Naomba ushauri wa kupata simu ya nzuri za iPhone

Naomba ushauri wa kupata simu ya nzuri za iPhone

Hahaha unampotosha mie niliamua kujaribu Iphone almost nina week ya 3 ni iphone 6S!

Niliagizisha ya soko la Canada! Iko freshi sana yani na ukizingatia nilikuwa natumia li Itel jamani tofauti yake na Iphone ni kama usiku na mchana! Kwanza iOS iko smooth kuliko android interms of loading apps! Natumia 1xbet kwenye android it was taking a lot of time kusubirie iload ila kwa iOS nikugusa tu kitu mwaaah! Mbali na yote natumia iOS 14 ambayo unasema hataipata na juzi wamentumia iOS 14.5 update ya GB1 sema sijaidownload bado!

Kwa support ya software pia naona iPhone wako vizuri sababu simu ya mwaka 2016 kupata support kwa miaka mitano mfululizo sio jambo dogo! Hamna android ya 2016 inayopata update ya OS current, labda utumbukize Rom za kudownload uchochoroni!

Kitu cha kiboya kuhusu Iphone ni power management tu! Aisee hii simu kabla sijatoka lazma nihakikishe iko na 100% kwanza walau ndio naweza survive nayo ila bila hivyo itazima kabla sijarudi home!

Nikiwa nafanya full matumizi naweza kuchaji mara 3 kwa siku kitu ambacho kwenye android phones kimetatuliwaga muda mrefu tu! Hawa jamaa sijajua kwenye yale ma Iphone kuanzia X na kuendelea ila haya matoleo kuanzia iPhone 8 plus kuja chini ni uongo! Battery health inasoma 100% ila simu haikai na chaji inaboa sana hasa kwa sie ambao simu hazibandukagi mikononi!
Kama ulikuwa unatumia iTel mkuu nakubaliana na wewe. Shida betry za hizo simu hazifiki hata 2000 mah wakati kuna simu za android nying sasa ni 3000 Mah na kuendela mpaka 5000.
Pia kama umetumia kuanzia iPhone X utajua kwanini nasema kuna kitu flani utakikosa kwenye hizo simu. Sema ni nzuri huwezi kumiss kitu ambacho hujawahi kukiexperience kama ndipo ulikoanzia. Haikai na charge kisa ina mah ndogo. Na iOS ni OS moja iliyo tengenezwa kulinda charge ingekuwa ni android ungekoma zaidi.
 
Kama ulikuwa unatumia iTel mkuu nakubaliana na wewe. Shida betry za hizo simu hazifiki hata 2000 mah wakati kuna simu za android nying sasa ni 3000 Mah na kuendela mpaka 5000.
Pia kama umetumia kuanzia iPhone X utajua kwanini nasema kuna kitu flani utakikosa kwenye hizo simu. Sema ni nzuri huwezi kumiss kitu ambacho hujawahi kukiexperience kama ndipo ulikoanzia. Haikai na charge kisa ina mah ndogo. Na iOS ni OS moja iliyo tengenezwa kulinda charge ingekuwa ni android ungekoma zaidi.
Nilishatumia androids nyingi tu za kueleweka ikiwemo Sony Xperia Series! Wao walikuwa na 2500mAh ila zina last longer sana!
Hapo itel nilikuwa nazugia tu wakati nasubiri iPhone
 
kuna mdada nmepanga nae ana iphone akiwa anawasiliana anahakikisha vidole havizibi lile tunda[emoji1].nikiwa napiga nae story ananiambia iphone n ya kutoka nayo tuu out akirud geto anachukua infinix .anakwambia tangu amiliki iphone hajawah weka wimbo wwte et inamchanganya upande wa kudownload na mambo mengi yapo complicated[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Nilishatumia androids nyingi tu za kueleweka ikiwemo Sony Xperia Series! Wao walikuwa na 2500mAh ila zina last longer sana!
Hapo itel nilikuwa nazugia tu wakati nasubiri iPhone
Nipe maelekezo ya kununua iphone used canada sitak masoko ya aliexpress na the like
 
Ni simu zilizorekebishwa kurudishwa katika hali ya upya. Kwa mfano zinawekewa battery mpya, kioo kipya kma kilikua kimepasuka, housing mpya kama ilikua imechubuka sana, nk. Na refurbished zina madaraja yake yenye quality tofauti.

Mfano Grade A zinakua na original parts tu kutoka kwa Apple (hizi Grade A zinafanywa na Apple wenyewe au macompany waliyoruhusu).

Grade B zinakua na parts kutoka kwa companies zinazotengeneza spares, hizi zinakua na spares za quality nzuri.

Grade C zinakua na spare za low quality, ndio zile iPhone unakuta kioo kina quality mbovu sana na camera zake sio quality nzuri.

Bongo hapa nyingi ni Grade B and C. Bora ukipata Grade B ndio zinakua ziko vizuri tu. Grade C ni majanga. Kuijua unaangalia tu quality ya kioo. Ukiona kina quality kma ya Tecno ya laki mbili kaa mbali nayo.
Asante sana mkuu.Hakika nmepata kitu
 
kuna mdada nmepanga nae ana iphone akiwa anawasiliana anahakikisha vidole havizibi lile tunda[emoji1].nikiwa napiga nae story ananiambia iphone n ya kutoka nayo tuu out akirud geto anachukua infinix .anakwambia tangu amiliki iphone hajawah weka wimbo wwte et inamchanganya upande wa kudownload na mambo mengi yapo complicated[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hahahaa labda mshamba.Mbna wengne wanapeta tu
 
Ni Simu Iliyotumika Huko Ughaibuni Kwanza Halafu Ndiyo Inaletwa Hapa Tanzania Ikiwa Wakati Mwingine Na Kila Kitu Chake!!!


Sasa Inategemea Unaweza Kuipata Ikiwa Na Hali Nzuri Kila Idara Ama Kinyume Chake.
Chukua Ushauri Wa Wataalam Wa Hapo Juu
Asante mkuu
 
uko sawa kabisa,lakini kuichallenge ios kwa kutumia android ya kwenye itel,ni kosa kubwa tena unatakiwa ukamatwe ufunguliwe kesi ya uhaini[emoji27][emoji27].

iphone ni simu nzuri sana,lakini kuna vitu utavikosa kama utatafuta hizo zetu za miaka hiyo.kwa sasa ili uepuke kero hiyo ya charge angalau unatakiwa uwe na iphone x max kwenda juu,napo bado huwezi linganisha na majini ya A series ya samsung,ambayo anaweza pata kwa nusu bei na akasahau kabisa stress za tanesco.

simshauri kununua iphone 7,8,wala 6s plus kwa sasa,hatafurahia simu yake.maana atanyanyaswa mpaka na watumiaji wa infinix kwa charge.kama amefikisha huyo 500k hawezi kosa 1mln.
Duuuh mkuu asante kwa ushauri.Samsung gani current nzuri?Na yenyewe ina refurbished?
 
uko sawa kabisa,lakini kuichallenge ios kwa kutumia android ya kwenye itel,ni kosa kubwa tena unatakiwa ukamatwe ufunguliwe kesi ya uhaini[emoji27][emoji27].

iphone ni simu nzuri sana,lakini kuna vitu utavikosa kama utatafuta hizo zetu za miaka hiyo.kwa sasa ili uepuke kero hiyo ya charge angalau unatakiwa uwe na iphone x max kwenda juu,napo bado huwezi linganisha na majini ya A series ya samsung,ambayo anaweza pata kwa nusu bei na akasahau kabisa stress za tanesco.

simshauri kununua iphone 7,8,wala 6s plus kwa sasa,hatafurahia simu yake.maana atanyanyaswa mpaka na watumiaji wa infinix kwa charge.kama amefikisha huyo 500k hawezi kosa 1mln.
Asante mkuu kwa ushauri
 
kuna mdada nmepanga nae ana iphone akiwa anawasiliana anahakikisha vidole havizibi lile tunda[emoji1].nikiwa napiga nae story ananiambia iphone n ya kutoka nayo tuu out akirud geto anachukua infinix .anakwambia tangu amiliki iphone hajawah weka wimbo wwte et inamchanganya upande wa kudownload na mambo mengi yapo complicated[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Nipe namba nimsaidie ni simple tu..
 
Habari zenu wakuu,

Naomba msaada wa kujua aina gani ya Iphone ni nzuri ambayo bei yake ni kati ya laki 5 mpka laki 6? Simu ambayo ina storage kubwa (64GB above) na camera yake ni nzuri. Itapendeza zaidi nikipewa chimbo zuri la kuipata Dar.

Asanteni.

Mkuu chukua iPhone 7 Gb 128 ni simu nzuri sana unapata IOS updates zote hadi latest 14.5 pia ina high processing speed na 2gb Ram.
Charge inakaa kutwa nzima ukiwa online Mda wote with 4G network.

Kinging apple wana real phone specification.
Eg.
retina camera, jinsi macho yako yanvyoona kitu ndio picha ya iPhone ikionyesha

Real Ram, iPhone huwezi kuta ina stack au ku load kitu kwa muda mrefu kama android

Lakini Android huwa simu zao wana label specifications yaan unakuta simu specification kubwa lakini uwezo au uharisia zero kabisa.

Mimi natumia iPhone 7 gb 128 na jamaa yangu anatumia sumsung kubwa tu kam A10 au A20 tulizilinganisha uwezo wa processing power ya internet

Tukachukua laptop yenye Ram 8gb na processor core i3 Tuka connect WIFI kwa kutumia simu yake ya Samsung aisee pc iko slow kwenye internet Kama kobe

Then tuka disconnect na ku connect iPhone 7 yangu 4G network aisee yaani ukigusa link faster pc ina open.
Na wote tulitumia chip ya Vodacome 4G

Baada ya hapo jamaa akaamini iPhone wapo realistic kuliko android wao wana label specification lakini uwezo halisi wa simu zero.
Kwa hiyo achane kuofananisha iPhone na simu za kijinga.
 
Mkuu chukua iPhone 7 Gb 128 ni simu nzuri sana unapata IOS updates zote hadi latest 14.5 pia ina high processing speed na 2gb Ram.
Charge inakaa kutwa nzima ukiwa online Mda wote with 4G network.

Kinging apple wana real phone specification.
Eg.
retina camera, jinsi macho yako yanvyoona kitu ndio picha ya iPhone ikionyesha

Real Ram, iPhone huwezi kuta ina stack au ku load kitu kwa muda mrefu kama android

Lakini Android huwa simu zao wana label specifications yaan unakuta simu specification kubwa lakini uwezo au uharisia zero kabisa.

Mimi natumia iPhone 7 gb 128 na jamaa yangu anatumia sumsung kubwa tu kam A10 au A20 tulizilinganisha uwezo wa processing power ya internet

Tukachukua laptop yenye Ram 8gb na processor core i3 Tuka connect WIFI kwa kutumia simu yake ya Samsung aisee pc iko slow kwenye internet Kama kobe

Then tuka disconnect na ku connect iPhone 7 yangu 4G network aisee yaani ukigusa link faster pc ina open.
Na wote tulitumia chip ya Vodacome 4G

Baada ya hapo jamaa akaamini iPhone wapo realistic kuliko android wao wana label specification lakini uwezo halisi wa simu zero.
Kwa hiyo achane kuofananisha iPhone na simu za kijinga.
Hahaaa mkuu tatzo lingne ni kwenye kugundua simu ambazo zpo refurbished.
 
Hahaha unampotosha mie niliamua kujaribu Iphone almost nina week ya 3 ni iphone 6S!

Niliagizisha ya soko la Canada! Iko freshi sana yani na ukizingatia nilikuwa natumia li Itel jamani tofauti yake na Iphone ni kama usiku na mchana! Kwanza iOS iko smooth kuliko android interms of loading apps! Natumia 1xbet kwenye android it was taking a lot of time kusubirie iload ila kwa iOS nikugusa tu kitu mwaaah! Mbali na yote natumia iOS 14 ambayo unasema hataipata na juzi wamentumia iOS 14.5 update ya GB1 sema sijaidownload bado!

Kwa support ya software pia naona iPhone wako vizuri sababu simu ya mwaka 2016 kupata support kwa miaka mitano mfululizo sio jambo dogo! Hamna android ya 2016 inayopata update ya OS current, labda utumbukize Rom za kudownload uchochoroni!

Kitu cha kiboya kuhusu Iphone ni power management tu! Aisee hii simu kabla sijatoka lazma nihakikishe iko na 100% kwanza walau ndio naweza survive nayo ila bila hivyo itazima kabla sijarudi home!

Nikiwa nafanya full matumizi naweza kuchaji mara 3 kwa siku kitu ambacho kwenye android phones kimetatuliwaga muda mrefu tu! Hawa jamaa sijajua kwenye yale ma Iphone kuanzia X na kuendelea ila haya matoleo kuanzia iPhone 8 plus kuja chini ni uongo! Battery health inasoma 100% ila simu haikai na chaji inaboa sana hasa kwa sie ambao simu hazibandukagi mikononi!
Bro ulikua unatumia Bajaji alaf unanunua V8 unashangaa liko faster? Nunua Android ya bei kubwa uone kma iko slow kma hzo itel
 
Habari zenu wakuu,

Naomba msaada wa kujua aina gani ya Iphone ni nzuri ambayo bei yake ni kati ya laki 5 mpka laki 6? Simu ambayo ina storage kubwa (64GB above) na camera yake ni nzuri. Itapendeza zaidi nikipewa chimbo zuri la kuipata Dar.

Asanteni.
wazo zuri, mi mwenyewe naelemika kwenye hili
 
Mkuu chukua iPhone 7 Gb 128 ni simu nzuri sana unapata IOS updates zote hadi latest 14.5 pia ina high processing speed na 2gb Ram.
Charge inakaa kutwa nzima ukiwa online Mda wote with 4G network.

Kinging apple wana real phone specification.
Eg.
retina camera, jinsi macho yako yanvyoona kitu ndio picha ya iPhone ikionyesha

Real Ram, iPhone huwezi kuta ina stack au ku load kitu kwa muda mrefu kama android

Lakini Android huwa simu zao wana label specifications yaan unakuta simu specification kubwa lakini uwezo au uharisia zero kabisa.

Mimi natumia iPhone 7 gb 128 na jamaa yangu anatumia sumsung kubwa tu kam A10 au A20 tulizilinganisha uwezo wa processing power ya internet

Tukachukua laptop yenye Ram 8gb na processor core i3 Tuka connect WIFI kwa kutumia simu yake ya Samsung aisee pc iko slow kwenye internet Kama kobe

Then tuka disconnect na ku connect iPhone 7 yangu 4G network aisee yaani ukigusa link faster pc ina open.
Na wote tulitumia chip ya Vodacome 4G

Baada ya hapo jamaa akaamini iPhone wapo realistic kuliko android wao wana label specification lakini uwezo halisi wa simu zero.
Kwa hiyo achane kuofananisha iPhone na simu za kijinga.
Yaani A20 unalinganisha na iPhone 7 [emoji23][emoji23] nyie watu nyie. iPhone 7 ni flagship na A20 ni low budget phone. Ilinganishe na akina S8 huko. Size ya kioo isikuchanganye. Ingekuwa hvyo basi Infinix ndio zingekua simu zenye uwezo kuliko zote
 
Mkuu chukua iPhone 7 Gb 128 ni simu nzuri sana unapata IOS updates zote hadi latest 14.5 pia ina high processing speed na 2gb Ram.
Charge inakaa kutwa nzima ukiwa online Mda wote with 4G network.

Kinging apple wana real phone specification.
Eg.
retina camera, jinsi macho yako yanvyoona kitu ndio picha ya iPhone ikionyesha

Real Ram, iPhone huwezi kuta ina stack au ku load kitu kwa muda mrefu kama android

Lakini Android huwa simu zao wana label specifications yaan unakuta simu specification kubwa lakini uwezo au uharisia zero kabisa.

Mimi natumia iPhone 7 gb 128 na jamaa yangu anatumia sumsung kubwa tu kam A10 au A20 tulizilinganisha uwezo wa processing power ya internet

Tukachukua laptop yenye Ram 8gb na processor core i3 Tuka connect WIFI kwa kutumia simu yake ya Samsung aisee pc iko slow kwenye internet Kama kobe

Then tuka disconnect na ku connect iPhone 7 yangu 4G network aisee yaani ukigusa link faster pc ina open.
Na wote tulitumia chip ya Vodacome 4G

Baada ya hapo jamaa akaamini iPhone wapo realistic kuliko android wao wana label specification lakini uwezo halisi wa simu zero.
Kwa hiyo achane kuofananisha iPhone na simu za kijinga.
a10 unalinganisha na 7 kweli!!!!

halafu hakuna iphone 7 inakaa masaa 12 na charge usimuinhinze mwenzako mkenge akaanza kujuta.

iphone 7 ni simu yenye nguvu safi tu ila betri ni kimeo,zimeshachoka.kwa hiyo a10 nadhani ulikiwa unarudia kucharge mara 4 ndio mwenzako wa a10 anacharge tena.

halafu hakuna android inayoweka specs za uongo,unachoona ni utogauti wa OS tu,labda kama unazungumzia zile 64gb halafu ikiweka whatsapp inakwambia storage full(manganya).
kama unataka uelewe chukua simu ya window hapo,ndio utajua tatizo sio simu ila ni OS husika ndio ina wenge.
 
Back
Top Bottom