Naomba ushauri wa namna ya kutatua tatizo la kushindwa kujiamini

Naomba ushauri wa namna ya kutatua tatizo la kushindwa kujiamini

Hongera sana aise. Mshukuru Mungu kwa hilo

Ahsante kiongozi kuna kipindi mpaka nilipatwa na depression kukaa mwenyewe mwenyewe nilikuwa sitaki mtu yoyote awe karibu yangu zaidi ya watu wa nyumbani tu.

Na hata wao nilikuwa najitenga nao, nikipakua chakula ni chumbani tu. Acha kabisa aisee...! Naelewa unachokipitia mkuu.

Pole sana MUNGU akuvushe katika hilo.
 
Ahsante kiongozi kuna kipindi mpaka nilipatwa na depression kukaa mwenyewe mwenyewe nilikuwa sitaki mtu yoyote awe karibu yangu zaidi ya watu wa nyumbani tu.

Na hata wao nilikuwa najitenga nao, nikipakua chakula ni chumbani tu. Acha kabisa aisee...! Naelewa unachokipitia mkuu.

Pole sana MUNGU akuvushe katika hilo.
Hii hali ngumu kweli... nashukuru umenijulisha ni kitu unaweza kuondokana nacho
 
Asante sana ndugu yangu... hili ntalifanyia kazi. Naomba unifafanulie kuhusiana na social grp, hii inakuaje?
Group la watu ambao mna tatizo moja,, linaongozwa na clinical psychologist mnashare some experiences and huyo psychologist anakuwa kama daktari wenu lengo ni kutibu hyo anxiety
 
Group la watu ambao mna tatizo moja,, linaongozwa na clinical psychologist mnashare some experiences and huyo psychologist anakuwa kama daktari wenu lengo ni kutibu hyo anxiety
sawasawa
 
Kumbuka kurekebisha mazingira ya makuzi ya wanao ili wasiwe kama wewe. Mi nafanya hivyo kwa wanangu. Nawapa nafasi ya kujieleza na kuongea hata wakati wa kula, kitu ambacho wazazi wangu hawakuruhu kwangu.
Hili nalizingatia sana mkuu.
 
You are not alone.

Kipindi naanza sekondari mzazi aliwahi itwa shuleni na kuhojiwa kama niliwahi kupitia abuse ya aina yoyote nyumbani. Mzee wangu is the most polite person i've ever seen na sina kumbukumbu kwamba aliwahi hata kunipiga kofi. Hili sio suala la abuse kama baadhi wanavyosema.

I don't know exactly what happened, but somehow i managed to convert shyness into seriousness[emoji3][emoji3]

Ninapo pata uoga hua nakua serious ( sura wambuzi), hivyo hainipi shida tena kuongea mbele za watu au kuzungumza na mtu ambae sijamzoea. Japo eye contact bado ni tatizo.

When i have to speak naongea hasa (nikiwa serious), tena nafahamika kwa ubishi pale ambapo nahisi naburuzwa.

Mimi ni mtu wa michezo na marafiki wengi nimewapata kwenye michezo.

Nimepoteza fursa nyingi sababu ya kukwepa watu, lakini sijilaumu sababu ndivyo nilivyo. Kua serious kunasaidia lakini hakubadili ukweli kwamba nina struggle kuwasiliana na watu. Mara nyingi userious unafukuza watu wapya.

Nimepata shauku ya kujua "wewe na mkeo mlikutana aje??"[emoji3][emoji3] Maana mimi binti anaweza nivutia ila nikampita nikiwa serious na kujifanya sijamuona[emoji23][emoji23][emoji23] baadae akishapotea naanza kujuta.

You are not alone.
 
mm shida yangu ni u serious mpaka najiogopa pamoja na umri kuwa bado ni kijana ila mpaka watu wazima wananiogopa, siipendi hii hali..

Kujichanganya najichanganya fresh tu japo sio mtu wa kuanzisha mazungumzo ila ni muongeaji mzuri kwa watu tuliozoeana..

Sina shobo na mademu kabisa ila nikipenda msichana huwa siogopi kabisa ku mface
 
Nafikiri haupo comfortable kusocialize so unatafuta sababu ya kuepuka socialization.

Sehemu nzuri ya wewe kuscoialize ni sehemu za mazoezi
asante ntalifanyia kazi
 
You are not alone.

Kipindi naanza sekondari mzazi aliwahi itwa shuleni na kuhojiwa kama niliwahi kupitia abuse ya aina yoyote nyumbani. Mzee wangu is the most polite person i've ever seen na sina kumbukumbu kwamba aliwahi hata kunipiga kofi. Hili sio suala la abuse kama baadhi wanavyosema.

I don't know exactly what happened, but somehow i managed to convert shyness into seriousness[emoji3][emoji3]

Ninapo pata uoga hua nakua serious ( sura wambuzi), hivyo hainipi shida tena kuongea mbele za watu au kuzungumza na mtu ambae sijamzoea. Japo eye contact bado ni tatizo.

When i have to speak naongea hasa (nikiwa serious), tena nafahamika kwa ubishi pale ambapo nahisi naburuzwa.

Mimi ni mtu wa michezo na marafiki wengi nimewapata kwenye michezo.

Nimepoteza fursa nyingi sababu ya kukwepa watu, lakini sijilaumu sababu ndivyo nilivyo. Kua serious kunasaidia lakini hakubadili ukweli kwamba nina struggle kuwasiliana na watu. Mara nyingi userious unafukuza watu wapya.

Nimepata shauku ya kujua "wewe na mkeo mlikutana aje??"[emoji3][emoji3] Maana mimi binti anaweza nivutia ila nikampita nikiwa serious na kujifanya sijamuona[emoji23][emoji23][emoji23] baadae akishapotea naanza kujuta.

You are not alone.
😀😀😀 aise shukrani
 
mm shida yangu ni u serious mpaka najiogopa pamoja na umri kuwa bado ni kijana ila mpaka watu wazima wananiogopa, siipendi hii hali..

Kujichanganya najichanganya fresh tu japo sio mtu wa kuanzisha mazungumzo ila ni muongeaji mzuri kwa watu tuliozoeana..

Sina shobo na mademu kabisa ila nikipenda msichana huwa siogopi kabisa ku mface
Umezaliwa mwezi na tarehe ngapi? Maana vitu vingine ni personality za kuzaliwa
 
Nina hii changamoto.

Naturally ni introvert na toka niko mdogo nilikuwa mtu wa kukaa peke yangu sana. So wakati niko early teens na kuanza kuwa attracted to females hii changamoto ndio ikaanza kunikera sana. Nakumbuka a close friend aliniambia ukiendelea na hili jambo utapata shida sana ukubwani. So nikaanza kubadilika.

Kitu nilichofanya ni kujiexpose na watu mara kwa mara. Iwe presentations nilifanya mimi, teamwork mimi ndio team leader, event zote nipo. Nikaenda hadi tuition which I didn't need. Nilifanikiwa kuweza kuongea mbele za watu na kuwork in teams ila route ya wasichana ikachukua muda kidogo ila alhamdulillah mpaka naingia chuo 1st year nilikuwa vizuri katika kujiexpress kila sehemu ila bado niko naturally mkimya.

Kwa bahati nzuri au mbaya kwa miaka kadhaa nikaingia katika mode ya kazi so nikaachana na all social stuff. Ilikuwa ni kazi tu kwenda mbele. Hii ikanirudisha nyuma especially kwenye social stuff maana nilijikuta natetemeka at times ikibidi nizungumze na watu wapya.

So nikasoma sana online na kutengeneza a little formula ambayo imenisaidia sana. Kila siku nikiamka nasema a little prayer 'Ee Mungu nisaidie niwe bora kadri ninavyoweza kuwa' kisha natake a few deep breaths. Inanisaidia kuwa calm siku ikianza hivyo siku nzima inakuwa smooth zaidi.

Pia kama najua kuna tukio linalohusisha watu right before kutoka najisemea 'You are amazing and you will do great' kisha natake 3 deep breaths tena na every single time sisumbuliki na anxiety.

Hayo ni ambayo yanawork kwangu but unaweza kujaribu pia and hopefully hali itakuwa bora zaidi.
 
Nina hii changamoto.

Naturally ni introvert na toka niko mdogo nilikuwa mtu wa kukaa peke yangu sana. So wakati niko early teens na kuanza kuwa attracted to females hii changamoto ndio ikaanza kunikera sana. Nakumbuka a close friend aliniambia ukiendelea na hili jambo utapata shida sana ukubwani. So nikaanza kubadilika.

Kitu nilichofanya ni kujiexpose na watu mara kwa mara. Iwe presentations nilifanya mimi, teamwork mimi ndio team leader, event zote nipo. Nikaenda hadi tuition which I didn't need. Nilifanikiwa kuweza kuongea mbele za watu na kuwork in teams ila route ya wasichana ikachukua muda kidogo ila alhamdulillah mpaka naingia chuo 1st year nilikuwa vizuri katika kujiexpress kila sehemu ila bado niko naturally mkimya.

Kwa bahati nzuri au mbaya kwa miaka kadhaa nikaingia katika mode ya kazi so nikaachana na all social stuff. Ilikuwa ni kazi tu kwenda mbele. Hii ikanirudisha nyuma especially kwenye social stuff maana nilijikuta natetemeka at times ikibidi nizungumze na watu wapya.

So nikasoma sana online na kutengeneza a little formula ambayo imenisaidia sana. Kila siku nikiamka nasema a little prayer 'Ee Mungu nisaidie niwe bora kadri ninavyoweza kuwa' kisha natake a few deep breaths. Inanisaidia kuwa calm siku ikianza hivyo siku nzima inakuwa smooth zaidi.

Pia kama najua kuna tukio linalohusisha watu right before kutoka najisemea 'You are amazing and you will do great' kisha natake 3 deep breaths tena na every single time sisumbuliki na anxiety.

Hayo ni ambayo yanawork kwangu but unaweza kujaribu pia and hopefully hali itakuwa bora zaidi.
asante sana kwa mchango wako
 
Back
Top Bottom