PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Mkuu toa darasa kidogoUnajua lkn gari yenye Km 150,000 iliyotembelewa highway ni bora kuliko gari yenye Km 80,000 inayotembelewa kwny ruti fupi fupi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu toa darasa kidogoUnajua lkn gari yenye Km 150,000 iliyotembelewa highway ni bora kuliko gari yenye Km 80,000 inayotembelewa kwny ruti fupi fupi?
Mzeee kama unataka usijute chukua spacio new model tena ukipata ile 4WD
Automatic door ni moja tu.Shida ya Raum ni automatic door watoto lazima watauharibu tu tofauti na hapo ni gari nzuri na ina nafasi ndani pia inastahimili shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usimfuate huyo mfanyabiashara Spacio huwezi ilinganisha na Raum na Ist hyo ni nyepesi mnoHata mimi naunga hii hoja, kina ist, raum na wenzake ziso gari za kujifunzia, kwanza zina ground clearance ndogo. Ni rahisi kuzifanya zichoke mapema
Najua ni mmoja mie nimeitumia hyo gari kwa miaka miwili nakuhakikishia ni gari ngumu sana ila changamoto ya mlango si kubwa sana ila shida inakuja mtu akipanda na kuanza kuusumbua utaharibika tu..Automatic door ni moja tu.
Na kama haupo kwenye mazingira rafiki unaweza ukazima motor ukawa manual kama wa upande wa dereva
Wanasema kuwa ukiendesha gari mjini (80000), vituo vinakua ni vingi mfano foleni, mataa n.k hivyo mara nyingi transmission inakua busy kupandisha na kushusha gia; brakes system pia sababu ya kusimama simama; pia cooling system inakuwa busy sababu pale gari linaposimama mafan lazima yawashe ilikupooza engine.Tafadhalii naomba unifafanulie hapaaa
Ni kweli ni gari gumu, shida inayokuja ni kwenye ground clearance. Raum lipo chini na huyu ndugu yetu amesema hajui hata kuendesha gari.Najua ni mmoja mie nimeitumia hyo gari kwa miaka miwili nakuhakikishia ni gari ngumu sana ila changamoto ya mlango si kubwa sana ila shida inakuja mtu akipanda na kuanza kuusumbua utaharibika tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka,Mkuu usimfuate huyo mfanyabiashara Spacio huwezi ilinganisha na Raum na Ist hyo ni nyepesi mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila boss ukiifunga Spensa kuipandisha kidogo itakuwa shida!!?Ni kweli ni gari gumu, shida inayokuja ni kwenye ground clearance. Raum lipo chini na huyu ndugu yetu amesema hajui hata kuendesha gari.
Haya magari haya ukishaanza kuongeza mavitu ili kulifanya liwe juu huwa kuna percentage ya stability inapotea.
Angekua dereva wa muda nisingekuwa na wasiwasi ila ni dereva mpya na anataka kusafiri na familia nzima kwenye hilo gari
Hili ni jukwaa huru,Hapa hujamshauri vizuri ila imekuwa ni fursa kwako na hapo wenzako kufanya biashara (riba ya mkopo).
Ahsante