Naomba ushauri, nataka kufuga kuku chotara kidogo kwa ajili ya kuongeza mzunguko wa hela

Naomba ushauri, nataka kufuga kuku chotara kidogo kwa ajili ya kuongeza mzunguko wa hela

Titia

Senior Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
155
Reaction score
114
Habari wana jamii,
Naomba mnishauri, mimi ni mfanyakazi serikalini. Muda mrefu nafikiria biashara ya kufanya lakini nashindwa. Sasa hivi nimeamua kuanza kufuga kuku chotara. Nataka kununua kuku chotara vifaranga mia moja. Nivitunze na kuvilisha vzr, lengo nataka muda ukifika 40 niviuze halafu 60 nivibakishe kwa ajili ya kutaga mayai ya kuuza.

Lengo nataka niwe nauza mayai angalau kila siku tray moja litoke, sihitaji faida kubwa sana kwa sasa, nahitaji tu ela izunguke na irudi angalau faida kidogo. Niweze kujikimu mahitaji madogomadogo bila kutegemea sana mshahara.

Sasa ninaomba wataalamu mnisaidie kwa ufugaji huo mdogo nitapata faida hata kidogo au itanikata mazima.

Pia nataka kupata uzoefu kabla sijatumbukia kufuga kuku wengi zaidi ya hao.

Naombeni ushauri wenu wana jamii.

Natanguliza shukrani.

Nb. Pia naomba ushauri aina nzuri ya kuku chotara wanafaa kwa nyama na mayai.
 
Ulishawahi kufuga hao kuku Chotara.

Kama bado anza kwanza na uwekezaji ambao hata ukipoteza wote bado utaanza upya.

Halafu kingine tambua we ni mjinga kwenye hiyo kazi unayotaka kufanya kwahiyo kuwa tayri kujifunza.

Jisomee,

Tembelea wafugaji wadogo, wakati na wakubwa.

Tembelea waliofuga halafu wakashindwa.

Mwanzoni usifikirie faida, lengo liwe kujifunza kwanza.

hakikisha unakuwa na muda wa kuwahudumia hao kuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakushauri kipindi utakachokua likizo nenda pale Silverlands Iringa wana chuo cha mafunzo na wanafundisha kwa wiki moja au mbili. Kozi zao ni practical zaidi hata akienda kilaza vipi atatoka expert kwenye ufugaji wa kuku.
Ukitaka kufanikiwa katika ufugaji wa kuku
1. Wekeza sana katika elimu ili uweze kupambana na changamoto za magonjwa
2. Ujenzi wa banda bora
3. Vifaranga bora kutoka kwa wauzaji wanaoaminika sana
4. Zingatia sana usafi wa banda, vyombo vya chakula
5 Lishe iliyo bora
 
Habari wana jamii,
Naomba mnishauri, mimi ni mfanyakazi serikalini. Muda mrefu nafikiria biashara ya kufanya lakini nashindwa. Sasa hivi nimeamua kuanza kufuga kuku chotara. Nataka kununua kuku chotara vifaranga mia moja. Nivitunze na kuvilisha vzr, lengo nataka muda ukifika 40 niviuze halafu 60 nivibakishe kwa ajili ya kutaga mayai ya kuuza.

Lengo nataka niwe nauza mayai angalau kila siku tray moja litoke, sihitaji faida kubwa sana kwa sasa, nahitaji tu ela izunguke na irudi angalau faida kidogo. Niweze kujikimu mahitaji madogomadogo bila kutegemea sana mshahara.

Sasa ninaomba wataalamu mnisaidie kwa ufugaji huo mdogo nitapata faida hata kidogo au itanikata mazima.

Pia nataka kupata uzoefu kabla sijatumbukia kufuga kuku wengi zaidi ya hao.

Naombeni ushauri wenu wana jamii.

Natanguliza shukrani.

Nb. Pia naomba ushauri aina nzuri ya kuku chotara wanafaa kwa nyama na mayai.
Nafuga chotara Sasso 4,000
Nikusaidie taarifa kuhusu chotara;

Ratio ya majogoo kwa mitetea ni 60-40 ukibahatika, ila mara nyingi ni 65-35 (mitetea wakiwa wachache).
Mortality kwenye hao 100 weka 30. Endapo hao 70 ratio ya majogoo itaendelea kubaki hivyo hivyo basi una mitetea 28-30 tu

Utauza majogoo muda wa mapema sana kabla mitetea hawajaanza kutaga. Ila ukifanikiwa kubaki na mitetea 30 basi watakaotaga kwa siku ni 60% which is 18 birds = 18 eggs
Kiukawaida chotara anakula 180-200g of feed kabla hajataga na kuku kwa siku huwezi mlisha more than 120g (economically) ndo maana hawawezi taga wote 30 kwa siku.

So hesabu za kuanza na kuku 100 zitakupeleka kwenye mayai 18-20 maximum kwa siku
Hapo pia unahitaji kufactor in kuku anatakiwa ale kiasi cha 5,400/=(gharama za chakula, dawa, umeme, maji, kibarua na kila kitu) kabla hajakupa tray moja ya mayai. So tray ikiwa 8000-9000 basi una faida nzuri tu ya 2600-3600 kwa siku.

Ukihamia kwenye hesabu nyingine za jumla n haraka, chotara mmoja atakugharimu kiasi cha 13,500 - 15,000 hadi anaanza kutaga (under perfect assumption bila changamoto nyingi)

So ukitaka kufuga kuku 100 kama hutaua kifaranga hata kimoja basi andaa 15,000 X 100 hadi muda wao wa kuanza kutaga miezi 4.5-6 wakikugharimu tu bila kuingiza chochote kwenye mauzo
 
Nafuga chotara Sasso 4,000
Nikusaidie taarifa kuhusu chotara;

Ratio ya majogoo kwa mitetea ni 60-40 ukibahatika, ila mara nyingi ni 65-35 (mitetea wakiwa wachache).
Mortality kwenye hao 100 weka 30. Endapo hao 70 ratio ya majogoo itaendelea kubaki hivyo hivyo basi una mitetea 28-30 tu

Utauza majogoo muda wa mapema sana kabla mitetea hawajaanza kutaga. Ila ukifanikiwa kubaki na mitetea 30 basi watakaotaga kwa siku ni 60% which is 18 birds = 18 eggs
Kiukawaida chotara anakula 180-200g of feed kabla hajataga na kuku kwa siku huwezi mlisha more than 120g (economically) ndo maana hawawezi taga wote 30 kwa siku.

So hesabu za kuanza na kuku 100 zitakupeleka kwenye mayai 18-20 maximum kwa siku
Hapo pia unahitaji kufactor in kuku anatakiwa ale kiasi cha 5,400/=(gharama za chakula, dawa, umeme, maji, kibarua na kila kitu) kabla hajakupa tray moja ya mayai. So tray ikiwa 8000-9000 basi una faida nzuri tu ya 2600-3600 kwa siku.

Ukihamia kwenye hesabu nyingine za jumla n haraka, chotara mmoja atakugharimu kiasi cha 13,500 - 15,000 hadi anaanza kutaga (under perfect assumption bila changamoto nyingi)

So ukitaka kufuga kuku 100 kama hutaua kifaranga hata kimoja basi andaa 15,000 X 100 hadi muda wao wa kuanza kutaga miezi 4.5-6 wakikugharimu tu bila kuingiza chochote kwenye mauzo
Mleta mada fuata huu muongozo pamoja na miongozo mingine iliyokushauri kuhusu elimu.
 
Nafuga chotara Sasso 4,000
Nikusaidie taarifa kuhusu chotara;

Ratio ya majogoo kwa mitetea ni 60-40 ukibahatika, ila mara nyingi ni 65-35 (mitetea wakiwa wachache).
Mortality kwenye hao 100 weka 30. Endapo hao 70 ratio ya majogoo itaendelea kubaki hivyo hivyo basi una mitetea 28-30 tu

Utauza majogoo muda wa mapema sana kabla mitetea hawajaanza kutaga. Ila ukifanikiwa kubaki na mitetea 30 basi watakaotaga kwa siku ni 60% which is 18 birds = 18 eggs
Kiukawaida chotara anakula 180-200g of feed kabla hajataga na kuku kwa siku huwezi mlisha more than 120g (economically) ndo maana hawawezi taga wote 30 kwa siku.

So hesabu za kuanza na kuku 100 zitakupeleka kwenye mayai 18-20 maximum kwa siku
Hapo pia unahitaji kufactor in kuku anatakiwa ale kiasi cha 5,400/=(gharama za chakula, dawa, umeme, maji, kibarua na kila kitu) kabla hajakupa tray moja ya mayai. So tray ikiwa 8000-9000 basi una faida nzuri tu ya 2600-3600 kwa siku.

Ukihamia kwenye hesabu nyingine za jumla n haraka, chotara mmoja atakugharimu kiasi cha 13,500 - 15,000 hadi anaanza kutaga (under perfect assumption bila changamoto nyingi)

So ukitaka kufuga kuku 100 kama hutaua kifaranga hata kimoja basi andaa 15,000 X 100 hadi muda wao wa kuanza kutaga miezi 4.5-6 wakikugharimu tu bila kuingiza chochote kwenye mauzo
Kwa kawaida Ili uuze kuku chotara anatakiwa kuwa na miezi mingapi?
 
Unaweza nipa mchanganuo wa sasso 1000 kutoka wiki 6-8..!pia naomba kujua unalisha mfuko tu mwanzo mwisho au
 
Unaweza nipa mchanganuo wa sasso 1000 kutoka wiki 6-8..!pia naomba kujua unalisha mfuko tu mwanzo mwisho au
Mimi nafuga Tanbro,
Ambao kuku 100 wanakula mifuko 6 kwa wiki 8(mpaka unapowauza) so zidisha hapo

Nalisha mfuko tu ndio mwanzo mwsho
Nilijaribu kuwachangania walikua wepesi kama karatasi so nimestick kulisha cha dukani peke ake

Kutokana na gharama za chakula kupanda...maximum Tanbro 100 nafuga kwa 650,000
 
Back
Top Bottom