Naomba ushauri wa kozi ya kujiendeleza

Naomba ushauri wa kozi ya kujiendeleza

Kuna jambo natamani nikushauri ila silielewi vzr maana nliishia la tano sijafika huko vyuoni ila mwenye kulielewa vzr atanisaidia kuweka sawa[emoji848][emoji848] baada ya kupata degree yako unarudi tena chuo kusoma mwaka Moja mfano Kuna jamaa alisomaga animal science lkn baada ya mazingira kua magumu akarudi kusoma mwaka Moja akawa mwalimu wa biology

Sijui na-make sense [emoji16]kama nimevurunda niambeni nifute haraka
Bila shaka huo mwaka mmoja alienda kusoma Postgraduate diploma ya elimu.
 
Habarini WanaJF

Natumaini hamjambo wote. Mimi nimesome Bachelor Degree in Biology lakini nimejaribu kutafuta kazi nakosa naambiwa coarse yangu ni general sana.

Nilikuwa naomba mwenye kujua kozi ambazo naweza kujiwndeleza ili niwe specific

Natanguliza shukrani
Unaweza kufanya kazi kama biologist, mfano marine biologist, zoologist etc.....sema kozi za namna hii ukiwa majuu unaweza uka specialise ukawa bonge la researcher.
 
Kuna jambo natamani nikushauri ila silielewi vzr maana nliishia la tano sijafika huko vyuoni ila mwenye kulielewa vzr atanisaidia kuweka sawa[emoji848][emoji848] baada ya kupata degree yako unarudi tena chuo kusoma mwaka Moja mfano Kuna jamaa alisomaga animal science lkn baada ya mazingira kua magumu akarudi kusoma mwaka Moja akawa mwalimu wa biology

Sijui na-make sense [emoji16]kama nimevurunda niambeni nifute haraka
Mbn ujiamini bro

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Kuna course nyingi San TCU inatakiwa ikae chini ijitathimini sababu unakuta baadhi ya vyuo vinatoa course ambzo kwenye huu ulimwengu wetu wa tatu inakuwa ngumu kuwa applicable,,.
 
Habarini WanaJF

Natumaini hamjambo wote. Mimi nimesome Bachelor Degree in Biology lakini nimejaribu kutafuta kazi nakosa naambiwa coarse yangu ni general sana.

Nilikuwa naomba mwenye kujua kozi ambazo naweza kujiwndeleza ili niwe specific

Natanguliza shukrani
Sasa si ukawe mwalimu wa biology tu.

Fungua hata tuition center ufundishe biology utapiga pesa.
 
Back
Top Bottom