Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 1,534
- 1,511
Sio Kwa wachina restaurant pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Kwa wachina restaurant pale
Acha utani basi kaka, usitake nije dar mkuu 🤣😁😁Boda boda wanadharaulika tu lakini nakuhakikishia hapa hapa Dar kuna chimbo Wanakunja hata zaidi ya 120K per day.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Great Thinker ndiyo vijana kama huyu jamaa sio wale wala tunda kimasihara.....Fanya utafiti wa kutoa biashara Shambani na kuleta mjini.
Fanya utafiti wa kuwa wakala au kununua bidhaa viwandani na kuuza mitaani.
Fanya utafiti wa biashara kabla ya kuifanya biashara, pia wajuwe walengwa wako. Ukitaka kufanikiwa walengwa wawe masikini hawa kila siku lazima wanunue vitu ila vitu vyao vya bei rahisi. Matajiri sio wanunuzi wa kila siku kwasababu ya mazingira ya maisha yao. Kila la kheri
KabisaGreat Thinker ndiyo vijana kama huyu jamaa sio wale wala tunda kimasihara.....
80k labda weekend tena uzunguke sana.We uliambiwa mi nilishuhudia mwenyewe kwa macho miaka ya 2018-2020.
Ila siku hizi chimbo lina ushindani sana ambapo Mtu akineemeka sana anapata 80k na hata namna ya kuingia hapo lazima uwe na connection.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Boda boda wanadharaulika tu lakini nakuhakikishia hapa hapa Dar kuna chimbo Wanakunja hata zaidi ya 120K per day.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
wapi huko mbona hamna hela, kuna chimbo huku mkoani watu wanakunja hadi laki 3 kwa sikuBoda boda wanadharaulika tu lakini nakuhakikishia hapa hapa Dar kuna chimbo Wanakunja hata zaidi ya 120K per day.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
wewe na hiyo laki 3 yako ndio unaichezea kabisa huo mpunga, huku kuna watu tuna elf 50 mtaji na tunakunja laki na nusu per dayml 3-4 uingize 50000 per day unachezea hiyo hela Kuna watu tuna laki 3 mtaji tunakunja mpaka 70000 per day
Semeni basii ni nn mnafanya na sisi tufaidike.wewe na hiyo laki 3 yako ndio unaichezea kabisa huo mpunga, huku kuna watu tuna elf 50 mtaji na tunakunja laki na nusu per day
Nafikiri ni wazo zuriTafuta gape zuri lenye muingiliano wa watu uuze kiepe.
Hii ni JF mkuu, za kuambiwa changanya na zako.Semeni basii ni nn mnafanya na sisi tufaidike.
Mwelekeze hapa hapa kwanini unataka umuelekeze nje ya jukwaa?0782766657 njoo nikuelekeze bidhaa ya million
PlayStation four 2 zinatoshaHabari zenu wadau,
Mtaji wangu ni milioni 3-4, naombeni ushauri wa biashara ya kuweza kuniingizia kiasi cha kuanzia elfu 30 mpaka elfu 50 kwa siku. Nina miaka 30, nipo Dar, jinsia Wa kiume.
Natanguliza shukrani, karibuni kwa ushauri/maoni.
Kuwa makini hapa.. ukienda kichwakichwa utalala kwenye maboksiAcha utani basi kaka, usitake nije dar mkuu 🤣😁😁
biashara gani unafanya mkuuml 3-4 uingize 50000 per day unachezea hiyo hela Kuna watu tuna laki 3 mtaji tunakunja mpaka 70000 per day
huu mtego huu0782766657 njoo nikuelekeze bidhaa ya million
Ama kweli mswahili ni mswahili tu!ml 3-4 uingize 50000 per day unachezea hiyo hela Kuna watu tuna laki 3 mtaji tunakunja mpaka 70000 per day