Naomba ushauri: Nahisi mdogo wangu ana matatizo

Naomba ushauri: Nahisi mdogo wangu ana matatizo

Status
Not open for further replies.
Nahuyu huwa naulizwa na watu wanao muona, mi mwanzo nlikua naona utoto akini ni mda mrefu yupo hivi kuna siku nilimkuta anaandika kwenye notebook "Do you believe in miracles?" Nika muuliza why unaandika vitu useless akasema mtizamo wangu haumuhusu[emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751]
Sasa mbona sio kitu Cha ajabu huwenda mwenzio yupo ktka Tafiti , naamini anauwezo mkubwa wa kufikiri ,Ila nyingi kinacho watatiza Ni kwamba mlitaka kuona uwezo huo akiuonyesha akiwa shule ,, Kina kitu ambacho watu wengi hawafai binaadamu huwa tuna kwenda na kupitia Hali ya mabadiliko kuanzia mabadiliko ya kimwili kifikira na kimatendo,, huwenda wakati ambao anasoma Ubongo wake haukuwa tayari kupokea mabadiliko Hayo , Ila Sasa hivi ndio hiyo nguvu ameiopokea ktika Ubongo wake , Jaribuni kumuelewa na mvijue vipaumbele vyake kwanza sio mnakaa tu nakuanza kumuhukumu
 
Sorry, vipi ukimkosea anaweka kisasi ili nafsi yake iridhike au mwepesi wa kusamehe?
Na vipi akipanga jambo lake ni hadi litimie au ni mtu wa kuchukulia poa matokeo yoyote?
kama ni mtu wa kupanga jambo na kuhakikisha mpaka litimie anakuwaje?
 
Sasa mbona sio kitu Cha ajabu huwenda mwenzio yupo ktka Tafiti , naamini anauwezo mkubwa wa kufikiri ,Ila nyingi kinacho watatiza Ni kwamba mlitaka kuona uwezo huo akiuonyesha akiwa shule ,, Kina kitu ambacho watu wengi hawafai binaadamu huwa tuna kwenda na kupitia Hali ya mabadiliko kuanzia mabadiliko ya kimwili kifikira na kimatendo,, huwenda wakati ambao anasoma Ubongo wake haukuwa tayari kupokea mabadiliko Hayo , Ila Sasa hivi ndio hiyo nguvu ameiopokea ktika Ubongo wake , Jaribuni kumuelewa na mvijue vipaumbele vyake kwanza sio mnakaa tu nakuanza kumuhukumu
Sawa kama yupo sawa ngoja ni mwache na maisha yake
 
Ana mambo ya ajabu tu... Sijawahi ona amepanga jambo linaloonekana sio msemaji sana
Ila akitaka kitu anakuja na maelezo unajua kabisa kajipanga sana
Ana umri gani !? Nime mpenda bure I wish awe mtu wangu [emoji16] lol [emoji4][emoji4]
 
Nilipokuwa home nilikuwa na vipande kibao vya magazeti ya kuokota sababy sikuwa na hela ya kununua. Maana yake nilipenda kusoma nikivutiwa zaidi na uanahabari

Ingawa niko field tofauti sasa lakini nafanya maajabu upande wa kuandika
 
Nilipokuwa home nilikuwa na vipande kibao vya magazeti ya kuokota sababy sikuwa na hela ya kununua. Maana yake nilipenda kusoma nikivutiwa zaidi na uanahabari

Ingawa niko field tofauti sasa lakini nafanya maajabu upande wa kuandika
It's good you had ambition...
Huyu ana scribble tu
 
Mm pia nipo hivo tangu mdogo mpaka chuo na baada ya kumaliza chuo nilipenda kukaa mwenyewe ndo naenjoy naangalia movie naandika mstari utakaogusa moyo wangu, nasoma vitabu naandika kitu ambacho ni applicable kwangu
Kama ni weekend nitanunua mahitaji ijumaa kwahyo weekend yote nitakuwa chumbani naweza nisionekane nje na km naenda choo cha nje nasubiria hamna movement za mtu kuwepo nje ndo niende

Nimepata kikazi cha kujishkiza na interact na watu ila nakuwa nataman muda uishe nikatulie chumbani kwangu na sipend kuonana staffs wenzangu muda ambao sio wa kazi nikimwona kwa mbali nitapita njia nyingine

Tatizo langu mm naogopaga watu hasa ambao sijawazoea naonaga kuliko kwenda mjini kwenye watu wengi bora niende porini na notebook nikasome summary

Naogopaga majadiliano sana maana naweza ongea kitu kwa haraka baadae nikienda kujifungia chumbani nikiwaza au nimeongea vibaya nimemkera inaniumizaga sana au nilitakiwa kusema kitu kwa usahihi ila kutokana na majibu ya haraka nikatoa jibu sio sasa baada ya hapo nitawaza sana nikiwa mwenyewe

Sasa mwenyewe sijui km ni tatizo au sio tatizo ila mm naona hiyo tabia ndo inanipa amani
 
Nipo na mdogo wangu anaenifuata wa kiume yupo hivyo hivyo anadili na mambo yake tu hapendi kelele hapendi kukaa na watu yuko chuo sasa ila hana rafiki akirud home ni chumban 24hrs wadogo zake wakimsumbua anashusha kibano imepelekea wale wadogo wamuone ni mbogo hana mazoea na baba wala mama nimejitahid kama kaka kumvuta karibu imekuwa ngumu nimewah safir nae safari ndefu Dar to songea ila ilikuwa ni kibubu bubu yan hatuna story ukianzisha stor anaib short na unaona hafurahii

Kunakipind tulikuwa na dada wa kazi alikuwa rika lake akajilengesha kwa dogo ili ampende aseeh dogo alimpiga mpka akavunja kidole cha mwisho cha mguu wa kushoto

Darasani ni kipanga tokea aanze kusoma anapasua sana na hata matokeo yake ya 4rm 4 na 4m 6 hakuna aliwah kumfikia pale kweny familia yetu


Najitahid sana kumuweka sawa ila ni ngumu nimefatilia nikaambia ana PERSONALITY DISORDER
 
Mm pia nipo hivo tangu mdogo mpaka chuo na baada ya kumaliza chuo nilipenda kukaa mwenyewe ndo naenjoy naangalia movie naandika mstari utakaogusa moyo wangu, nasoma vitabu naandika kitu ambacho ni applicable kwangu
Kama ni weekend nitanunua mahitaji ijumaa kwahyo weekend yote nitakuwa chumbani naweza nisionekane nje na km naenda choo cha nje nasubiria hamna movement za mtu kuwepo nje ndo niende

Nimepata kikazi cha kujishkiza na interact na watu ila nakuwa nataman muda uishe nikatulie chumbani kwangu na sipend kuonana staffs wenzangu muda ambao sio wa kazi nikimwona kwa mbali nitapita njia nyingine

Tatizo langu mm naogopaga watu hasa ambao sijawazoea naonaga kuliko kwenda mjini kwenye watu wengi bora niende porini na notebook nikasome summary

Naogopaga majadiliano sana maana naweza ongea kitu kwa haraka baadae nikienda kujifungia chumbani nikiwaza au nimeongea vibaya nimemkera inaniumizaga sana au nilitakiwa kusema kitu kwa usahihi ila kutokana na majibu ya haraka nikatoa jibu sio sasa baada ya hapo nitawaza sana nikiwa mwenyewe

Sasa mwenyewe sijui km ni tatizo au sio tatizo ila mm naona hiyo tabia ndo inanipa amani
Mkuu ni kama vile you write about me aseee, kumbe we are many...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom