Pale vyakula mchanganyiko.. hata Wali Tunachapa tu.[emoji16][emoji3581]Royal food sawa iko standard alichukua dizaini ya mijengo ya macDonald ama Subway,..lakini mle hawapiki wali kweli mle?..
Nani kahama anakula burger?
Ndo ujue,mwanzo ilikua dizaini ya fast food kweli,ila wakaona biashsra haiendi wakarudi kufanya mixer,ubwabwa,nyama,kuku etc,,yaani ikawa restaurant badala ya fastfood.Pale vyakula mchanganyiko.. hata Wali Tunachapa tu.[emoji16][emoji3581]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nchini ukitoa Migahawa ya kigeni kuwa na fast food chain it's impossible.. hilo eneo haliko regulated.. nikiamka na laki yangu nanunua karai viazi debe, Mafuta upawa na sahani za plastic,... Toothpick, jiko mapumba, tomato, chimvi na pilipili.. am set.. a MacDonald near you tayari..Ndo ujue,mwanzo ilikua dizaini ya fast food kweli,ila wakaona biashsra haiendi wakarudi kufanya mixer,ubwabwa,nyama,kuku etc,,yaani ikawa restaurant badala ya fastfood.
Insh'Allah
Mwenyezi Mungu Atuweke mpaka mnamo majaaliwa!
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app