Habarini wana JF, nitangulize shukrani za dhati kwenu wote.
Nahitaji kuanza maisha yangu mjini Kahama. Natambua kuna wazoefu na wenyeji wanaoijua vizuri. Nina mtaji mdogo tu wa milioni moja.
Je, kitu gani naweza fanya hapo kwa huo mtaji hata kama ni kidogo japo nipate cha kufanya kuliko kusubiri hizi ajira na kuondokana na hii tabia ya vijana tulio wengi kukaa tu nyumbani kusubiri ajira na kuvizia chakula cha wazee.
Naomba kuwasilisha.
Nahitaji kuanza maisha yangu mjini Kahama. Natambua kuna wazoefu na wenyeji wanaoijua vizuri. Nina mtaji mdogo tu wa milioni moja.
Je, kitu gani naweza fanya hapo kwa huo mtaji hata kama ni kidogo japo nipate cha kufanya kuliko kusubiri hizi ajira na kuondokana na hii tabia ya vijana tulio wengi kukaa tu nyumbani kusubiri ajira na kuvizia chakula cha wazee.
Naomba kuwasilisha.