Enter Passcode
JF-Expert Member
- Mar 1, 2024
- 479
- 942
- Thread starter
- #21
Kabisa mkuuJenga ...
Sometimes manyumba ya kununua Yana mengi yaliyoachwa ndani yake na wenye nyumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuuJenga ...
Sometimes manyumba ya kununua Yana mengi yaliyoachwa ndani yake na wenye nyumba.
Kwani mwenzetu nini kilikupata juzi kati, mbona unasema hivyo?
Nimekuelewa. Lakini nahisi ule msisitizo wako, kuna jambo umewahi kujifunza kwa uzoefu binafsi. Emu funguka tu, buana. Mimi spika nakulindia muda wako. No one will eat into your time.Sijapatwa na chochote wala sijai tapeliwa isipokua stay vigilant na ujue full details and verify cz nyumba nyingi za kununua za urithi zina migogoro sana hasa kutokana na ndugu (wauzaji) kuzungukana ama aliye acha urithi ukute kuna namna ana mapingamizi yake aliyo acha.
So unaweza nunua nyumba za hivyo zenye migogoro kila siku ikawa ni kupoteza muda mahakamani mpaka uje urejeshewe stahiki zako ni kipande na ushapoteza muda. So linaloweza epukika liepuke tu.
Nimekuelewa. Lakini nahisi ule msisitizo wako, kuna jambo umewahi kujifunza kwa uzoefu binafsi. Emu funguka tu, buana. Mimi spika nakulindia muda wako. No one will eat into your time.
Hata nyumba ulioijenga mwenyewe majini yanaweza kuhamia.Nyumba nyingi za kununua zinakua na majini
KibishiInategemea na mfuko wako unasomaje,kama unasoma kibishi jenga,kama una soma fresh nunua mjengo
Jenga slowlySalaam,
Wakuu, kipi ni nafuu kwa karne hii, kujenga au kununua nyumba na kuhamia.
Mchakato wa kujenga naona ni mrefu kwangu.
Karibuni kwa mawazo, asanteni.
Hapo jenga,maana unajenga ikifika level flan upepo ukikata unaskilzia kwanza,mfuko ukisoma unaendelea,mpaka unamalz mjengo wakoKibishi
Are you sure this being possesses brain ?Use your brain; sidhani kama mtu mwenye uwezo wa ku raise 200m kwa ajili ya ujenzi, au kununua nyumba anaweza asiwe na majibu ya Hilo swali mpaka alete huku!
kujenga utajenga kwa jinsi unavyotaka lakini kununua hutapata nyumba kwa viwango utakavyoSalaam,
Wakuu, kipi ni nafuu kwa karne hii, kujenga au kununua nyumba na kuhamia.
Mchakato wa kujenga naona ni mrefu kwangu.
Karibuni kwa mawazo, asanteni.
Kila mtu akiwa mfanya biashara nani atakua mtejaIvi najiuliza kwann watu wanakimbilia kujenga kwann wasiwekeze kwenye biashara