Naomba ushauri: Nahisi mdogo wangu ana matatizo

Naomba ushauri: Nahisi mdogo wangu ana matatizo

Status
Not open for further replies.
Habari zenu

Nina mdogo wangu wakike umri ni early 20s, amemaliza chuo mwaka jana mpaka sasa yupo tu home

Lakini wapi na amefaulu kwa mpango wa Mungu tu

Kama uhuni hana kabisaaa akitoroka anarudi home kufanya mambo yake

Sasa hizo akili mnazo sema ni zipi
Boss huyo waifu matirio naleta mahali,
 
Kuna mawaili hapo zinaanza kuseparate au ndio kauintelligent kapo ndani yake na anawaza mambo ya maendeleo ya miaka 500 ijayo cha msingi chunguza ni nini HUWA anaandika
 
Mawazo yako yamejaa uzinzi tu. Hauwezi kuwa na boyfriend ama girlfriend bila zinaa? Hayo maneno yanamaanisha rafiki siyo mwenza wa zinaa.
Kwahiyo hii desturi ya vischana vidogo kupasuliwa bikra mapema mnataka kuihalalisha kabisa sio?

Kwamba kipimo cha tatizo la mtoto wa kike kuwa sawa ni kuwa na boyfriend?😂
 
Mbona kawaida sana hiyo, mimi mwenyewe nafanya hivyo isipokuwa mimi siangalii movies na notice siandiki sana, mengi natunza kichwani, ila vitabu nasoma sana.
 
Tatizo yeye kazidi saaannaa ana shelf lake limejaa notebooks aina tofauti tofauti
Hujui nguvu kubwa aliyonayo ya kufikiri ndio maana unasema hivyo ,,Nakumbuka niliwahi pitia situation Kama hiyo ,, hapo kabla sikuwahi kukaa na wazazi wangu tangu nikiwa na umri wa miaka 16 , katika pilika zangu za utafutaji Kuna wakati nilipanda kiauchumi halafu ikaja Nika bankrupt , baada ya mapito Magumu ya muda mrefu ikanibidi nirudi home I mean home kabisa nikawa najipanga upya ,

Sasa bwana Mimi nimpenzi wa kusoma notes mbali mbali ambazo huwa Zina bust obongo wangu kwaajili ya kuwa na hamasa ya utafutaji na kupigania malengo yangu katika Maisha , Basi nikawa nasoma. Quote mbali mbali na baadhi ya quote nilizokuwa nazipenda nikawa nazibandika chumbani kwangu ukutani ili niwe naziona kwa wepesi zaidi ,Nazichangie kuni hamasisha ,

Kumbe bwana ndugu zangu waliokuwa wanakuja home (brothers and sisters) walipokuwa Wana ingia ndani wakawa wanaziona zile posters wakawa wakitoka room kwangu Wana niongelea vibaya , Blaaaahh kibao nakwambia wako so negative , Mimi nasikia maneno toka kwa baadhi ya watu na wapuuza tu kwa sababu nilikuwa najua Nina chokifanya , bwana bwana bwana weeeee baaada ya muda mfupi walikuja kushangaa kilicho tokea mpaka leo wana heshima na adabu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Sorry, vipi ukimkosea anaweka kisasi ili nafsi yake iridhike au mwepesi wa kusamehe?
Na vipi akipanga jambo lake ni hadi litimie au ni mtu wa kuchukulia poa matokeo yoyote?
Mh sijui nielezeje
 
Atakuwa na akili sana watu wenye akili sana wakikaa na watu wenye akili ya kawaida tunawaona ni vichaa.
Iko hivyo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Halafu Mara nyingi ndugu wa kiafrica huwaga ni wa mwisho kutambua vipaji vya ndugu zao kwa sababu huwaga Hawa tengi muda mzuri wakuzungumza na wenzao ili wapate kujua nguvu kubwa ya kufikiri waliyonayo vichwani mwao
 
Hujui nguvu kubwa aliyonayo ya kufikiri ndio maana unasema hivyo ,,Nakumbuka niliwahi pitia situation Kama hiyo ,, hapo kabla sikuwahi kukaa na wazazi wangu tangu nikiwa na umri wa miaka 16 , katika pilika zangu za utafutaji Kuna wakati nilipanda kiauchumi halafu ikaja Nika bankrupt , baada ya mapito Magumu ya muda mrefu ikanibidi nirudi home I mean home kabisa nikawa najipanga upya ,

Sasa bwana Mimi nimpenzi wa kusoma notes mbali mbali ambazo huwa Zina bust obongo wangu kwaajili ya kuwa na hamasa ya utafutaji na kupigania malengo yangu katika Maisha , Basi nikawa nasoma. Quote mbali mbali na baadhi ya quote nilizokuwa nazipenda nikawa nazibandika chumbani kwangu ukutani ili niwe naziona kwa wepesi zaidi ,Nazichangie kuni hamasisha ,

Kumbe bwana ndugu zangu waliokuwa wanakuja home (brothers and sisters) walipokuwa Wana ingia ndani wakawa wanaziona zile posters wakawa wakitoka room kwangu Wana niongelea vibaya , Blaaaahh kibao nakwambia wako so negative , Mimi nasikia maneno toka kwa baadhi ya watu na wapuuza tu kwa sababu nilikuwa najua Nina chokifanya , bwana bwana bwana weeeee baaada ya muda mfupi walikuja kushangaa kilicho tokea mpaka leo wana heshima na adabu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nahuyu huwa naulizwa na watu wanao muona, mi mwanzo nlikua naona utoto akini ni mda mrefu yupo hivi kuna siku nilimkuta anaandika kwenye notebook "Do you believe in miracles?" Nika muuliza why unaandika vitu useless akasema mtizamo wangu haumuhusu🤦🤦🤦🤦
 
Iko hivyo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Halafu Mara nyingi ndugu wa kiafrica huwaga ni wa mwisho kutambua vipaji vya ndugu zao kwa sababu huwaga Hawa tengi muda mzuri wakuzungumza na wenzao ili wapate kujua nguvu kubwa ya kufikiri waliyonayo vichwani mwao
Ni kweli sisi tulijari aende shule tu na amalize sasa bado simuelewi ... Mama wala hawazi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom