Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #321
Daaah kitambo sana mkuu...Mwanamke akiwa mlevi hainogiπ
Ushanikumbuka ππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah kitambo sana mkuu...Mwanamke akiwa mlevi hainogiπ
Njia ndiyo hiyo ya wewe kuzifuata interests zakeMmmmh sasa mbona hamna njia mnayonipa ukitoa kumuacha
Daaah mkuu..Njia ndiyo hiyo ya wewe kuzifuata interests zake
Waambie wanipigie video call wajionee ushuhuda bila kisimuliwaππππππππ Daaah alafu kuna majamaa walikua wanakutafuta kule et wanasema ukatoe ushuhuda
Mtu mmoja aliwahi kuniambia kuwa dawa yake ni kuMchanganyia mkojo wa punda kwenye pombeWakuu salam
Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.
Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...
Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.
Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..
Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.
Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..
Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
ni mke wako?au mchumbaWakuu salam
Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.
Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...
Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.
Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..
Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.
Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..
Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Ahahahah hivi ile juzi pale china plaza ulifanyaje mana sio kwa fujo ,zile πππWaambie wanipigie video call wajionee ushuhuda bila kisimuliwa
Mkojo wa punda napata wapi mkuu.Tafuta mkojo wa punda
Mtu mmoja aliwahi kuniambia kuwa dawa yake ni kuMchanganyia mkojo wa punda kwenye pombe
Atatapika sana, baada ya hapo hatokuja kuinywa tena harufu yake tu inakuwa inamkela.
Mchumba an ni mshangazi mkuuni mke wako?au mchumba
Simple,Wakuu salam
Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.
Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...
Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.
Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..
Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.
Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..
Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Niliiba carpet ππAhahahah hivi ile juzi pale china plaza ulifanyaje mana sio kwa fujo ,zile πππ
acha anyweMchumba an ni mshangazi mkuu
Simple apende nachopenda mimiSimple,
Penda anachopenda yeye.
πππππ Sema we mkorofi sana ujueNiliiba carpet ππ
Nimecheka sana aseh,kwa iyo unaona ndo raha ya gambee,!si itaota sugu hiyo,ulaini utatoweka !!!Me napenda mwanamke mlevi akilewa akizima wewe ni kujichomekea 2.me wa kwangi analewa usiku namcjhomeka weee mpaka basi asbh akiamka anasema eti usiku sijamnyandua nimnyandue basi nami nafurahi naingia mzigoni tena nanyanduaa wee mpaka k inapwita