Enter Passcode
JF-Expert Member
- Mar 1, 2024
- 479
- 942
Sawa mkuuJenga ya kwako
Mi unijengee chumba na sebule tu mkuuUse your brain; sidhani kama mtu mwenye uwezo wa ku raise 200m kwa ajili ya ujenzi, au kununua nyumba anaweza asiwe na majibu ya Hilo swali mpaka alete huku!
SanteJenga
SawaTulikubaliana hakuna kujenga au kununua nyumba ila tujenge heshima bar.
ThanksUse your brain; sidhani kama mtu mwenye uwezo wa ku raise 200m kwa ajili ya ujenzi, au kununua nyumba anaweza asiwe na majibu ya Hilo swali mpaka alete huku!
Unakisia sana, mkuu. Kuna wengine wanaweza kupata mali za urithi. Au akajizolea Tatu Mzuka ama Biko! Haiwezekani?Use your brain; sidhani kama mtu mwenye uwezo wa ku raise 200m kwa ajili ya ujenzi, au kununua nyumba anaweza asiwe na majibu ya Hilo swali mpaka alete huku!
Kwani mwenzetu nini kilikupata juzi kati, mbona unasema hivyo?ukishasikia nyumba ni ya urithi kaa attention ama kimbia meter 800.
Sawa chiefIna tegemea zipo za kununua na zimenyooka sana ila bei cheap kutokana na gharama za uenzi za zamani kuwa ndongo kulinganisha na sasa. Kama unataka unataka nyumba ya idea zako mwenyewe jenga yako.
Wananunua watu maghorofa kkoo sembuse kununua nyumba swekeni. Kikubwa know what you want and zingatia taratibu sahihi za manunuzi usije mwaga kilio. Jitahdi uwajue wamiliki first hand….ukishasikia nyumba ni ya urithi kaa attention ama kimbia meter 800.
Yes bossDo the things that u believe will make you happy,
Listen to ur heart.
Kabisa mkuuBuild your dream house mkuu