Princessone
Member
- May 8, 2013
- 99
- 87
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KahamaMabelo yanapatikana wapi?
Naomba niku pm pleaseKahama
Naomba niku pm please
Ooh okay ngoja nifuatilieSina idea sana za nguo mkuu..as naonaga nguo za kiume ni tamu..ila za kike sijawah ona!..na kuna machimbo na vibandari bubu ndo wanachukulia mizigo...!
Ooh okay ngoja nifuatilie
habari,Kahama wazawa wanafanya biashara kwa mazoea sana wamelewa hela...!yaan mtu anabiashara nzuri sana lakini customer care hakuna...!ukiweza kumanage hizo ishu hela itakuja km ilipotea imerudi nyumbani!
Sijaona mkuu..!uzi huu?habari,
nlikuomba namba pm pls, naona kmya
hapana sio uzi huu,ni kule kwa controlaSijaona mkuu..!uzi huu?
Bas sikuonahapana sio uzi huu,ni kule kwa controla
Ni Mara mia akabeti kuliko kufanya hii biashara kichaa.Viatu vya mitumba
Biashara kichaa viatu mtumba? Mie nilikua nafata/natumiwa karume 2014 vya watoto @6000 nakuja uza kwa15000!... Na havichukui hta week 2!?Ni Mara mia akabeti kuliko kufanya hii biashara kichaa.
Biashara kichaa viatu mtumba? Mie nilikua nafata/natumiwa karume 2014 vya watoto @6000 nakuja uza kwa15000!... Na havichukui hta week 2!?
Kahama watu wa kununua kiatu cha mtoto kwa elf15 ni wachache sana pair ngapi ulikuwa unamaliza kwa wiki au robota ngapi ulikuwa unamaliza kwa wiki? Kumbuka Khm ni mji wa wasukuma wanapenda vitu vya kung'aa alete viatu vya special akajibane mle jinja/kariakoo ndo atapata faida.
Kahama wazawa wanafanya biashara kwa mazoea sana wamelewa hela...!yaan mtu anabiashara nzuri sana lakini customer care hakuna...!ukiweza kumanage hizo ishu hela itakuja km ilipotea imerudi nyumbani!
Dada manengelo , salaamu. Nipo Katoro. Naplan kuja Kahama kuexplore fursa za kibiashara. Biashara ndogo ndogo. Mtaji maximum 1 Million.
Nipe ABCs mkuu.
Hivi huko Kahama nikija na hii biashara yangu ya majeneza na vumbi la Congo naweza kupata site nzuri na wateja wa uhakika?.haya mkuu..popte kambi