Naomba ushauri: Rafiki yangu ana tabia ya kutongoza kila binti ninayekuwa naye kwenye mahusiano

Punguza ukaribu na huyo unayemuita rafiki yako. Hama kwenye nyumba za kampuni uende mbali na hapo ili uwe na privacy kwenye mambo yako. Si vema kila kitu unachofanya umshirikishe rafiki yako, vingine vibaki kuwa suprise, aone matokeo tu hata kama akilaumu kuwa haukumwambia.
 
Kamwe ni nadra wanaume kuwa na urafiki wa hivyo never never huyo si rafiki ni mjinga mjinga uliye kutana nae ukubwani
 
Ujue Kuna baadhi ya watu ukuaji wao ni wa kuongezeka idadi ya miaka tu lakini akili imeganda palepale
 
Huna rafiki na pia huna wapenzi. Hao wote ni vichaa wanakufanya buzi lao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…