Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
MWONGOZO UNAHITAJIKA SANA MKUU!!!Mkuu ulifanikiwa kuja.!?.nipe report!hata pm!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MWONGOZO UNAHITAJIKA SANA MKUU!!!Mkuu ulifanikiwa kuja.!?.nipe report!hata pm!
Kuanzia elfu 25 mpaka 40Wastani wa chumba cha kawaida kahama bei gani chumba chenye Umeme na maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Bulyanhulu ikirudi patakuwa faya!Kahama ilikuwa zamani,,saa hizi Kwisha habari yake ,
Buzwagi hiyo inaludi ujue na kahama inaludi kama zamaniKahama ilikuwa zamani,,saa hizi Kwisha habari yake ,
Kule wamezoea kula vyakula vya kawaida,wali nyama,maharage,samaki,halafu uwapelekee burger,sausage, sandwich,fillet sijui yaani utafunga ndani ya miezi miwili tuWakuu mimi nimekuwa nahamu kubwa ya kufanya maisha nje ya dar.biashara yangu nifast food..je kahama fast food zikoje
Kahama kuna fast food ya kisasa kabisa inaitwa Royal Court food. Ni fast food kubwa ambayo kwa Tanzania hii ni mikoa mitatu tu unaweza kuta fast food ya aina hiyo. Kwa hiyo kama unawekeza usije kisela bro.Kule wamezoea kula vyakula vya kawaida,wali nyama,maharage,samaki,halafu uwapelekee burger,sausage, sandwich,fillet sijui yaani utafunga ndani ya miezi miwili tu
Home ni Mwanza lakini Kahama is the best place to do life there.Ww una dream km mimi aisee!
Tushafika wengine tupo phantom hapa hatujui tuelekee wapi.Kahama vipi wadau tunaenda ama.
#MaendeleoHayanaChama
Na wewe wa humu humu Camp!?Hongera sana mkuu..mie fursa nilizoona jamani kwenye chakula_kuuza nafaka;vurugu vurugu nyingi ambazo ukitega pazuri unapata hela!sema inabid ww ujione akilini mwako unataka nn!bt dar na kahama mm nachagua kahama
Hapana
Sahihi Mkuu. Karibu Viunga vya Mji wetuHapana
Wapi huko
Insh'AllahOhhh..Asante Sana tukijaaliwa...
Royal food sawa iko standard alichukua dizaini ya mijengo ya macDonald ama Subway,..lakini mle hawapiki wali kweli mle?..Kahama kuna fast food ya kisasa kabisa inaitwa Royal Court food. Ni fast food kubwa ambayo kwa Tanzania hii ni mikoa mitatu tu unaweza kuta fast food ya aina hiyo. Kwa hiyo kama unawekeza usije kisela bro.
Sent using Jamii Forums mobile app