Naomba Ushauri wa Namna ya Kuanzisha Taasisi Binafsi ya Upelelezi Nchini Tanzania

Naomba Ushauri wa Namna ya Kuanzisha Taasisi Binafsi ya Upelelezi Nchini Tanzania

Tangu muda mrefu nimekuwa nikiwiwa kutaka kuanzisha Taasisi au Kampuni Binafsi ya Upelelezi hapa nchini Tanzania ili kufanya uchunguzi juu ya masuala mbalimbali ambayo yanahitaji kuchunguzwa.

Kikwazo kikubwa kinachoikabili hii dhamira yangu ni kutokufahamu namna au utaratibu rasmi ambao ninapaswa kuufata ili sasa niweze kuanzisha taasisi hiyo ambayo itakuwa legally recognized hapa nchini. Kuhusu mahitaji ya msingi ya kuanzia, yaani "manpower" na "logistics", hakuna kikwazo au changamoto kubwa sana kuhusu hilo.

Tatizo kubwa lipo kwenye utaratibu au namna ya kuanzisha na kuendesha mchakato wa kuweza ku-officiate hiyo taasisi ili itambulike rasmi na kuweza kufanya kazi zake kama tunavyodhamiria. Nimejaribu kufanya utafiti katika nchi zingine naona taasisi kama hizo zipo lakini sijafanikiwa kupata taarifa sahihi juu ya namna gani wenzetu wamefanyaje hadi kufanikisha kuwepo kwa taasisi hizo katika nchi zao.

Nafahamu humu tupo watu wengi wenye uelewa, utaalamu na ujuzi tofauti tofauti ktk nyanja mbalimbali, naomba mchango wenu kuhusu suala hili kwani penye wengi haliharibiki neno. Je, hatua zipi au utaratibu upi ninapaswa kufuata ili niweze kusajili taasisi ya aina hii? Mamlaka ipi hasa ambayo inahusika na suala hili?

BRELA? Au RITA? Au nyingine zipi? Sheria gani hasa (endapo kama zipo) ambazo zinahusika na suala hili?
Ushauri wenu ni muhimu sana katika hili ili niweze kufanikisha lengo langu hili. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.

Karibuni.
Yapo mengi hapa nchini hata kuwa na account ambayo sio rahisi kudukuliwa na ukawa unafuatilia vitu ukipata ushahidi wa kutosha unawatumia wahusika ili wafanyie kazi kwa sharti la kuwa unahitaji kuona wanafanyia kazi wakifeli basi mitandao iko wazi unaujuza umma black and white ya kile kinachoendelea .

Japo jizatiti haswa sababu utatafutwa wewe na clue yako mpaka uvunguni mwa viti.
 
Tangu muda mrefu nimekuwa nikiwiwa kutaka kuanzisha Taasisi au Kampuni Binafsi ya Upelelezi hapa nchini Tanzania ili kufanya uchunguzi juu ya masuala mbalimbali ambayo yanahitaji kuchunguzwa.

Kikwazo kikubwa kinachoikabili hii dhamira yangu ni kutokufahamu namna au utaratibu rasmi ambao ninapaswa kuufata ili sasa niweze kuanzisha taasisi hiyo ambayo itakuwa legally recognized hapa nchini. Kuhusu mahitaji ya msingi ya kuanzia, yaani "manpower" na "logistics", hakuna kikwazo au changamoto kubwa sana kuhusu hilo.

Tatizo kubwa lipo kwenye utaratibu au namna ya kuanzisha na kuendesha mchakato wa kuweza ku-officiate hiyo taasisi ili itambulike rasmi na kuweza kufanya kazi zake kama tunavyodhamiria. Nimejaribu kufanya utafiti katika nchi zingine naona taasisi kama hizo zipo lakini sijafanikiwa kupata taarifa sahihi juu ya namna gani wenzetu wamefanyaje hadi kufanikisha kuwepo kwa taasisi hizo katika nchi zao.

Nafahamu humu tupo watu wengi wenye uelewa, utaalamu na ujuzi tofauti tofauti ktk nyanja mbalimbali, naomba mchango wenu kuhusu suala hili kwani penye wengi haliharibiki neno. Je, hatua zipi au utaratibu upi ninapaswa kufuata ili niweze kusajili taasisi ya aina hii? Mamlaka ipi hasa ambayo inahusika na suala hili?

BRELA? Au RITA? Au nyingine zipi? Sheria gani hasa (endapo kama zipo) ambazo zinahusika na suala hili?
Ushauri wenu ni muhimu sana katika hili ili niweze kufanikisha lengo langu hili. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.

Karibuni.
Nothing has such power to broaden the mind as the ability to investigate systematically and truly all that comes under thy observation in life, because no man can hope to find out the truth without investigation.
So keep on trying.....
 
Yapo mengi hapa nchini hata kuwa na account ambayo sio rahisi kudukuliwa na ukawa unafuatilia vitu ukipata ushahidi wa kutosha unawatumia wahusika ili wafanyie kazi kwa sharti la kuwa unahitaji kuona wanafanyia kazi wakifeli basi mitandao iko wazi unaujuza umma black and white ya kile kinachoendelea .

Japo jizatiti haswa sababu utatafutwa wewe na clue yako mpaka uvunguni mwa viti.
Bado itakuwa ngumu kufikia malengo mnayokusudia kwa sababu ni ngumu sana kwa hao unaowaita 'wahusika' kutoa ushirikiano wa dhati kwa matukio ambayo yanawahusu wao wenyewe moja kwa moja au washirika wao wa karibu
 
Hapana hufungui kama private prosecutor ila unafungua kesi kama raia tu unayedemand haki ya kile ulichokiona na kuwa na ushahidi nacho ni hapo watatambua ya kuwa basi wewe ni mpelelezi habari za wewe kuwa binafsi au mwajiliwa watazijua badae japo ukifanya hivi kwa mafanikio ni hapo wataona umuhimu wa kuwa na taasisi binafsi.
In bolded:
Hilo siyo lengo tarajiwa kabisa,
Only, if not extremely few will be known publicly. The rest of other members will be completely and strictly anonymous.
 
Siyo lazima mpaka Kwanza wakubali wao, kumbuka tu kwamba "the right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by by the oppressed"
Swali, je, BRELA wanaweza kusajili taasisi kama hiyo?
Mkuu kwa hili HAKI NI LAZIMA UPEWE mkuu, ila kwa mengine haki mtu hapewi bali huichukua. Ukitaka kuwa Alshakaka sijui shamama we anzisha nje ya utaratibu.
 
Kwa hapa Tz mkuu hutoboi, hata ukifanya Kwa njia za panya ni familia Yako ndio itabaki na majuto ya kukupoteza, watz wataongea siku mbili tatu wataendelea na maisha yao kama hujawahi kuwepo
 
Tangu muda mrefu nimekuwa nikiwiwa kutaka kuanzisha Taasisi au Kampuni Binafsi ya Upelelezi hapa nchini Tanzania ili kufanya uchunguzi juu ya masuala mbalimbali ambayo yanahitaji kuchunguzwa.

Kikwazo kikubwa kinachoikabili hii dhamira yangu ni kutokufahamu namna au utaratibu rasmi ambao ninapaswa kuufata ili sasa niweze kuanzisha taasisi hiyo ambayo itakuwa legally recognized hapa nchini. Kuhusu mahitaji ya msingi ya kuanzia, yaani "manpower" na "logistics", hakuna kikwazo au changamoto kubwa sana kuhusu hilo.

Tatizo kubwa lipo kwenye utaratibu au namna ya kuanzisha na kuendesha mchakato wa kuweza ku-officiate hiyo taasisi ili itambulike rasmi na kuweza kufanya kazi zake kama tunavyodhamiria. Nimejaribu kufanya utafiti katika nchi zingine naona taasisi kama hizo zipo lakini sijafanikiwa kupata taarifa sahihi juu ya namna gani wenzetu wamefanyaje hadi kufanikisha kuwepo kwa taasisi hizo katika nchi zao.

Nafahamu humu tupo watu wengi wenye uelewa, utaalamu na ujuzi tofauti tofauti ktk nyanja mbalimbali, naomba mchango wenu kuhusu suala hili kwani penye wengi haliharibiki neno. Je, hatua zipi au utaratibu upi ninapaswa kufuata ili niweze kusajili taasisi ya aina hii? Mamlaka ipi hasa ambayo inahusika na suala hili?

BRELA? Au RITA? Au nyingine zipi? Sheria gani hasa (endapo kama zipo) ambazo zinahusika na suala hili?
Ushauri wenu ni muhimu sana katika hili ili niweze kufanikisha lengo langu hili. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.

Karibuni.
Unataka kuanzisha cheaters ya bongo nini tuone wabongo wakipigana kisa mbususu😂😂😂😂
 
Kenya hii kitu ipo na inafanyia,ila kwa hii Jamuhuri ya stanza mambo yatakua magumu sana kwako.
Kwanza wataharibu hili wazo lako mpaka wewe mtoa wazo.
 
Tangu muda mrefu nimekuwa nikiwiwa kutaka kuanzisha Taasisi au Kampuni Binafsi ya Upelelezi hapa nchini Tanzania ili kufanya uchunguzi juu ya masuala mbalimbali ambayo yanahitaji kuchunguzwa.

Kikwazo kikubwa kinachoikabili hii dhamira yangu ni kutokufahamu namna au utaratibu rasmi ambao ninapaswa kuufata ili sasa niweze kuanzisha taasisi hiyo ambayo itakuwa legally recognized hapa nchini. Kuhusu mahitaji ya msingi ya kuanzia, yaani "manpower" na "logistics", hakuna kikwazo au changamoto kubwa sana kuhusu hilo.

Tatizo kubwa lipo kwenye utaratibu au namna ya kuanzisha na kuendesha mchakato wa kuweza ku-officiate hiyo taasisi ili itambulike rasmi na kuweza kufanya kazi zake kama tunavyodhamiria. Nimejaribu kufanya utafiti katika nchi zingine naona taasisi kama hizo zipo lakini sijafanikiwa kupata taarifa sahihi juu ya namna gani wenzetu wamefanyaje hadi kufanikisha kuwepo kwa taasisi hizo katika nchi zao.

Nafahamu humu tupo watu wengi wenye uelewa, utaalamu na ujuzi tofauti tofauti ktk nyanja mbalimbali, naomba mchango wenu kuhusu suala hili kwani penye wengi haliharibiki neno. Je, hatua zipi au utaratibu upi ninapaswa kufuata ili niweze kusajili taasisi ya aina hii? Mamlaka ipi hasa ambayo inahusika na suala hili?

BRELA? Au RITA? Au nyingine zipi? Sheria gani hasa (endapo kama zipo) ambazo zinahusika na suala hili?
Ushauri wenu ni muhimu sana katika hili ili niweze kufanikisha lengo langu hili. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.

Karibuni.
Cv yako tafadhali weka hapa kwanza ili ushauriwe vizuri
 
Kenya hii kitu ipo na inafanyia,ila kwa hii Jamuhuri ya stanza mambo yatakua magumu sana kwako.
Kwanza wataharibu hili wazo lako mpaka wewe mtoa wazo.
Kama jirani zetu hapo Kenya wameweza, je, hapa kwetu Tz kinashindikana nini?Kwa nini basi sisi tunashindwa au haiwezekani kufanyika?
 
Tangu muda mrefu nimekuwa nikiwiwa kutaka kuanzisha Taasisi au Kampuni Binafsi ya Upelelezi hapa nchini Tanzania ili kufanya uchunguzi juu ya masuala mbalimbali ambayo yanahitaji kuchunguzwa.

Kikwazo kikubwa kinachoikabili hii dhamira yangu ni kutokufahamu namna au utaratibu rasmi ambao ninapaswa kuufata ili sasa niweze kuanzisha taasisi hiyo ambayo itakuwa legally recognized hapa nchini. Kuhusu mahitaji ya msingi ya kuanzia, yaani "manpower" na "logistics", hakuna kikwazo au changamoto kubwa sana kuhusu hilo.

Tatizo kubwa lipo kwenye utaratibu au namna ya kuanzisha na kuendesha mchakato wa kuweza ku-officiate hiyo taasisi ili itambulike rasmi na kuweza kufanya kazi zake kama tunavyodhamiria. Nimejaribu kufanya utafiti katika nchi zingine naona taasisi kama hizo zipo lakini sijafanikiwa kupata taarifa sahihi juu ya namna gani wenzetu wamefanyaje hadi kufanikisha kuwepo kwa taasisi hizo katika nchi zao.

Nafahamu humu tupo watu wengi wenye uelewa, utaalamu na ujuzi tofauti tofauti ktk nyanja mbalimbali, naomba mchango wenu kuhusu suala hili kwani penye wengi haliharibiki neno. Je, hatua zipi au utaratibu upi ninapaswa kufuata ili niweze kusajili taasisi ya aina hii? Mamlaka ipi hasa ambayo inahusika na suala hili?

BRELA? Au RITA? Au nyingine zipi? Sheria gani hasa (endapo kama zipo) ambazo zinahusika na suala hili?
Ushauri wenu ni muhimu sana katika hili ili niweze kufanikisha lengo langu hili. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.

Karibuni.
Weka CV yako

Ukionyesha na work experience yako kama investigator ushauriwe
 
Kuna vitu kibongo bongo hata usijisumbue ww bora ukawekeze hata kwenye ufugaji wa mbuzi upelelezi kwenye mchi ya wagawa kesi kama njugu hutaweza fanya kazi
 
Kwani huwezi kushauri mpaka uone cv yangu?Kama hauna ushauri kuhusiana na suala hili unaweza kupita tu kimya kimya, hujalazimishwa mkuu.
Siwezi lazima CV uweke

Hiyo kazi ni Proffessional na ina hadi bodi za Private Investigators huwezi sailing tu kama unasajili kampuni ya kuuza mitumba

Proffessional firms zote duniani kote huhitaji CV za wanaotaka kusajili

Weka CV
 
Back
Top Bottom