Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia simu yako kudownload sura hizo ama video au audio na ufuatishe Mara 2 Hadi 3 Kisha utaisoma vema iwapo wewe Ni muislam Kama SI muislam tafuta anaye in QuranNashukuru, shida sijapita madrasa
Huko unateseka mwamini Yesu mwana wa Mungu ,utaokoka.Shekh, nimeangaika mnoo kwa maustadha bado shida inaendelea.
Nasikiza saaana Quran na kuswali pia.
Nimeenda miskiti kuomba dua, kilichotokea, narudi tu nalopokewa na mke kwamba namswalia kabla hajafa misikitini
Shukran Sana umemuwaidhi ipasavyo ...Pole sana kwa changamoto,
Kua karibu na Mola wako kuliko ulivyowahi kua hapo mwanzo. Amini kabisa hakuna mtu au kitu chchote kinachoweza kukusaidia isipoku Allah
Jitahidi kukaa na udhu, dhikri zifanye nyakati zote ( subhanAllah, Allahu Akbar, la ilaha illa llah, la hawla wala quwata ila billah, nk, ayaat kursiyu baqara 255, suraht falaq, nas na ikhlas) ziwe zinapita moyoni mwako) swali rakaa mbili kisha mwombe Allah akuondolee hii mitihani, lia nae sema kama unamuona hakika atakusikia. Jifunze majina ya mwenyezi Mungu na maana yake yeye anajibu , anasikia , na anafanya jambo kua jepesi akitaka.
Ila hakikisha mfumo wako wa maisha unabadilika kbisa. Fanya aliyoamrisha mola wako na acha aliyokataza.
Pia usianze kuruka ruka mara kwa shekh mara kwa mganga mara kwa wachungaji, simama wewe pekee Allah atasikia
Ukisoma pia al fatha imaanishe utapata wepesi
(Mfno pale unaposema iyyak naabudu wa iyyaka nastaghiin hakikisha kwel ni yeye unamuuabudu pekee na kumtaka msaad yeye tu na si mwingin)
Kisha naapa kwa Allah kua kila kitu kitakaa sawa.
Ukiweza pia simama visimamo vya usiku
Nashukuru saaana, nimezingatiaMkuu pole Sana sana mpk nmeogopa sana. Na nmejaribu kuvaa viatu vyako hakika vmenipwaya Sana uwenda ningekimbia familia.
Sasa hapo kuna maagano ya kiukoo yanakufatilia paspo ww kujua kuna viapo viliapwa huko zamani na kafala kutolewa uwenda ww umekiuka baadhi ya Mambo
Utateseka Sana bro hayo maagano ya ukoo lazma ujitenge nayo haraka sana.
Raia humu huwa wanambeza Sana mwamposa bt hakika kuptia jina la Yesu amesaidia wengi Sana.
Ungekuwa upo kanda ya ziwa huku ningekuja huko na rafiki yangu tuchape maombi hapo tuvunje hayo maagano hakuna kingebaki kukusumbua usje sema twataka hela au sadaka hapana yaani ni nauli Tu basi. Tungekuonyesha uwezo WA Jina na Damu ya Yesu hayo madude yangesema yanatoka wapi Amini usiamini
Watu wengi tu hawajawahi kuyafurahia maisha. Hivyo mpe ushauri kulingana na imani yake nduguMkiambiwa muokoke mnakuja juu.
Sasa mtu kama wewe hivi umewahi kufurahia maisha kweli?.
Pole
tatizo unaswali kwasababu ya matatizo ndo shida..Shekh, nimeangaika mnoo kwa maustadha bado shida inaendelea.
Nasikiza saaana Quran na kuswali pia.
Nimeenda miskiti kuomba dua, kilichotokea, narudi tu nalopokewa na mke kwamba namswalia kabla hajafa misikitini
1996+9=2005, wewe uliongeza mke 2003.Salaaam.
Nimekuwa na changamoto katika maisha yangu na familia yangu.
1. Nilikuwa nimeowa mke wa kwanza 1996 na kubahati kuishi kwa miaka 9 ivi na kupata watoto 3. Lakini, ikaja changamoto mke akawa ananishutumu kuwa nawatuma watu wamzalilishe, akawa anakosa amani aliamini kuwa nawatuma watu wamchungulie Hadi chooni/bafuni na hata tunapolala. Nikamuacha kwa kuamini alikuwa analengo lake. Lakini baada ya kuachiwa Hali yake ikawa mbaya zaidi na kuwa mtu aliechanganyikiwa.
2. Nikaowa Tena 2003, lakini baada ya miaka Kama Saba Hali ya yule mke wa kwanza ikajitokeza kwa huyu na kupelekea kukosa Furaha ya ndoa. Amekuwa anasikia na kusema Mambo ambayo wengine tunashangaa tu na ngumu kuamini. Anaweza kuwa ndani lakini akakuambia watu wanamzomea au wanamtuka nje bila wengine kusikia
Mbaya zaidi kunasiku akaamka na kuniambia kuwa ameota kuwa na jitu kubwa na lilimwambia yeye ni mkubwa na aniambie nimwaache. Baada ya mwezi, anadai kuachwa. Naogopa kumwacha kwakuhofia lile la mke wa awali.
3. Wakati napambana na Hilo, mwaka juzi mtotowangu alitoka nyumbani nilikozaliwa na kuanguka na pikipiki na lakini hakuumia sehemu yoyote ile lakini alisema alishangaaa tu ameanguka na hakuwa anajielewa na kujikuta tu anaburuza pikipiki kwa mda mrefu na baada ya kupata fahamu akawasha na kurudi nyumbani anakoishi. Toka siku hiyo akawa anaongea Mambo ambayo ni ngumu kuelewa, atoki ndani mchana na kuchukia kuwa karibu na watu.
Naomba Allah akuongoze kunishauri Hilo maana linanikosesha amani. Naomba saana kwa Allah Ila nakosa maarifa ya kutafakari ndoto zangu.
Sijabisha mkuu, nilikua na nia njema tuNi makosa ya hesabu, hata wewe hukupata [emoji817] katika masomo yako