Naomba ushauri: Rafiki yangu ana tabia ya kutongoza kila binti ninayekuwa naye kwenye mahusiano

Naomba ushauri: Rafiki yangu ana tabia ya kutongoza kila binti ninayekuwa naye kwenye mahusiano

Ninae jamaa mmoja wa dizain hiyo huwa anapenda kila dem ninaetoka nae yan kma huyo alieelezewa hapo juu. Mahamba sana yule jamaa nataka nimpige tukio mojaa kummkee yulee. Anaona nacheka usoni kumbe kuna jambo nitamfanyie hatosahau
 
Habari mwanaJF, naomba ushauri rafiki yangu huwa na tabia ya kutongoza kila binti niliye naye kwenye mahusiano

Ni rafiki ninayefanya naye kazi kituo kimoja pia tulikutana kazi japo pia tunakaa jirani kwenye nyumba za kampuni

Kipindi cha nyuma nilikuwa na demu ambaye alimjua pia baadhi ya mambo alikuwa anajua coz ni rafiki yuko karibu na mimi ila nilipokuja kujua kuwa amemtongoza pia kala mzigo, nilijikuta hisia zinaisha kabisa na yule demu nilimpenda ila sijui kama na yeye alinipenda kwa mara ya mwisho alikuja gheto kwangu sikuweza kufanya chochote, niliachana naye pia sikumwambia kitu rafiki ila nilianza kuweka mipaka

Niliingia tena na mahusiano binti mwingine, hali ilirudi ile ile ila cha ajabu huwa anajifanya kunipa ushauri na kuniambia usimuache huyu demu anakupenda sana ila nilijikuta namuacha kwani nilishindwa kufanya naye sex zaidi ya mara mbili

Sasa juzi nikiwa na binti niliyenaye kwa sasa, rafiki yangu alinipigia simu akiniomba nimuazime pikipiki, nilimwambia nimeenda kijijini ila haikuwa ni kweli nilikuwa out na mpenzi wangu, sasa nilishangaa nilipooneshwa sms aliyomtumia mpenzi wangu wakati huo nikiwa naye ila kwa kipindi cha nyuma aliniambia kuwa jamaa anamsumbua

Nilichati naye na nikamuomba 20,000/=, cha ajabu aliniomba nimuazime 30,000/= baada ya kumtumia alituma kwenye namba ya mpenzi wangu, nilijikuta naumia na kujaa hasira sana.

Naomba ushauri maana huyu binti nampenda sana pia nimeshafika kwao nahitaji kumuoa , nifanyeje ili yasinikute yaliyopita? Maana rafiki yangu najua tabia zake ana madem wengi pia huwa ananunua wale dada poa

Naombeni ushauri maana kila nikikumbuka najaa na hasira...
Huyo sasa ndiye rafiki wa kweli. Anakusaidia kuchuja pumba na mchele. Anakusaidia kuchagua wife material kwani in the real life, mwanamke yeyote hukutana na wanaume wengi watakaomtongoza. Shida iko wapi kama demu anakupenda? Demu kama anakupenda na ni mwaminifu hata akitongozwa hawezi kukubali. Sana sana atakuja kukuambia. Na akikubali basi piga chini huyo hakufai.
 
Habari mwanaJF, naomba ushauri rafiki yangu huwa na tabia ya kutongoza kila binti niliye naye kwenye mahusiano

Ni rafiki ninayefanya naye kazi kituo kimoja pia tulikutana kazi japo pia tunakaa jirani kwenye nyumba za kampuni

Kipindi cha nyuma nilikuwa na demu ambaye alimjua pia baadhi ya mambo alikuwa anajua coz ni rafiki yuko karibu na mimi ila nilipokuja kujua kuwa amemtongoza pia kala mzigo, nilijikuta hisia zinaisha kabisa na yule demu nilimpenda ila sijui kama na yeye alinipenda kwa mara ya mwisho alikuja gheto kwangu sikuweza kufanya chochote, niliachana naye pia sikumwambia kitu rafiki ila nilianza kuweka mipaka

Niliingia tena na mahusiano binti mwingine, hali ilirudi ile ile ila cha ajabu huwa anajifanya kunipa ushauri na kuniambia usimuache huyu demu anakupenda sana ila nilijikuta namuacha kwani nilishindwa kufanya naye sex zaidi ya mara mbili

Sasa juzi nikiwa na binti niliyenaye kwa sasa, rafiki yangu alinipigia simu akiniomba nimuazime pikipiki, nilimwambia nimeenda kijijini ila haikuwa ni kweli nilikuwa out na mpenzi wangu, sasa nilishangaa nilipooneshwa sms aliyomtumia mpenzi wangu wakati huo nikiwa naye ila kwa kipindi cha nyuma aliniambia kuwa jamaa anamsumbua

Nilichati naye na nikamuomba 20,000/=, cha ajabu aliniomba nimuazime 30,000/= baada ya kumtumia alituma kwenye namba ya mpenzi wangu, nilijikuta naumia na kujaa hasira sana.

Naomba ushauri maana huyu binti nampenda sana pia nimeshafika kwao nahitaji kumuoa , nifanyeje ili yasinikute yaliyopita? Maana rafiki yangu najua tabia zake ana madem wengi pia huwa ananunua wale dada poa

Naombeni ushauri maana kila nikikumbuka najaa na hasira...
huyo sio rafiki ni adui,vunja urafiki nae na umpake sawasawa kwa kumuonesha ushahidi wote
 
Mkatae huyo sio rafiki, mwambie ukweli ajue upuuzi wake na umueleze kabisa kuwa hutaki ukaribu na urafiki tena kwa sababu hana adabu huyo fala.

Demu wako akizoeana na marafiki zako kama hana akili ataliwa tu, alafu inaonesha wewe ndio unaruhusu huo ukaribu inakuaje mpaka anafikia hatua ya kumiliki hadi namba yake ya simu?
 
Huyo jamaa yako sio tatizo ila wewe ndio tatizo inakuaje unaacha mianya anawajua mademu zako na mawasiliano anakuwa nayo? Jichunguze kwanza unapokosea na ubadilike vinginevyo utaendelea kuchapiwa mpaka akili ikukae sawa.
 
Huyo jamaa yako sio tatizo ila wewe ndio tatizo inakuaje unaacha mianya anawajua mademu zako na mawasiliano anakuwa nayo? Jichunguze kwanza unapokosea na ubadilike vinginevyo utaendelea kuchapiwa mpaka akili ikukae sawa.
Nakazia
 
Mie naomba kujua Mipaka aliyoweka baada ya demu wake wa kwanza kuliwa na rafiki yake ni ipi na ipi

Mipaka hiyo iliweka mazingira gani hadi rafiki yake anamiliki namba ya huyu demu mpya

Kama hakuna majibu basi uzi wote huu ni chai....yenye chumvi
Mimi pia imenifikirisha huenda si kweli
Yaani hi nanba ya rafiki inafikaje kwa watu wako (wife material) huwa ni mali binafsi sasa tuambie imekuaje hadi wanawasiliana au unamuachia simu yako?
 
Kwa wale wataalam wa psychology utagundua jamaa ana tone flani ya kutia huruma sana.... Huu unyonge watamtombeyer mpaka akili imkae sawa
 
Habari mwanaJF,

Naomba ushauri rafiki yangu huwa na tabia ya kutongoza kila binti niliye naye kwenye mahusiano.

Ni rafiki ninayefanya naye kazi kituo kimoja pia tulikutana kazi japo pia tunakaa jirani kwenye nyumba za kampuni.

Kipindi cha nyuma nilikuwa na demu ambaye alimjua pia baadhi ya mambo alikuwa anajua coz ni rafiki yuko karibu na mimi ila nilipokuja kujua kuwa amemtongoza pia kala mzigo, nilijikuta hisia zinaisha kabisa na yule demu nilimpenda ila sijui kama na yeye alinipenda kwa mara ya mwisho alikuja gheto kwangu sikuweza kufanya chochote, niliachana naye pia sikumwambia kitu rafiki ila nilianza kuweka mipaka.

Niliingia tena na mahusiano binti mwingine, hali ilirudi ile ile ila cha ajabu huwa anajifanya kunipa ushauri na kuniambia usimuache huyu demu anakupenda sana ila nilijikuta namuacha kwani nilishindwa kufanya naye sex zaidi ya mara mbili.

Sasa juzi nikiwa na binti niliyenaye kwa sasa, rafiki yangu alinipigia simu akiniomba nimuazime pikipiki, nilimwambia nimeenda kijijini ila haikuwa ni kweli nilikuwa out na mpenzi wangu, sasa nilishangaa nilipooneshwa sms aliyomtumia mpenzi wangu wakati huo nikiwa naye ila kwa kipindi cha nyuma aliniambia kuwa jamaa anamsumbua.

Nilichati naye na nikamuomba 20,000/=, cha ajabu aliniomba nimuazime 30,000/= baada ya kumtumia alituma kwenye namba ya mpenzi wangu, nilijikuta naumia na kujaa hasira sana.

Naomba ushauri maana huyu binti nampenda sana pia nimeshafika kwao nahitaji kumuoa , nifanyeje ili yasinikute yaliyopita? Maana rafiki yangu najua tabia zake ana madem wengi pia huwa ananunua wale dada poa.

Naombeni ushauri maana kila nikikumbuka najaa na hasira.
Wewe nawe taburalasa tu! Huyo hana urafiki na wewe hata kidogo! Kama ana mke nenda umegongee atakuheshimu! Au mkuu alishakujua wewe huwafikishi kilele cha Kibo ndiyo maana anajichukulia mizigo?
 
Tongoza dada yake au ndugu yake yeyote wa kike, hakikisha unampata uone kama atatongoza na huyo.
Huyo sio rafiki kaambali nae tena sana

Lakini ata mim nina rafiki angu sometimes nashindwa kumwelewa hadi aasa lakn yete yupo upande wapesa kwasababu tulikua tume panga kusafiri nje ya nchi so hii fursa anaitumia kunila pesa sana me pia naomben ushauli niishi vip na huyu mtu🙏🏽
 
Huyo sio rafiki kaambali nae tena sana

Lakini ata mim nina rafiki angu sometimes nashindwa kumwelewa hadi aasa lakn yete yupo upande wapesa kwasababu tulikua tume panga kusafiri nje ya nchi so hii fursa anaitumia kunila pesa sana me pia naomben ushauli niishi vip na huyu mtu🙏🏽
Tafuta tu pesa aisee, huyo achana nae.
 
Back
Top Bottom