Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabsa ahsante ndugOna JF ya siku hizi ilivyo, mtu kaleta tatizo lake maskiini akiamini atapata msaada ameishia kupata kejeli..
Sasa hapa mmesaidia mlengwa ama mmemuongezea msongo wa mawazo, kama mtu huna kitu chema cha kumuambia 'muhanga', ni vyema ukakaa tu kimya na huo ndiyo uungwana..
ndug simfahamu kiundan pia sjaoa Nilikuwa nimeania kabsa ila cha ajabndo hivo ikatokeaHilo tatizo lishawahi kukutokea kabla?
Huyo mwanamke unamfahamu kiundani,je ni mke wa mtu?
Wewe umeoa?
Je ulimpania sana?
Maswali hayo machache yanaweza kuwa na majibu ya shida yako.
nimekuelewa ndg ukwel nilikuwa mmafikiria sana co9 sijawah vuliwa na mwanamke daah.na hili tatzo halijawah😂😂😂😂 Pole sana kijana , inaonyesha ulikuwa na wenge sana , punguza wenge omba mechi tena..