Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Faida za Kujenga nyumba mwenyewe;
•Unajenga nyumba ya ndoto yako, kuanzia design hadi mpangilio wa muonekano wa mwisho wa nyumba yako.
•Utakuwa mlipaji wa mwisho wa Kila kifaa utakachonunua kwaajili ya ujenzi, hivyo una nafasi ya ku-save kiasi Fulani cha fedha.
•Utakuwa na nafasi nzuri ya kujenga Kwa vifaa vya Kisasa zaidi kadri utakavyoona na kushauriana na Mafundi. Vifaa vya Umeme vilivyo tumika kwenye Ujenzi wa nyumba Mwaka 2000 haviwezi kuwa sawa na Vifaa vya Umeme utakavyonunua utakapojenga Mwaka 2024 interms of technology.
Faida za Kununua nyumba;
•Inaokoa muda, unalipia nyumba Leo, keshokutwa unaweza kuhamia
•Inapunguza gharama, nyumba unayoweza kujenga Kwa shilingi milioni 100, unaweza kununua Kwa milioni 75, kutegemeana na uwezo wa ushawishi. Zone of Possible Agreement (ZOPA) wale tulio na skills za Negotiations
Maamuzi ni yako Chifu, Wishing you best of luck
•Unajenga nyumba ya ndoto yako, kuanzia design hadi mpangilio wa muonekano wa mwisho wa nyumba yako.
•Utakuwa mlipaji wa mwisho wa Kila kifaa utakachonunua kwaajili ya ujenzi, hivyo una nafasi ya ku-save kiasi Fulani cha fedha.
•Utakuwa na nafasi nzuri ya kujenga Kwa vifaa vya Kisasa zaidi kadri utakavyoona na kushauriana na Mafundi. Vifaa vya Umeme vilivyo tumika kwenye Ujenzi wa nyumba Mwaka 2000 haviwezi kuwa sawa na Vifaa vya Umeme utakavyonunua utakapojenga Mwaka 2024 interms of technology.
Faida za Kununua nyumba;
•Inaokoa muda, unalipia nyumba Leo, keshokutwa unaweza kuhamia
•Inapunguza gharama, nyumba unayoweza kujenga Kwa shilingi milioni 100, unaweza kununua Kwa milioni 75, kutegemeana na uwezo wa ushawishi. Zone of Possible Agreement (ZOPA) wale tulio na skills za Negotiations
Maamuzi ni yako Chifu, Wishing you best of luck