Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Subili Uishiwe Hela Ndio Utaacha Na Ukiona Unaishiwa Unaanza Kukopa Bia Ujue Ndio Unapotea Coz Utakopa Mwisho Watakuchoka Na Ulaanbaatar Kunywa Gongo Ndio Hapo Safari yako Inapoanzia Kabulin
 
Tafuta mkojo wa punda
Mtu mmoja aliwahi kuniambia kuwa dawa yake ni kuMchanganyia mkojo wa punda kwenye pombe

Atatapika sana, baada ya hapo hatokuja kuinywa tena harufu yake tu inakuwa inamkela.
 
ni mke wako?au mchumba
 
Tafuta mkojo wa punda

Mtu mmoja aliwahi kuniambia kuwa dawa yake ni kuMchanganyia mkojo wa punda kwenye pombe

Atatapika sana, baada ya hapo hatokuja kuinywa tena harufu yake tu inakuwa inamkela.
Mkojo wa punda napata wapi mkuu.

Ushuhuda (jinsi mkojo wa punda ulivyomponesha antiel dorry)
 
Simple,
Penda anachopenda yeye.
 
Me napenda mwanamke mlevi akilewa akizima wewe ni kujichomekea 2.me wa kwangi analewa usiku namcjhomeka weee mpaka basi asbh akiamka anasema eti usiku sijamnyandua nimnyandue basi nami nafurahi naingia mzigoni tena nanyanduaa wee mpaka k inapwita
Nimecheka sana aseh,kwa iyo unaona ndo raha ya gambee,!si itaota sugu hiyo,ulaini utatoweka !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…