Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
samahan mkuu M10 iyo nadhan sio gari ni tuchombo twa usafir😅😅😆😅😅
(joking)
kamwene vanyalukolo,
(joking)
kamwene vanyalukolo,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuuu umenistua mkubwaa!!Unajua lkn gari yenye Km 150,000 iliyotembelewa highway ni bora kuliko gari yenye Km 80,000 inayotembelewa kwny ruti fupi fupi?
Nimeisotea xn iyo 10m bro so nataman npate kakufanana na iyo hela manake nksema nisubir ya 25m ntazeeka bila kudraivsamahan mkuu M10 iyo nadhan sio gari ni tuchombo twa usafir[emoji28][emoji28][emoji38][emoji28][emoji28]
(joking)
Tusaidia jamani, nko shy kikaz lkn likizo zangu huziliaga home njombe...so nataman nipunguze zle adha za kwenda kukata tket wk 3 kabla ya xfr
Hapo nilisema kutokana na pesa yake.,
ila mkubwa 100% Toyota Raum inakufaa sanaa.Nimeisotea xn iyo 10m bro so nataman npate kakufanana na iyo hela manake nksema nisubir ya 25m ntazeeka bila kudraiv
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea ila 0km ni za matajiri huiwezi.
Ahsante mkuuInategemea ila 0km ni za matajiri huiwezi.
Mie nazungumzia za kuagiza kutoka Japan kwa agent kama Be forward,Autocom na the like
Kuhusu km unaweza kupata kwenye 30000 to 100000 cha msingi ni kuwa makini kuzifuatilia
Sent using Jamii Forums mobile app
Itaweza kutoboa shy to njombe bila waswas siku nikiamua kwenda kutambikiaila mkubwa 100% Toyota Raum inakufaa sanaa.
mzee ukiambiwa gar inauzwa japan mil.10 hakikisha una milion 4+ pemben kwa ajili ya usafiri wa meli,Gharama za kuitoa bandarini,TRA,Bima and others. be care sana yaan kibongo bongo waweza kuagiza gari la milion 10 japan afu unakuta wale wazee wanakwambia ushuru wa hyo gar ni milion 7.....nenda taratbu usje telekeza gar yako bandarin
mapema sna ila muone fundi kwanza akupe maelekezo kidogo! maana unawza hata ukawa na v8 kama kuhusu gari hujui chochote ipo siku utaichomaa tuItaweza kutoboa shy to njombe bila waswas siku nikiamua kwenda kutambikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhalii naomba unifafanulie hapaaaUnajua lkn gari yenye Km 150,000 iliyotembelewa highway ni bora kuliko gari yenye Km 80,000 inayotembelewa kwny ruti fupi fupi?