Naomba ushauri; Nipo kwenye dimbwi la mawazo baada ya kutembea na mwathirika wa UKIMWI

Naomba ushauri; Nipo kwenye dimbwi la mawazo baada ya kutembea na mwathirika wa UKIMWI

Joined
Oct 22, 2018
Posts
15
Reaction score
39
Ndugu zangu... Poleni kwa majukumu ya ujenzi wa taifa, mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 25.

Wiki moja iliyopita nilikutana kimwili na binti ambaye kwa bahati mbaya nilikuja kugundua na kuthibitisha kuwa ni muathirika wa virusi vya ukimwi😭😭, na siku hiyo niliuza mechi (sikuvaa mpira), naogopa sana kwenda kupima kwani naamini majibu nitakayopewa itakuwa ni usaliti mkubwa sana kwa wazazi wangu na hata dini yangu.

Imani pekee ambayo nimebaki nayo ni kwamba kama haujui kuwa unafanya mapenzi na mtu ambaye ana virusi hivi hatari basi hauwezi kuambukizwa, ila utapata tu pale ambapo unakua unajua, ni kama vile waislam wanavyoamini kuwa akila nguruwe bila kujua basi sio dhambi, dhambi ni pale anapokua anajua kuwa anakula nguruwe.

Je, ni kweli hiki nachokiamini ni sahihi? majibu yenu yatakayokuwa upande wangu basi yataniimarisha sana.

ASANTENI😭😭😭
 
Ndg zangu... Poleni kwa majukumu ya ujenzi wa taifa, mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 25.

Wiki moja iliyopita nilikutana kimwili na binti ambaye kwa bahati mbaya nilikuja kugundua na kuthibitisha kuwa ni muathirika wa virusi vya ukimwi😭😭, na siku hiyo niliuza mechi (sikuvaa mpira), naogopa sana kwenda kupima kwani naamini majibu nitakayopewa itakuwa ni usaliti mkubwa sana kwa wazazi wangu na hata dini yangu.

Imani pekee ambayo nimebaki nayo ni kwamba kama haujui kuwa unafanya mapenzi na mtu ambaye ana virusi hivi hatari basi hauwezi kuambukizwa, ila utapata tu pale ambapo unakua unajua, ni kama vile waislam wanavyoamini kuwa akila nguruwe bila kujua basi sio dhambi, dhambi ni pale anapokua anajua kuwa anakula nguruwe.

Je, ni kweli hiki nachokiamini ni sahihi? majibu yenu yatakayokuwa upande wangu basi yataniimarisha sana.

ASANTENI😭😭😭
ukipima sasa huenda uonekane huna maana si mpaka ipite miezi 3. Huwa nashangaa mtu kajamiana jana halafu leo kaenda kupima, halafu anashangilia kuwa amekutwa negative.
 
Ndg zangu... Poleni kwa majukumu ya ujenzi wa taifa, mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 25.

Wiki moja iliyopita nilikutana kimwili na binti ambaye kwa bahati mbaya nilikuja kugundua na kuthibitisha kuwa ni muathirika wa virusi vya ukimwi😭😭, na siku hiyo niliuza mechi (sikuvaa mpira), naogopa sana kwenda kupima kwani naamini majibu nitakayopewa itakuwa ni usaliti mkubwa sana kwa wazazi wangu na hata dini yangu.

Imani pekee ambayo nimebaki nayo ni kwamba kama haujui kuwa unafanya mapenzi na mtu ambaye ana virusi hivi hatari basi hauwezi kuambukizwa, ila utapata tu pale ambapo unakua unajua, ni kama vile waislam wanavyoamini kuwa akila nguruwe bila kujua basi sio dhambi, dhambi ni pale anapokua anajua kuwa anakula nguruwe.

Je, ni kweli hiki nachokiamini ni sahihi? majibu yenu yatakayokuwa upande wangu basi yataniimarisha sana.

ASANTENI😭😭😭

Pole.

Hii hoja ya kwamba ukikutana kimwili na mwanamke mwenye HIV bila kujua huambukizwi, kwa sababu hukujua, si ya kisayansi, si kweli.

Kutokujua hakukusaidii usiambukizwe.

Ila, kama umekutana na mtu mwenye HIV anayetumia dawa, au ambaye viral load yake ni ndogo sana, unaweza usiambukizwe.

Jihadhari, subiri muda kidogo kama miezi mitatu,nenda hospitali kapime halafu kapime tena baada ya nuda kuhakikisha hali ya afya yako.
 
Pole.

Hii hoja ya kwamba ukikutana kimwili na mwanamke mwenye HIV bila kujua huambukizwi, kwa sababu hukujua, si ya kisayansi, si kweli.

Kutokujua hakukusaidii usiambukizwe.

Ila, kama umekutana na mtu mwenye HIV anayetumia dawa, au ambaye viral load yake ni ndogo sana, unaweza usiambukizwe.

Jihadhari, subiri muda kidogo kama miezi mitatu,nenda hospitali kapime halafu kapime tena baada ya nuda kuhakikisha hali ya afya yako.
duuuh! mkuu nashkuru kwa ushauri sahihi
 
Skuiz kuna Prep, pre exposere prophylaxis, CTC zimemwagika nenda kisha anza kuuza mechi.

Pole sana mkuu, Kila mwanaume aanakumbana na haya usiogope pima kisha kaa kwakutulia pengine ilmetokea kukupa alert .
 
PEP ni kitu gani mkuu
Kuna uzi uliuliza hili swali na kujibiwa vizuri

 
Una muda gani toka umelala na huyo dada ? Je masaa sabini na mbili yamepita ? Ikiwa hayajapita tafadhali naomba kuwasiliana na wewe .

Je ulimuandaa vyema kabla ya kumuingilia ?
Naomba majibu yako rafiki
nilimuandaa vizuri, japo kule kulalamika kwa watoto wakike kulikuepo "naumia" "taratibuu" so sijajua kama ilikuaje, ila nimefanya nae ijumaa usiku.
 
Kutembea na muathirika hakukupi 100% kuwa nawe umeathirika!Jambo la muhimu ni kwenda kupima kitu pekee ambacho kutakuweka huru ni kujua afya yako.
Chukua muda wa kutosha then nenda kacheki afya yako.
Ukimwi siku hz sio tatizo kama ilivyokuwa hapo zamani..
 
Back
Top Bottom