uelewa anaweza akawa na tatizo kichwani au ni hali ya kawaida
Atakuwa na akili sana watu wenye akili sana wakikaa na watu wenye akili ya kawaida tunawaona ni vichaa.Tatizo yeye kazidi saaannaa ana shelf lake limejaa notebooks aina tofauti tofauti
Duh kwa kiasi maana hapendeleishule kasomea nini?
umejaribu kufatilia hasa anaandika vitu gani?
Dah sijui unawaza ninikwanini usiseme tuu ni wewe?, mpaka umsingizie mdogo wako?
Am not sureAna boyfriend? Kama hana basi kweli ana tatizo.
Kwahiyo hii desturi ya vischana vidogo kupasuliwa bikra mapema mnataka kuihalalisha kabisa sio?Ana boyfriend? Kama hana basi kweli ana tatizo.
Sijasoma sana maana hapendelei ila hamna la maana nililo liona ndo maana naona ana tatizoAna andika vitu gani ivyo kwanza ..tuanzie apo au ndo mashairi na mauw ya mapenzi
SawaNi mwandishi mpeni muongozo, mwacheni afanye kitu anachokipenda