Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Ndugu @meddly , Nadhani ni vyema ukaomba ufafanuzi toka kwake, badala ya kusema wewe muongo. Hapo unakuwa hujamsaidia mleta mada na hata wana JF wengine hwanufaiki na mchango wako. Tafadhari tuwe na mawazo chanya, kile ambaco kwako unadhani kuwa hakiwezekani kwa wengine kinawezekana.Muongo wewe
Swala ni Je inawezekana vipi??