Ndugu @meddly , Nadhani ni vyema ukaomba ufafanuzi toka kwake, badala ya kusema wewe muongo. Hapo unakuwa hujamsaidia mleta mada na hata wana JF wengine hwanufaiki na mchango wako. Tafadhari tuwe na mawazo chanya, kile ambaco kwako unadhani kuwa hakiwezekani kwa wengine kinawezekana.Muongo wewe
Ni biashara gan hyoml 3-4 uingize 50000 per day unachezea hiyo hela Kuna watu tuna laki 3 mtaji tunakunja mpaka 70000 per day
Kabisa. Kwa biashara yako ya cocain, sawa, yeye anataka halali
Boda boda wanadharaulika tu lakini nakuhakikishia hapa hapa Dar kuna chimbo Wanakunja hata zaidi ya 120K per day.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
tafuta gape zuri lenye muingiliano wa watu uuze kiepe.
ml 3-4 uingize 50000 per day unachezea hiyo hela Kuna watu tuna laki 3 mtaji tunakunja mpaka 70000 per day
Mhh niliambiwa hivi kabla sijaanza kuendesha bolt tena yangu ila nachokiona ni tofauti kabisaaa.
Zote hizo ni biashara ambazo kwa uwekezaji wa hicho kiais tajwa ana uwezo wa kulaza kwa uchache 70,000 au zaidi kwa siku | Kutegemea eneo husika. Hebu fikiria biashara ya kiti moto sehemu ya bar iliyochangamka. ambapo mtu anapiga kazi kuanzia saa 10jioni hadi saa 6 usiku. Je hiyo faida ya 70K haijapatikana tu.
- Je unafahamu biashara ya kuku wa kukaanga?
- Je unafahamu biashara ya kukaanga chips?
- Je unafahamu biashara ya nyama ya nguruwe??
Tutumie thread za wengine kujifunza pia, sio kuwa na mawazo hasi linapokuja swala la idea za kujiingizia kipato kwa mtaji mdogo.
Boda boda wanadharaulika tu lakini nakuhakikishia hapa hapa Dar kuna chimbo Wanakunja hata zaidi ya 120K per day.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
ndio ivyo na hapo pakulipia ndo kwenye pesa.pahala pa kukaa bure au kupewa maranyingi akuna ishu hapo.Asante chief.. chips ila si mpaka upange eneo ulilipie kodi kabisa na vifaa vya kuanzia iyo shuguli
Ni sawa mkuu, lakini eneo lililochangamka, bar iliyochangamka manake hata gharama za uendeshaji ziko juu.Zote hizo ni biashara ambazo kwa uwekezaji wa hicho kiais tajwa ana uwezo wa kulaza kwa uchache 70,000 au zaidi kwa siku | Kutegemea eneo husika. Hebu fikiria biashara ya kiti moto sehemu ya bar iliyochangamka. ambapo mtu anapiga kazi kuanzia saa 10jioni hadi saa 6 usiku. Je hiyo faida ya 70K haijapatikana tu.
- Je unafahamu biashara ya kuku wa kukaanga?
- Je unafahamu biashara ya kukaanga chips?
- Je unafahamu biashara ya nyama ya nguruwe??
Tutumie thread za wengine kujifunza pia, sio kuwa na mawazo hasi linapokuja swala la idea za kujiingizia kipato kwa mtaji mdogo.
Biashara hiyo ni bodaboda Tena uwe bodaboda mwenyewe au kuvuta maji maduarani uwe na vifaa kama generator ,kebo na pampuTunatazama kwa umakini hii thread wenye matusi wasitutoe kwenye mstari tunatazma madini tu tuondoke nayBia
Haramu kwako... Si haramu kwa mwingine tuelewane hapo kwanzaKama huwezi msaidia mtu kimawazo ni bora ukae kimya kuliko kumshauri mtu vitu haramu kwa Mungu hata kwa serikali yalenyewe.. Soma comment pita kushoto..
We uliambiwa mi nilishuhudia mwenyewe kwa macho miaka ya 2018-2020.Mhh niliambiwa hivi kabla sijaanza kuendesha bolt tena yangu ila nachokiona ni tofauti kabisaaa.
Chifu nimeshawapatia location kwa walionifata PM.Toa location
Maana ya eneo lililochangamka ni kwamba mauzo yatakuwa makubwa kwa hiyo faida nayo itakuwa kubwa kuweza kukidhi gharama na kiwango anachohitaji.Ni sawa mkuu, lakini eneo lililochangamka, bar iliyochangamka manake hata gharama za uendeshaji ziko juu.
Biashara ya kukupa 70k baada ya kuondoa gharama zote sio mchezo mkuu.
WapiWe uliambiwa mi nilishuhudia mwenyewe kwa macho miaka ya 2018-2020.
Ila siku hizi chimbo lina ushindani sana ambapo Mtu akineemeka sana anapata 80k na hata namna ya kuingia hapo lazima uwe na connection.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app