Naomba ushauri tafadhali

YESU YESU YESU

KABIDHI MAISHA YAKO NA FAMILIA YAKO KWA YESU.

OKOKA UANZE KUFURAHIA MAISHA.
 
Kuwa na Imani thabit na usiwe mtu wa kujaribu kila aina ya mambo

Mwamini Mungu wako sana na uswali na kumlilia sana Mungu
Kuna tatizo kwako ila hujasema upande wa familia yako wakoje
Je umeiliza nyumbani
 
Nimeuliza saaana bila kupata jibu la kueleweke. Baba na mama walishafariki kabla hata sijamaliza shule ya msingi, may be ningepata pa kuanzia
Kuwa na Imani thabit na usiwe mtu wa kujaribu kila aina ya mambo

Mwamini Mungu wako sana na uswali na kumlilia sana Mungu
Kuna tatizo kwako ila hujasema upande wa familia yako wakoje
Je umeiliza nyumbani
 
Pole sana sana hii ina uhusiano mkubwa sana na ushirikina uliofanyiwa wewe kwa familia yako...
Je kuna mtu aliwahi kujiapiza kukufanyia mabaya?
Je kuna ndugu mlitofautiana mambo ya kifamilia?
Je kuna mwanamke ulishawahi kudate naye ukamuahidi ndoa na hukumuoa?

Tiba halisi ni pale utakapojua chanzo cha tatizo ama asili yake
 
Kwakweli ujanani ni mapito, nilikuwa na mahusiano mbalimbali lakini sikuahidi ndoa kwa vile nilikuwa na shule zaidi kupelekea kuchelewa kuowa. Nafahamu wengi walitamani niwaowe.

Sikuwai kugombana na mtu kufikia hatua ya kuwekeana vikwazo. Sio mgovi na muongeaji kitabia (mvivu wa kujibizana).

Sina ndugu nilietofautiana kifamilia labda Kama wivu na kijicho.
 
Bahati mbaya wazazi walishafariki kabla ya kumaliza shule ya msingi. Hata hivyo, nimewauliza Kaka na dada zangu, pia wajomba na mashangazi na wakubwa wa ukoo kupata histori yetu, bla kupata msingi wa matatizo yangu.

Dada yetu aliniambia nimezaliwa baada ya watoto Kama watatu kufariki wachanga na kupelekea maneno mengi Kati ya baba, mama na wazee wao na nikapewa jina la utoto Maneno
 
Vipi kuhusu mahusiano yako ya nyuma? Hujawahi kuharibu mahali?
 
Funguka kidogo mwisho ulikuwaje
Nilikwenda likizo home kabisa, kijijini, katika kaa yangu huko, nikalala nae na kurudi shule bila kujuwa Kama Ana ujauzito. Nilikaa mda mwingi kurudi huko na sikupata taarifa yoyote kuhusu Hilo. Ndugu zangu pia hawakunipa taarifa hiyo. Lakini baada ya mtoto kuzaliwa na kuendelea kukuwa DNN Za kienyeji zilithibiti kuwa ni wangu. Nilipomuuliza binti Kama Jambo Hilo ni sahihi alisema ndio na alitoa taarifa kwa dada mkubwa lakini dada zangu walilikataa.
Kaka alilifuatilia na mwisho kupewa mtoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…